financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Bachela sugu kabisa😀😀Bachela kama bachela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bachela sugu kabisa😀😀Bachela kama bachela
Lazima utakua mpiga nyeto wewe 😊😊Bachela sugu kabisa😀😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu sijui kwanini mara nyingi huwa inakata kipindi kibaya kifedha
No wonder we die so fuckn earlyWanaume mna mateso mengi sana Sema mnakomaaga kiume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]gas huwa ni ya ajabu sana kuna kipindi unapiga mahesabu unajua kabisa wiki hii lazima itaisha unatenga hela kabisa lakini unashangaa hata wiki 2 inakatika, lakini ukijichanganya tu ukila hiyo hela ndo inaisha
Tumia mikono kutikisa kama uko na mtungi mkubwaHivi hakuna kifaa kitakachowekwa kwenye mtungi kuonyesha gas inavyopungua?
Kuna umuhimu wa kuwa na mitungi miwili ili kubalanceIshawahi kunitokea hii, usiku napika zangu chips ndiyo nimeweka hata hazijaiva jiko si likazima, aargh ni usiku na sikua na pesa nilichofanya nikatoa viazi kwenye mafuta nikalala na njaa tu[emoji51][emoji119]
Na nahisi hata sahivi inakaribia kuisha gas gani tangu November 2020 hadi leo ipo tu mmh , japo huwa sipiki mara nyingi ila...
Nilijua mimi tuu asee...Halafu sijui kwanini mara nyingi huwa inakata kipindi kibaya kifedha
[emoji16][emoji16] usiseme kabisaGesi huwa haitaki dharau..
Usije ukaongea haya maneno ukiwa jikoni "Ila hii gesi imekaa"[emoji3][emoji3]
Acha tu mkuu,, hivi sijui huwa vinaambiana, unakuta mkaa umeisha,mafuta kula yameisha, sukari, mchele kagesi nako unapika mara kanaanza kusinzia daah!Nilijua mimi tuu asee...
Huwa nafanya hivyo lkn hutajua muda gani inakataTumia mikono kutikisa kama uko na mtungi mkubwa
Hahaha!Gesi huwa haitaki dharau..
Usije ukaongea haya maneno ukiwa jikoni "Ila hii gesi imekaa"[emoji3][emoji3]
Halafu sijui kwanini mara nyingi huwa inakata kipindi kibaya kifedha
Acha kutia huruma mengine mnajitakiaga. LolNo wonder we die so fuckn early
Yaani kama sio siku hiyo hiyo basi kesho yake.Gesi huwa haitaki dharau..
Usije ukaongea haya maneno ukiwa jikoni "Ila hii gesi imekaa"[emoji3][emoji3]
Kabisa mkuu wahenga waliotoa huo msemo hawakukosea aiseeHuu uhusiano sijui ulitokea wapi yani au ndio siku ya Kufa Nyani Miti yote huteleza [emoji3]
Dawa unafosi kuimaliza,leo unatenga kande,kesho maharage ivyo hiyo ili iishe ukanunue nyingine kabla hujatumia hela uliyoweka akiba kwa ajili ya gesigas huwa ni ya ajabu sana kuna kipindi unapiga mahesabu unajua kabisa wiki hii lazima itaisha unatenga hela kabisa lakini unashangaa hata wiki 2 inakatika, lakini ukijichanganya tu ukila hiyo hela ndo inaisha