Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Thanks, nitatafuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks, nitatafuta
kinapatikana wapi??
kinauzwaje mkuu??
Alafu mbaya zaidi huwa inakata usiku usiku😀Halafu sijui kwanini mara nyingi huwa inakata kipindi kibaya kifedha
Wanauza bei gan aseeMbona mtaan vipo wanaviuza ?
Kinauzwa sh ngapKipo. Ni regulator zenye gauge...... View attachment 1795336
Hcho kifaa (regulator) ulinunua sh ngapiChakushangaza zaidi mtungi wangu una Gage ya kuonyesha kama Gas ipo kiasi gani ila sikuwahi hata kuangalia sababu mtungi upo chini ya Meza, Kila nikitaka kuuvuta niangalie ipo kiasi gani basi najipa moyo mbona mzito bado ipo, nikijisahau tu ndio yanatokea yakutokea [emoji3]
Kwa aina hii ya regulator nenda kariakoo pale shimoni. Na kwenye maduka ya wahindi wanapouza hizi jiko za plate mbili na kadhalika wanakuwa nazo kuna fake lakini so kuwa makini sana.kinapatikana wapi??
Unatakiwa uwe na mtungi wa reserve.
Ishawahi kunitokea hii, usiku napika zangu chips ndiyo nimeweka hata hazijaiva jiko si likazima, aargh ni usiku na sikua na pesa nilichofanya nikatoa viazi kwenye mafuta nikalala na njaa tu😬🙌
Na nahisi hata sahivi inakaribia kuisha gas gani tangu November 2020 hadi leo ipo tu mmh , japo huwa sipiki mara nyingi ila...
Za kiwango cha ubora mdogo unaweza uziwa kuanzia 25,000.kinauzwaje mkuu??
Aisee sometimes nanunua, au nakausha tuUnasema hupiki mara nyingi, huwa unakula nini?
Aisee sometimes nanunua, au nakausha tu
Mmh nikaushe siku? Unataka nife ama? Huwa nakausha kwa masaa tu aisee !nikila mchana usiku nakausha 🤪Kama kukausha huwa ni kwa siku ngapi unaweza kukausha?
Dawa uwe na mitungi miwili kulingana na mahitaji yao. Kwa mfano, me huwa natumia miwili ile ya kilo kumi na tano.
Ukiisha mmoja sikai kusubiria sanaaa nitakaa kama wiki mbili au tatu nitakwenda kujaza ili iwe standby. Ila kwa sasa nataka kwenda chukua ule mkubwa kabisa.
Mmh nikaushe siku? Unataka nife ama? Huwa nakausha kwa masaa tu aisee !nikila mchana usiku nakausha 🤪
Na limeanza kushuka linaniudhii😀😀😂😂😂😂😂unafanya diet ili tumbo lisikushuke?
Na limeanza kushuka linaniudhii😀😀