[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah hizi nyuzi nyingine zinanikumbushia machungu, kuna muda mpaka najiuliza eti na mimi nitafanikiwa kimaisha ? iliwahi kukata ndio nataka kupika nyama, halafu nipike wali....ile nakaangiza kitunguu kitu kikakata, kilichofuta nilikula kitunguu cha kukaanga na maziwa ya Tanga fresh [emoji17]
Wali wa nazi, maharage na jodari wa kukaanga [emoji1787]Leo umepika nini nije?!
Nikinunua mchana, hapo usiku nakausha mkuuπUmenichekesha, sasa unakausha ndiyo una maana gani? Kuwa hauli au [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nunua pressure cooker multi purpose ya umeme., Gesi ikikata unapikia huko.Kuna siku nimekata nyanya vitungu karot na pili pil hoho vzur nmeweka kwny sahani kwa ajiri ya kuunga nmeweka mafuta kwny sufuri inachemka ghafla ges imekata afu mtung mkubwa nkaishiwa poz ikabid nmwage kila kitu jiko la mkaa nlikuwa sina
Pole ZurieMimi hiyo siku nimepania wali nazi, samaki nazi...
Nimekuna nazi 3 nimechuja. Nimekatakata bamia na nyanya chungu...nimeloweka mchele...
Ile nimeweka sufuria tu ya mboga nianze kupika jiko likazima. Na nilikuwa na sh. 30,000 tu ya kunifikisha mwisho wa mwezi.
Nililiaaaaa........
Pole sana, hizi gesi zinaweza kukufanya ukala vitu vibichi.Mimi hiyo siku nimepania wali nazi, samaki nazi...
Nimekuna nazi 3 nimechuja. Nimekatakata bamia na nyanya chungu...nimeloweka mchele...
Ile nimeweka sufuria tu ya mboga nianze kupika jiko likazima. Na nilikuwa na sh. 30,000 tu ya kunifikisha mwisho wa mwezi.
Nililiaaaaa........
Hahaaaaaaa kwa nini uvizie mkuu, kuwa huru okota tuImeisha muda si mrefu hapa alafu nimetoka kuinjika maharage ya kukopa kwa Mangi. Akiba nina 1000 tu... hapa navizia watu walale nikaokote mbao nichemshe nje huko na moto wa kuni maana hali sio hali
Hahaaaaaa pole sanaNimejisikia vibaya kuuona huu uzi maana nilihonga bila kujua, ipo hivi Dem wangu alinikaribisha kwake weekend kuinjoy .sasa ilikuwa mchana anajipinda kunipikia kidume gas ikakata akaniangalia kwa huruma,akaita "mmewangu shetani mbaya amepeleka gas".
Nilimpa noti kadhaa akajaze .(UWABATA I'm sorry)
Kama ulilia itakua ulikua na kipre [emoji1768]Mimi hiyo siku nimepania wali nazi, samaki nazi...
Nimekuna nazi 3 nimechuja. Nimekatakata bamia na nyanya chungu...nimeloweka mchele...
Ile nimeweka sufuria tu ya mboga nianze kupika jiko likazima. Na nilikuwa na sh. 30,000 tu ya kunifikisha mwisho wa mwezi.
Nililiaaaaa........
Kuna siku hili lilitokea nakumbuka nilikua napika kwa jiko la mkaa nje mvua ikanyesha nikazima moto kwa maji nikaamisha chakula ndani kwenye gesi mweeee!! π π Gesi dakika kadhaa kwishaaaa mvua inayesha mida umeenda pesa hakuna moto nimezimaJamani gesi ni nishati inayorahisisha mapishi kwa haraka.
Ila ina kero yake jamani wakati ndio unapika inaweza isha ghafla na pengine kwa wakati huo huna hela ya kununua tena au unanunua mbali.
Unaanza hangaika na kuwasha mkaa nk.
Hebu tueleze ilikuwaje.
Nna backup ya jiko la umeme plate moja....kabla nlikuwa natukana siku nzima, kifua kinajaa, hasira na jazba gesi ikikata na kitu hakijaiva.Jamani gesi ni nishati inayorahisisha mapishi kwa haraka.
Ila ina kero yake jamani wakati ndio unapika inaweza isha ghafla na pengine kwa wakati huo huna hela ya kununua tena au unanunua mbali.
Unaanza hangaika na kuwasha mkaa nk.
Hebu tueleze ilikuwaje.
Hapo poaah.Hii imenifanya ninunue plate nne moja ya umeme gesi ikiisha unahamia kwa umeme hapo vipii
Gesi inaisha huna hata kumi ππHapo poaah.
Ndo shda inapoanza hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gesi inaisha huna hata kumi [emoji23][emoji23]
π π πNakumbuka nilikunywa uji na mboga siku hiyo