aiseeHatufiki mbali ,pesa zina machozi ya watu
huwezi kusoma nakujiongeza kuelewa mambo madogo?makubwa unaweza kweli?Nini hiki umeandika
Uganda 0-2 AlgeriaAlgeria watatupiga 4-0 na habari yetu itaishia hapo.
Algeria hii ninayoiona hapa watatupiga nyingi tena kama sikosei tunachezea kwao. Safu yetu ya mbele ni butu.Uganda 0-2 Algeria
Tuombe tutoe draw nao