"Ushimen" hivi ndivyo nimeamua kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa

"Ushimen" hivi ndivyo nimeamua kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa

Happy Birthday Mkuu. Ile gari yako unayopost ina kengele mbili nyuma ndio dream car yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu...[emoji5]
Ule mkebe nilikua ninaupost kwasababu ya kuchangamsha nyuzi tu....
Lakini kuanzia leo sinto post picha yeyote, kwasababu nimegundua kumbe nilikua nikiwakwaza watu wengi kwasababu ya maskhara aiseeeeee...
 
Asante sana mkuu...[emoji5]
Ule mkebe nilikua ninaupost kwasababu ya kuchangamsha nyuzi tu....
Lakini kuanzia leo sinto post picha yeyote, kwasababu nimegundua kumbe nilikua nikiwakwaza watu wengi kwasababu ya maskhara aiseeeeee...
Mkuu we post tu mi napenda sana ,hiyo ndiyo identity yako sidhani kama kila post ya mtu inakufurahisha humu ,zitupie
 
Hongera kwa kuongeza miaka mkuu vp umefanikiwa kula ata watoto wa udom au cbe hapo dodoma.
 
Mkuu we post tu mi napenda sana ,hiyo ndiyo identity yako sidhani kama kila post ya mtu inakufurahisha humu ,zitupie
Mkuu....
Naomba niheshimu mawazo yako, na kwakua wengi nimeonekana nikiwakwaza... sasa rasmi nimeamua hata kubadilisha avatar ili niwe mimi wa ukweli[emoji5]
 
Hongera kwa kuongeza miaka mkuu vp umefanikiwa kula ata watoto wa udom au cbe hapo dodoma.
Asante sana mkuu...
Kwasasa nipo kwenye ndoa mkuu, hivyo cbe na udom hapanihusu kabisa...[emoji5]
 
Asante mkuu...
Lakini kuanzia leo, rasmi maskhara nimeacha kwasababu kumbe nimekua kikwazo
Tatizo mkubwa unawawekea u soft sana.
Yaani mtu akupangie eti uweke avatar gani, au ucoment nn??
Mbona basi wewe hauwapangii waweke picha gani mkuu??
Mbona manyuzi kibao yamejaa madudu humu sisi tunafurahi siku ipite??

Siko hapa kumfurahisha mtu
 
Tatizo mkubwa unawawekea u soft sana.
Yaani mtu akupangie eti uweke avatar gani, au ucoment nn??
Mbona basi wewe hauwapangii waweke picha gani mkuu??
Mbona manyuzi kibao yamejaa madudu humu sisi tunafurahi siku ipite??

Siko hapa kumfurahisha mtu
Mkuu, kila jambo lina wakati wake.
Kwenye maisha kuna nyakati nyingi sana tofauti pamoja na nyakati za huzuni na nyakati za furaha...
 
Kwanza napenda kushukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipea uhai na afya njema mpaka nimefika salama siku ya leo tena.
Pili kwa dhati kabisa naomba niwaombe radhi wale wote ambao nimewakwaza na kuwakosea, kwa kukusudia ama kwa kuto kukusudia.... Nawaomba radhi sana wote wakubwa kwa wadogo.
Tatu naomba niwaombe radhi wale wote ambao nimewahi kuwakwaza kwa maneno ya maskhara ama kwa vile vipicha vya kuudhi pamoja na avatar yangu isiyo wavutia wengi.... Nawaomba mniwie radhi sana.
Pia naomba ninashkuru sana wateja wangu wote ambao wame wahi kuniamini na kufikia kufanya biashara nao, hawa nawaambia ahsanteni na karibuni tena sana.

Leo nimeamua kwamba, kwakua ni siku yangu ya kufurahia ninapo tumiza umri wa miaka kadhaa.... basi nimeamua kwa yeyote mwenye swali lolote aniulize hapa. Nami nitajibu maswali yote hapa hapa.

Karibuni tusherehekee...

Ilikuwaje hii party ya Ushirombo nikaikosa? Hongera Mkuu nakutakia maisha marefu yenye furaha.
 
Back
Top Bottom