Uchaguzi 2020 Ushindi wa CCM mwaka huu utakuwa mtamu sana kwa sababu Dkt. Magufuli atamshinda mpinzani wa kweli Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Ushindi wa CCM mwaka huu utakuwa mtamu sana kwa sababu Dkt. Magufuli atamshinda mpinzani wa kweli Tundu Lissu

Ushindi wa magu utakuwa mtamu haaaa labda ashinde njaa sio kura wewe angalia makundi haya
1 wavuvi
2 vyeti feki
3 bomoabomoa
4 kutopandishwa mishahara na madaraja
5 ajira vijana wengi wahitimu vyuo wapo tu
6 watuwanaishi kama sio nchi yao hofu nikubwa sana
7 ubaguzi wa vyama hanauwezo wakuonganisha mawazo anataka kuongoza kama famillia yake anasahau kuwa nchi ni umma
Nk anachomokea wapi lisu amegombea amemkuta magu kavuruga maeneo hayo sana yaloikuwa yanataka kumbeba magu niflyover mvua 1 tu kwisha habari y ake siwanasema urais nikazi ngumu mbona wanaitaka kwanguvu hatakama imemshida?
Huyo mwamba anapenya mote humo.
 
Inanikumbusha kombe la Dunia mwaka 2002 ambapo kilikuwa na sheria ya Golden goal yaani hilo ukifungwa game imeisha ilikuwa kandanda safi sana.

Sasa kwa uchaguzi huu naona Lisu akipigwa Golden goal dakika ya kwanza tuu ya dakika za nyongeza na kuwaacha mashabiki zake wakilialia.

Poleni sana Lialia FC na bado muda mnao njoeni mjiunge na The Champion JPM.

October 28 kura zote ni kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Pia tutakuwa tumewashinda wagombea wawili kwa mpigo, mwigine ni kutoka Jumuhiya ya Ulaya anayepigia kambeni twitter!
 
CCM kwisha habari.....ujeuri wenu umewaponza...
 
Tangu chaguzi za vyama vingi zianze tumezoea kuona wagombea urais wa upinzani ambao wamewahi kuwa wanachama wa CCM au TANU huko nyuma.

Sina hakika kama huyu Tundu Lissu aliwahi kupitia chipukizi au UVCCM wakati akiwa mwanafunzi ila siasa za " ukubwani" amezianzia NCCR mageuzi.

Ndio kusema kwa mara e kwanza CCM inakutana na mpinzani wa kweli tangu mfumo wa vyama vingi uasisiwe.

Maana yake ni kwamba ushindi wa Rais Magufuli hapo Oktoba 28 utakuwa mtamu sana kupita chaguzi zote zilizotangulia.

Maendeleo hayana vyama!
Labda kwa maagizo ya NEC.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu, kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Hatutakubali na nani,labda utajifungia chumbani kwako. Watu wanaimani na magufuli wewe.kama kikwete pamoja na yote aloyafanya ikiwa ni pamoja na kuimbiwa chama kinamfia alitoboa 10 magu ashindwe kwa lipi. RAIS NI MAGUFULI.
Jipe moyo
 
Back
Top Bottom