Aisee,Kwa hiyo huo Ufundi wako Ndio unampa kocha!Yanga wanacheza mpira mzuri lakini hawajui kupiga penalty. Siyo mara ya kwanza kwa Yanga kushindwa kwa penalty hata wakati Mayele anaglipo. Kombe zla Mapinduzi walitolewa kwa penalty hivyo hivyo. Inabidi mwalimu awaweke somo maalumu la kupiga penaly. Huwezi kupiga penaly hkuel;ekea unakotazama kwani golikipa atarukia huko huko. Wapiga Penalty wazuri wakieleka kushoto basi ujue mpira utapigwa ama katikati au kulia wakati golikipa amesharukia kushoto.
Kuna tofauti kati ya kucheza league na tonarment (kwenye hili simba as a big team in Africa naona wameanza kulifahamu) ,ngao ya jamii ilikuwa ni tonarment tu ambayo haiitaji magoli kuamua usonge mbele isipokuwa kumtoa mpinzani wako ili kufikia hatua inayofuata hatimaye kuchukua kikombe, hayo magoli yatakuja tu subir league ianzeSimba tumeshinda pambano la Ngao ya jamii kwa kucheza mechi mbili dk 180 bila timu yetu kufunga hata BAO moja kimiani. Tunajiuliza ni nini hiki, Ubovu wa kocha, wachezaji au ubora wa timu nyingine? Tunajua kuwa tumeupata huu Ushindi kwa kelele nyingi juu ya waamuzi kutoka ndani na nje ya uwanja.
Hali itaendelea kama hivi au itaimarika? Je, wakati sisi tukiimarika na wenzetu nao siwanaendelea kuimarika pia? Tumepigwa?
Ukweli tunafurahia Ngao usoni TU lakini ukweli tunao mioyoni mwetu, false hope.
Ikiwa wewe huna furaha usiwajumuishe wana Simba (mie nikiwemo) wenye furaha wawe kama wewe.Ukweli tunafurahia Ngao usoni TU lakini ukweli tunao mioyoni mwetu, false hope.
Yanga wanafurahia Simba kutokuwa na furaha. Hili tulijadili.Simba hawana furaha, hilo halina mjadala.
Huyu tumkague nguo zake za ndani:Simba tumeshinda pambano la Ngao ya jamii kwa kucheza mechi mbili dk 180 bila timu yetu kufunga hata BAO moja kimiani.
Jibu la kipumbavu hilo; ongea mantiki siyo kuleta vijembe.Aisee,Kwa hiyo huo Ufundi wako Ndio unampa kocha!
yanga mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe hata mlivyoshindwa kwenye fainali ya looser cup mlikuwa mnajifariji hivyohivyo ila bingwa atabaki yuleyule wa ngao ya jamii.
Simba siku zote wamekuwa wakijadili timu Yao Kwa sababu level ya Simba ipo Juu ndio maana wanashangaa kwanini Hawa underdog wametupekeka Hadi kwenye mikwaju ya penati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba hawana furaha, hilo halina mjadala.
Lakini cha ajabu TFF ikawapa ubingwa! Huu ni upendeleo wa wazi kabisaIngekuwa ligi kuu hapo points zilikuwa zimegawanwa sasa hawawezi furahia kwa sababu uwezo wa kuondoka na point tatu dhidi ya singida hawakuwa nao. Dhidi ya yanga hawakuwa nao
Kwahiyo mmefurahiii? Mmepata pa kupunguzia hasira baada ya msimu jana kuambulia patupu? Kule ulaya ngao ya jamii mapato hugawanya equally kwa timu zote mbili na kiasi kingine kuelekezwa kwenye mambo ya kijamii. Ngao ya hisani huwezi jivimbisha kifua mtaani eti na wewe umekuwa bingwa ππππLakini cha ajabu TFF ikawapa ubingwa! Huu ni upendeleo wa wazi kabisa
Sasa sijajua ni kwa nini TFF iliandaa mashindano haya; mimi nahisi ni njama ya kutuhujumu Yanga. Mimi nadhani gharama za kufanya maandalizi pamoja na kulipia Hotel kwa timu nne, ni bora TFF ingeomba hizo hela tuwachangie, kuliko kutupangia mechi dhidi ya Simba halafu wanapewa ngao, sisi hatupati chochoteKwahiyo mmefurahiii? Mmepata pa kupunguzia hasira baada ya msimu jana kuambulia patupu? Kule ulaya ngao ya jamii mapato hugawanya equally kwa timu zote mbili na kiasi kingine kuelekezwa kwenye mambo ya kijamii. Ngao ya hisani huwezi jivimbisha kifua mtaani eti na wewe umekuwa bingwa ππππ
Ila Uto mnahangaika...Poleni...Simba tumeshinda pambano la Ngao ya jamii kwa kucheza mechi mbili dk 180 bila timu yetu kufunga hata BAO moja kimiani. Tunajiuliza ni nini hiki, Ubovu wa kocha, wachezaji au ubora wa timu nyingine? Tunajua kuwa tumeupata huu Ushindi kwa kelele nyingi juu ya waamuzi kutoka ndani na nje ya uwanja.
Hali itaendelea kama hivi au itaimarika? Je, wakati sisi tukiimarika na wenzetu nao siwanaendelea kuimarika pia? Tumepigwa?
Ukweli tunafurahia Ngao usoni TU lakini ukweli tunao mioyoni mwetu, false hope.