Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Aug 17, 2023 #61 kavulata said: Mtibwa vs Simba Wenye akili nyingi tulishaichambua Simba wakati ya ngao lakini mambumbu wakawaka kwelikweli Click to expand... Alivyokandwa Yanga Na Mtibwa Pia
kavulata said: Mtibwa vs Simba Wenye akili nyingi tulishaichambua Simba wakati ya ngao lakini mambumbu wakawaka kwelikweli Click to expand... Alivyokandwa Yanga Na Mtibwa Pia
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Aug 17, 2023 #62 Mtabwabwaja sana mpk suruali ziwalegee na kukonda kwa husda ..
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Aug 18, 2023 Thread starter #63 Venus Star said: Huwa sibishani na mbumbumbu, mwenye mihemko ya barehe. Wewe mshamba mshamba umeanza kushabikia mpira juzi baada ya kufika mjini. Click to expand... Unaongea mahaba huongei mpira na kufanya hivyo ni aina fulani ya ujinga kwenye mpira. Simba msimu huu Haina timu.
Venus Star said: Huwa sibishani na mbumbumbu, mwenye mihemko ya barehe. Wewe mshamba mshamba umeanza kushabikia mpira juzi baada ya kufika mjini. Click to expand... Unaongea mahaba huongei mpira na kufanya hivyo ni aina fulani ya ujinga kwenye mpira. Simba msimu huu Haina timu.
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Aug 18, 2023 Thread starter #64 Kalpana said: Mtabwabwaja sana mpk suruali ziwalegee na kukonda kwa husda .. Click to expand... Simba inapishana na mtibwa shuga itaziweza timu za super league? Au Tunataka kulipaka kamasi taifa?
Kalpana said: Mtabwabwaja sana mpk suruali ziwalegee na kukonda kwa husda .. Click to expand... Simba inapishana na mtibwa shuga itaziweza timu za super league? Au Tunataka kulipaka kamasi taifa?
XII Tz JF-Expert Member Joined Aug 16, 2020 Posts 4,345 Reaction score 7,076 Aug 18, 2023 #65 Malalamiko fc
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Aug 18, 2023 Thread starter #66 Kalpana said: Mtabwabwaja sana mpk suruali ziwalegee na kukonda kwa husda .. Click to expand... papatupapatu na mtibwa tumeiona.
Kalpana said: Mtabwabwaja sana mpk suruali ziwalegee na kukonda kwa husda .. Click to expand... papatupapatu na mtibwa tumeiona.