Ushawahi tumia uongo gani ilimradi umpate msichana/mwanamke au mwanaume kimahusiano?

Nakumbuka mwaka 2010 kipindi namaliza six pcm pale mirambo nilipewa namba na jamaa yangu ya pisi moja nayo ilikuwa inamaliza six mwaka huo huo shule ya wasichana ipo kg.

Niliidanganya kuwa nasoma masters Rassia gas and petr engene.... na nimekuja bongo kufanya research, na nikaiomba initumie details zake nimfanyie scholarship akasome degree yake ya kwanza Canada.
Kilichofuata ni kukutana na Kula mzigo kiulaini japo jamaa angu alie nipa namba za hii pisi hakupenda Kwa kuwa alisoma nayo olevel na aliifukuzia akashindwa ndo akaona anipe Mimi baada ya mabishano kuwa Mimi manz akinisikiliza tu hakatai.
 
Yuko wapi kwa sasa
 
Mrusi mweusi
 
Hii ya kwamba naishi nje ya nchi Siku ya mwisho nitatubu mbele ya Sir God nikilia na kufurahi kwa wakati mmoja

Ila ilinipa spirit ya kupambana na mmoja wao nilifanikiwa kwenda nae "ughaibuni" ila tulishindwana. Popote ulipo Nadia Nimekukumbuka sana πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
 
Nilidanganya kuwa nitaingiza kichwa tu alipokubali nilishindilia bakora yote fyaaaaa kama mshale akajifanya kununa nuna ,dakika chache kaanza kutembea na beat huku akiyoyoma tam! tam! tam!......
Duh
 
Sipendi macho mengi twenda Lodge lakini hatu fanyi chochote just stories..,sina pesa za kuchezea nilipe Lodge afu nikuache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…