YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Chadema mbona mlipata mpemba Duni haji mtu mwenye nguvu kubwa siasa za Zanzibar mbona mlishindwa ku mu.handle hadi akakimbilia ACT wazalendo ambako alifanikisha ACT wazalendo kupata makamu wa Raisi ,na wabunge wengi bungeniNarudia tena, Tanzania hakuna uchaguzi Bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Ingekuwa wananchi ndio wanaamua nani awe madarakani kupitia box la kura, Leo hii ccm isingekuwa madarakani.
Hao ACT hawako madakani huko Zanzibar kwa sababu ya sera Bali ni mpasuko wa CUF ulipelekea Maalim Seif kuondoka na wafuasi wake na kuwabwaga ACT. Na kwa huko Zanzibar ushindani sio wa sera, Bali ni tofauti kati ya waunguja na wapemba. Fahamu ACT haikuanzia Zanzibar hivyo acha upotosha, Bali ACT walikutana na embe chini ya mnazi, baada kutokana na ugomvi wa CUF. Ukitaka kujua wananchi wanataka Nini kifanyike uchaguzi wa haki kisha uje utoe mrejesho hapa.
Hamjui siasa ,siasa inatumia mbinu zote kufanikisha jambo
Chadema mko sifuri kelele tu za unaharakati siasa mko zero