Kumbe... nilikuwa najiuliza mbona Manengelo sio wa povu hivi. Nikadhani kuna mtu ame hack iphone yake...Asante kwa ushauri mzuri sana mkuu...[emoji120]
Lakini kwa lile la jana, ebu lisikufanye unichukie tafadhali....
Sijui kajificha wapi maisha sometimes yanaamuaga tu kukufanya chochote inabidi kugangamaa tuhahahhahaa hv bado yupo?hahaha alikua hawt enzi zile
Sijui kajificha wapi maisha sometimes yanaamuaga tu kukufanya chochote inabidi kugangamaa tu
Mkuu...Mpk nw unaharibu uzi thanks God hakuna anayekuelewa...!dunia hii ione hvhv!peace
Siku ya kwanza nimeiona ile picha nilikuwa nàanza kula na malaria imenikamata haswaaa niliacha kula maana inatia kinyaa sana ile pichaIle ya kucheka inayofanana na avatar yako kila thread unatupia yaan siipendi mimi
Mkuu...
Ebu naomba niwe mkweli kwenye hili.
Mimi tabia ya kuomba omba kwakweli siipendi. Na hasa ninachukizwa sana na mtu anae omba ilkhali hana sababu ya msingi, na ukiangalia utagundua anaomba kwasababu ana mipango mibovu ya matumizi ya fedha.
Asante
Siku ya kwanza nimeiona ile picha nilikuwa nàanza kula na malaria imenikamata haswaaa niliacha kula maana inatia kinyaa sana ile picha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilijua niko peke yangu pichaa siipendi ileSiku ya kwanza nimeiona ile picha nilikuwa nàanza kula na malaria imenikamata haswaaa niliacha kula maana inatia kinyaa sana ile picha
Happy birthday to you too darlingHappy birthday mzee wa kutupia picha mbaya Yesu azidi kukutunza
Nimekumissyeah inatia kinyaa
Nichukue basi na mimi nikasafiri hata Kenya hapoAtakuwa alirudi kwao Kenya ..niliwah kuwa na rafiki mkenya ..kumbe ni mtu na ndugu yake...wamefanana kinoma..nahis walimrudisha kwao maana kuna kipindi alichoka sana na sembe
Asante sana mkuu....
Naunga mkono hoja
We babu umechanganyikiwa uache kumuwish mwenye bday yake uniwish mmHappy birthday to you too darling