Ushawahi tumia uongo gani ilimradi umpate msichana/mwanamke au mwanaume kimahusiano?

Ushawahi tumia uongo gani ilimradi umpate msichana/mwanamke au mwanaume kimahusiano?

greater than

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,653
Reaction score
3,060
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2012, Nilikuwa nikifanya field katika Kampuni flani ya Ujenzi,,
Nikajenga urafiki na mtoto wa moja ya Wakurugenzi wa Kampuni (G), alikuwa akisoma Marekani.alikuja Dar kama likizo.
Tukaenda kula bata Billcanas.
Demu wa G akaja na rafiki yake, vitoto vya ushuani.

Mwamba wakati yupo busy na demu wake,Mi nikajisogeza kwa kale kabinti,
  • Akaanza ongea pale kwamba anasoma Makelele Univ...na anakaa Masaki.
  • Nami sijaishi kinyonge....Nikamwania napiga chuo Botswana huko,mana mana nilishayachoka mazingira ya Tz,joto kali.
  • Mimi na G nia marafiki kupitia urafiki wa baba zetu.
  • Nikawa namsimulia hadithi za matukio ya Botswana na majina ya kutunga ya maeneo ya huko.
  • Nikaomba ku-dance akakubali.....Pombe zikanyweka
  • Midamida nika kodi Taxi,mpaka Gesti za Kino...Kula tunda.
  • Baada ya wiki nikaanza mpotezea kwa madai nakaribia kurudi Botswana.
 
Enzi za kubalehe niliwahi kujiita Saidi, nikaanza kula msuli wa kusoma hekaya (hadith) mbali mbali za kiislam, na kuwasoma vyema makhalifa wa mtume muhammad, lengo lilikua kutafuna mtoto wa ustadh, nilifanikiwa ila hadi leo huyo binti sitasahau reaction yake alivyojua mimi ni msanii tu, niliuvunja moyo wake maana alikuwa ameiva sana kwenye dini akajua amekutana na kijana wa allah.
 
Nakumbuka ilikuwa mwaka 2012, Nilikuwa nikifanya field katika Kampuni flani ya Ujenzi,,
Nikajenga urafiki na mtoto wa moja ya Wakurugenzi wa Kampuni (G), alikuwa akisoma Marekani.alikuja Dar kama likizo.
Tukaenda kula bata Billcanas.
Demu wa G akaja na rafiki yake, vitoto vya ushuani.

Mwamba wakati yupo busy na demu wake,Mi nikajisogeza kwa kale kabinti,
  • Akaanza ongea pale kwamba anasoma Makelele Univ...na anakaa Masaki.
  • Nami sijaishi kinyonge....Nikamwania napiga chuo Botswana huko,mana mana nilishayachoka mazingira ya Tz,joto kali.
  • Mimi na G nia marafiki kupitia urafiki wa baba zetu.
  • Nikawa namsimulia hadithi za matukio ya Botswana na majina ya kutunga ya maeneo ya huko.
  • Nikaomba ku-dance akakubali.....Pombe zikanyweka
  • Midamida nika kodi Taxi,mpaka Gesti za Kino...Kula tunda.
  • Baada ya wiki nikaanza mpotezea kwa madai nakaribia kurudi Botswana.
Nishawahi danganya kuwa mimi ni mtoto wa Mbunge ili nile Dundo na walijaa wengi tu.. kwenye mfumo..
 
Back
Top Bottom