Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Hoja Imeungwa MkonoYanga wanafurahia Simba kutokuwa na furaha. Hili tulijadili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja Imeungwa MkonoYanga wanafurahia Simba kutokuwa na furaha. Hili tulijadili.
Tofautisha tournament na league mdogo wangu.Ingekuwa ligi maana yake Yanga na Azam wangekuwa na Points 4 kila moja, Simba point 2 na Singida point 1 mpaka sasa. Unaona namna simba ambavyo ingeanza vibaya mashindano?. Ni mpumbavu tu wa Simba anaweza kushangilia ushindi wa ngao na kusahau ukweli. Timu zote kwenye ligi zinaendelea kuimalika, sio simba tu kama wanavyotaka iwe.
Wakati Simba ikihitaji muda zaidi wa kutatua tatizo la kucheza kitimu na kufunga goli angalau moja, Yanga na Azam nao wanahitaji muda wa namna ya kufunga magoli zaidi zaidi ya 3 na namna ya kupiga penalties.Muda gani ? Mwezi , miezi ,mwaka? Kwa hiyo tunaweza kuona ni tatizo la muda mrefu kumbe kamati ya ufundi itatua tatizo ndani ya muda mfupi.
Tournament ndio timu haitakiwi kufunga goli ili isubiri matuta? Ni mjinga TU ndio anawaza hivyo. Hata robertihno mwenyewe hawazi kijingajinga kama hivyo. Robertihno imemshangaza sana na akajiona kumbe anayo kazi kubwa ya kufanya dhidi ya Yanga na Azam wewe unawaza kizembe zembe.Tofautisha tournament na league mdogo wangu.
INGE huwa inatamkwa sana na wajinga, wapumbavu na walioshindwa.
Je, wewe upo nafasi gani?
Huwa sibishani na mbumbumbu, mwenye mihemko ya barehe.Tournament ndio timu haitakiwi kufunga goli ili isubiri matuta? Ni mjinga TU ndio anawaza hivyo. Hata robertihno mwenyewe hawazi kijingajinga kama hivyo. Robertihno imemshangaza sana na akajiona kumbe anayo kazi kubwa ya kufanya dhidi ya Yanga na Azam wewe unawaza kizembe zembe.
Kama power dynamo walifungwa goli 2 , ni timu gani bora hapa bongo kuliko power dynamo mpaka simba iwahitaji muunganiko zaidi ili kufunga goli? Simba kushindwa kufunga goli dhidi ya yanga na Singida haimaanishi simba hawezi kuifunga goli yanga au singida wakicheza kesho.Wakati Simba ikihitaji muda zaidi wa kutatua tatizo la kucheza kitimu na kufunga goli angalau moja, Yanga na Azam nao wanahitaji muda wa namna ya kufunga magoli zaidi zaidi ya 3 na namna ya kupiga penalties.
Power Dynamo walikuwa wanajaribu wachezaji wake kama sehemu ya preseason wakati Simba ilicheza kama mechi ya mashindano ya must win.Kama power dynamo walifungwa goli 2 , ni timu gani bora hapa bongo kuliko power dynamo mpaka simba iwahitaji muunganiko zaidi ili kufunga goli? Simba kushindwa kufunga goli dhidi ya yanga na Singida haimaanishi simba hawezi kuifunga goli yanga au singida wakicheza kesho.
Unabishana kizembe sana, hakuna kocha duniani anaewaza anaacha kufunga magoli ili kusubiri penalty kwenye mashindano.Huwa sibishani na mbumbumbu, mwenye mihemko ya barehe.
Wewe mshamba mshamba umeanza kushabikia mpira juzi baada ya kufika mjini.
Maelezo kama hayo ni ushahidi tosha wa furaha bandia ya ngao. Robertihno hawazikizembe kama hivyo, mziki aliouona kwa Yanga anatamani aondike au asajili upya wachezaji wengine.Tatizo hujui kuwa yale ni mashindano ya ngao sio ligi,so muhimu lipatikane kombe tu,hata kwa kuliiba ili mradi lipatikane tu,hayo mengine mbwembwe tu..haya nyie mmeshinda mechi ila ngao hamna ,mna tofauti gani na baskeli ya kunolea visu???
Kuna wachezaji ambao nguvu Yao ya kuichezea Simba ya Sasa imeshuka sana, hawezi kucheza dk 90 kwa uwezo uleule. Wachezaji hao ni Bocco, shabalala, kapombe na saido.Tatizo ni huyu kocha.
Hakika huwezi mtegemea Bocco kama mshambuliaji namba 1.Inahitaji uwe taahira kuamini hivyo.
Kuamini Moses Phiri hana uwezo kwa sasa ni lazima uwe taahira fulani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliYanga wanafurahia Simba kutokuwa na furaha. Hili tulijadili.
Punguza makasirikooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo mmefurahiii? Mmepata pa kupunguzia hasira baada ya msimu jana kuambulia patupu? Kule ulaya ngao ya jamii mapato hugawanya equally kwa timu zote mbili na kiasi kingine kuelekezwa kwenye mambo ya kijamii. Ngao ya hisani huwezi jivimbisha kifua mtaani eti na wewe umekuwa bingwa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Shabalala na kapombe watoe.Kuna wachezaji ambao nguvu Yao ya kuichezea Simba ya Sasa imeshuka sana, hawezi kucheza dk 90 kwa uwezo uleule. Wachezaji hao ni Bocco, shabalala, kapombe na saido.
Mtibwa 2-2 Simba, hakuna Onana wala Fondo wala Ngoma, mmepigwaTatizo hujui kuwa yale ni mashindano ya ngao sio ligi,so muhimu lipatikane kombe tu,hata kwa kuliiba ili mradi lipatikane tu,hayo mengine mbwembwe tu..haya nyie mmeshinda mechi ila ngao hamna ,mna tofauti gani na baskeli ya kunolea visu???