"Ushimen" hivi ndivyo nimeamua kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa

Happy birthday brother.... kila siku huwa unanivunja mbavu zangu..uishi miaka mingimingi,,,naomba nikuone bday man tupia kapicha brother [emoji28]


Kwanini unapenda masikhara?
Kwa jiji la dodoma unadhani fursa gani zipo nzuri kuzifanya???

Unadhani Nini kifanyike kupunguza Hali ngumu ya maisha ya vijana wengi hususan wahitimu wa vyuo vikuu??

Ungepewa nafasi ya kuwa rais Sera yako ingekuwa ipi???




Sent using Jamii Forums mobile app
 
yeah inatia kinyaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilijua niko peke yangu pichaa siipendi ile
Naomba niwaombe radhi sana kwa hili...
Na pia naomba niwahakikishie kwamba sinto rudia tena kuwafanya mtapike pizza kwa kile kichefchefu....[emoji25] [emoji25]
 
Mpaka lini waunga mkono?
Mkuu, ebu naomba nikifute hili neno rasmi kuanzia leo. Maana nimejikuta nafanya maskhara hata ninawakwaza member wenzangu humu jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…