Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Happy Birthday Mkuu. Ile gari yako unayopost ina kengele mbili nyuma ndio dream car yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana mkuu...[emoji5]Happy Birthday Mkuu. Ile gari yako unayopost ina kengele mbili nyuma ndio dream car yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu we post tu mi napenda sana ,hiyo ndiyo identity yako sidhani kama kila post ya mtu inakufurahisha humu ,zitupieAsante sana mkuu...[emoji5]
Ule mkebe nilikua ninaupost kwasababu ya kuchangamsha nyuzi tu....
Lakini kuanzia leo sinto post picha yeyote, kwasababu nimegundua kumbe nilikua nikiwakwaza watu wengi kwasababu ya maskhara aiseeeeee...
Mkuu....Mkuu we post tu mi napenda sana ,hiyo ndiyo identity yako sidhani kama kila post ya mtu inakufurahisha humu ,zitupie
Tatizo mkubwa unawawekea u soft sana.Asante mkuu...
Lakini kuanzia leo, rasmi maskhara nimeacha kwasababu kumbe nimekua kikwazo
Mkuu, kila jambo lina wakati wake.Tatizo mkubwa unawawekea u soft sana.
Yaani mtu akupangie eti uweke avatar gani, au ucoment nn??
Mbona basi wewe hauwapangii waweke picha gani mkuu??
Mbona manyuzi kibao yamejaa madudu humu sisi tunafurahi siku ipite??
Siko hapa kumfurahisha mtu
Mkuu we post tu mi napenda sana ,hiyo ndiyo identity yako sidhani kama kila post ya mtu inakufurahisha humu ,zitupie
We unao wangapi
Kwanza napenda kushukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipea uhai na afya njema mpaka nimefika salama siku ya leo tena.
Pili kwa dhati kabisa naomba niwaombe radhi wale wote ambao nimewakwaza na kuwakosea, kwa kukusudia ama kwa kuto kukusudia.... Nawaomba radhi sana wote wakubwa kwa wadogo.
Tatu naomba niwaombe radhi wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno ya maskhara ama kwa vile vipicha vya kuudhi pamoja na avatar yangu isiyo wavutia wengi.... Nawaomba mniwie radhi sana.
Pia naomba ninashkuru sana wateja wangu wote ambao wame wahi kuniamini na kufikia kufanya biashara nao, hawa nawaambia ahsanteni na karibuni tena sana.
Leo nimeamua kwamba, kwakua ni siku yangu ya kufurahia ninapo tumiza umri wa miaka kadhaa.... basi nimeamua kwa yeyote mwenye swali lolote aniulize hapa. Nami nitajibu maswali yote hapa hapa.
Karibuni tusherehekee...
Pamoja mkuu.Asante sana mkuu...
Nilizaliwa tarehe 21 March 1981.
Bilashaka nimekujibu vyema