Ushawahi kwenda sehemu, baada ya kukuona wakakuchukulia poa, baadaye wakajua wewe ni mtu wa aina gani, wakaanza kukuonea aibu?

Wahi daladala = chai
Demu alikuomba namba= chai
Na kama kweli uliebnda huko basi www ndio ulijetegesha tegesha hadi waondoke ofisini ili uwaoneshe una gari.

Japo kastory ni kama kakutunga hivi.
 
Heshimu ofisi za watu kwa kuvaa kiheshima. Pensi na sendo ni kuonyesha dharau. Ulianza wewe kuwadharau.
muonekano wako ndiyo uliosababisha udharaulike na hata ulichoandika huku bado unajidharaulisha. Huwezi kwenda ofisi yoyote na pensi na sando hiyo moja ni dalili za ushamba. Ofisini kuna aina ya mavazi yanakubalika. Pili kujisifia sijui BMW nao ni ushamba mwingine. Kuna watu hata magari hawana lakini wakifika sehemu wanapewa heshima siyo kwa anachomiliki bali jinsi muonekano wake tu na heshima yake.
 
Aisee Huwa mimi linanikuta sana sana , sababu ni mavazi , na ndevu niziachia ,siku nimeingia bank card yangu ilikuwa imepasuka nitengenezewe nyingine yule demu anaongea na kuniona Sina hekima kabisa nawezaje pasua card na imechoka dah watu wanasikia ,sijui aliona nini kwenye account yangu akaishia tu kuwa mpole na sasa Huwa namkula mara moja moja nikipita mbeya ila Haina maana nimetoboa najitafta kwa shida sana
 
"Haya chukua, wahi daladala zimejaa sasa hivi." Really???? Mkuu...
 
umetumia nguvu sana kutaka kutuaminisha kuwa una BMW..acha ushamba..wanawake wengi hawayajuagi magari..wao wanajali kama linatembea basi...una kariba ya KIHAYA...
 
umetumia nguvu sana kutaka kutuaminisha kuwa una BMW..acha ushamba..wanawake wengi hawayajuagi magari..wao wanajali kama linatembea basi...una kariba ya KIHAYA...
We ndio unaroho ya kishamba kucritisize anachokizungumza mtu na kilichotokea sasa kariba ya kihaya ndio inathibitisha kabisa 100% ulichokuwaza, njoo na positive mindset sio upuuzi uliouabdika, inathibitisha kitu kilichopo kichwani mwako!!!
 
Kuna watu vichwa nunda hata wakikuona na hiyo BMW yako Bado watakuchukulia poa tu.. wenyewe wanachojari kula, kulala,kuamka, kazini, imeisha iyo
Shida ya watanzania Mna NEGATIVITY sana Yani mtu akionesha sentence zinazodhaniwa ni kujigamba basi kosa kubwa sana, nani kasema najionesha kuwa Nina BMW? Hapa nimeandika kilichonitokea, na si masuala ya watu kuniona na kunipotezea sasa yanaingiliana vipi na kile nilichokisema kama sio UPUMBAVU Ninini akilini mwako mkuu??
 
Ndio hivyo mkuu kikubwa ni kumantain status tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…