financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Wee mimi ni mdada si mkaka bana!Lazima utakua mpiga nyeto wewe 😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mimi ni mdada si mkaka bana!Lazima utakua mpiga nyeto wewe 😊😊
Ni kweli ni muhimu maana hizi surprises za kuisha gesi zinaudhi, afu inaisha ukiwa huna pesa😒Kuna umuhimu wa kuwa na mitungi miwili ili kubalance
Tafiti mpya zinaonesha hili tatizo limehamia kwa wanawakeWee mimi ni mdada si mkaka bana!
🥺🥺🤷♂️ na nyie mmehamia wapi?Tafiti mpya zinaonesha hili tatizo limehamia kwa wanawake
Tumeacha🥺🥺🤷♂️ na nyie mmehamia wapi?
Ukicheki mfukoni huna pesa! Ndiyo utajua gesi haina adabu😀😀Tena ubaya mm imenikuta mara 2, Tena usiku wa ijumaa ,Kati Kati ya mwezi, maeeeee ,what a coincidence [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulifanya nini kuhakikisha unaivisha chakula?Imeshawahi kuniishia at the same time. 🤣🤣🤣
Yaani exact same time wa Kilo 15 na wa kilo 6.
Bahati nzuri like kubwa lina plates pia za Umeme.Ulifanya nini kuhakikisha unaivisha chakula?
🤣🤣🤪Ishawahi kunitokea hii, usiku napika zangu chips ndiyo nimeweka hata hazijaiva jiko si likazima, aargh ni usiku na sikua na pesa nilichofanya nikatoa viazi kwenye mafuta nikalala na njaa tu😬🙌
Na nahisi hata sahivi inakaribia kuisha gas gani tangu November 2020 hadi leo ipo tu mmh , japo huwa sipiki mara nyingi ila...
Kipo. Ni regulator zenye gauge......Hivi hakuna kifaa kitakachowekwa kwenye mtungi kuonyesha gas inavyopungua?
2Hivi hakuna kifaa kitakachowekwa kwenye mtungi kuonyesha gas inavyopungua?
3Hivi hakuna kifaa kitakachowekwa kwenye mtungi kuonyesha gas inavyopungua?
4Hivi hakuna kifaa kitakachowekwa kwenye mtungi kuonyesha gas inavyopungua?
Kabisa mkuu wahenga waliotoa huo msemo hawakukosea aisee
Hahaha acha tu yani sasa ukute upo choka mbaya sasa!Chakushangaza zaidi mtungi wangu una Gage ya kuonyesha kama Gas ipo kiasi gani ila sikuwahi hata kuangalia sababu mtungi upo chini ya Meza, Kila nikitaka kuuvuta niangalie ipo kiasi gani basi najipa moyo mbona mzito bado ipo, nikijisahau tu ndio yanatokea yakutokea [emoji3]