financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hee ππ sawa ntaliambiaπππππlifunge mpira wa manati halafu liambie lishike adabu π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee ππ sawa ntaliambiaπππππlifunge mpira wa manati halafu liambie lishike adabu π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hee ππ sawa ntaliambia
Oa wewe, shauri yako.Aisee sometimes nanunua, au nakausha tu
Wewe mimi ni mdada ujue, hiyo oa hapo futaπ€Oa wewe, shauri yako.
Good! ππΎBahati nzuri like kubwa lina plates pia za Umeme.
Sasa ingekuwa juzi Kati ishu ya Tanesco sijui ningefanyeje huenda ningeagiza msosi.
Good! [emoji1476]
Umeme nimeunganisha katika oven, nilipikia kipindi fulani hadi Tanesco wakaona nimekidhi kuingizwa uchumi wa kati katika LUKU.
Leo umepika nini nije?!Mie mara nyingi tu.
Ila mara nyingi nakuwa nishajipanga maana huwa naihesabia tarehe. Na ikiwa mambo hayako vizuri kununua mtungi mwengine naponea kwenye electricity cooker. Ila siku hio mapishi huwa mwepesi......like chips na mayai tu baas
Nakuziangua tuu...Wewe mimi ni mdada ujue, hiyo oa hapo futa[emoji848]
Yeah kama vipi unatafuta hela halafu nenda kule kwenye duka la jumla la gesi kisha omba uongezee pesa uwape mtungi mdogo wakupe mkubwa uwe nayo miwili.Nina Mkubwa na mdogo
Ila yote ikiwa na gas natumia yote
Huku mboga kule chai [emoji23][emoji23]
Nimeona nisijaze tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea tangu November 2020? Mtungi mkubwa au?Ishawahi kunitokea hii, usiku napika zangu chips ndiyo nimeweka hata hazijaiva jiko si likazima, aargh ni usiku na sikua na pesa nilichofanya nikatoa viazi kwenye mafuta nikalala na njaa tu[emoji51][emoji119]
Na nahisi hata sahivi inakaribia kuisha gas gani tangu November 2020 hadi leo ipo tu mmh , japo huwa sipiki mara nyingi ila...
Mdada m ndiyo yupojeπ¬Nakuziangua tuu...
Najua sana wew ni mdada m.......
Ni kimtungi kidogo kabisa sijui hata imekuajeπ ila huwa sipiki mara nyingi na huwa napasha maji ya kuoga kupika kidogoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee dea tangu November 2020? Mtungi mkubwa au?
Hahaha acha tu yani sasa ukute upo choka mbaya sasa!
Jirani nimesha kufahamu[emoji23][emoji23]Ishawahi kunitokea hii, usiku napika zangu chips ndiyo nimeweka hata hazijaiva jiko si likazima, aargh ni usiku na sikua na pesa nilichofanya nikatoa viazi kwenye mafuta nikalala na njaa tu[emoji51][emoji119]
Na nahisi hata sahivi inakaribia kuisha gas gani tangu November 2020 hadi leo ipo tu mmh , japo huwa sipiki mara nyingi ila...
Yeah kama vipi unatafuta hela halafu nenda kule kwenye duka la jumla la gesi kisha omba uongezee pesa uwape mtungi mdogo wakupe mkubwa uwe nayo miwili.
Hahah hapo ndo utajua Microwave oven sio tu Kupasha na kuchoma, inapika mboga hata Wali [emoji3]
Dah hizi nyuzi nyingine zinanikumbushia machungu, kuna muda mpaka najiuliza eti na mimi nitafanikiwa kimaisha ? iliwahi kukata ndio nataka kupika nyama, halafu nipike wali....ile nakaangiza kitunguu kitu kikakata, kilichofuta nilikula kitunguu cha kukaanga na maziwa ya Tanga fresh [emoji17]
Kuna neno nilitaka kuandika ila spelling zake nimezisahau.Mdada m ndiyo yupoje[emoji51]