Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa bana unatia aibu na hili bandiko lako, simba mechi ya leo alihitaji asifungwe tu full stop sasa ulitaka atumie nguvu nyingi ili iweje?Lugha imebadilika kutoka kushinda goli nyingi kwenda tumechaza kulinda ushindio tulioupata ugenini.
Siamini hii ni bandiko la Salary Slip..Huu ndio ukweli mchungu kwani walijiaminisha kushinda kwa mabao mengi kuanzia matatu na kuendelea.
Kwa ushindi huo msitegemee wataongea sana na badala yake watakuwa wanawaza itakuwaje tunapokwenda kukutana na timu bora kuliko De Agosto. Hawawezi kukiri wala kusema hadharani haya niyasemayo ila huu ndio ukweli wenyewe.
Wamenyong'onyea na kidomodomo kimepungua wanasubiri matokeo ya Yanga wakiomba Yanga itolewe wapate cha kusema.
Unateseka ukiwa wapi bwashee 😂Huu ndio ukweli mchungu kwani walijiaminisha kushinda kwa mabao mengi kuanzia matatu na kuendelea.
Kwa ushindi huo msitegemee wataongea sana na badala yake watakuwa wanawaza itakuwaje tunapokwenda kukutana na timu bora kuliko De Agosto. Hawawezi kukiri wala kusema hadharani haya niyasemayo ila huu ndio ukweli wenyewe.
Wamenyong'onyea na kidomodomo kimepungua wanasubiri matokeo ya Yanga wakiomba Yanga itolewe wapate cha kusema.
😂Siamini hii ni bandiko la Salary Slip..
Ama kweli mtu akikuchukia .... Hata ukiwa unaogelea atalalamika unamtimulia vumbi.......Huu ndio ukweli mchungu kwani walijiaminisha kushinda kwa mabao mengi kuanzia matatu na kuendelea.
Kwa ushindi huo msitegemee wataongea sana na badala yake watakuwa wanawaza itakuwaje tunapokwenda kukutana na timu bora kuliko De Agosto. Hawawezi kukiri wala kusema hadharani haya niyasemayo ila huu ndio ukweli wenyewe.
Wamenyong'onyea na kidomodomo kimepungua wanasubiri matokeo ya Yanga wakiomba Yanga itolewe wapate cha kusema.
View attachment 2389312
Mnakowekaga mwiko nyumaUkweli umewaingia.
Nilikupa ushauri na leo nakusisitiza tenaAgosto ni kama Zalan tu japo ina unafuu.
HakikaKumbe ni kweli sifa ya kuwa mwanayanga ni kuwa hamnazo
Huna akili kabisa Yaani 4- 1 ni magoli machache?Huu ndio ukweli mchungu kwani walijiaminisha kushinda kwa mabao mengi kuanzia matatu na kuendelea.
Kwa ushindi huo msitegemee wataongea sana na badala yake watakuwa wanawaza itakuwaje tunapokwenda kukutana na timu bora kuliko De Agosto. Hawawezi kukiri wala kusema hadharani haya niyasemayo ila huu ndio ukweli wenyewe.
Wamenyong'onyea na kidomodomo kimepungua wanasubiri matokeo ya Yanga wakiomba Yanga itolewe wapate cha kusema.
Nilikuwa najua huna ‘Akili’ na nilivyofungua uzi wako ndio nimethibitisha ‘Huna akili’ kabisa.Huu ndio ukweli mchungu kwani walijiaminisha kushinda kwa mabao mengi kuanzia matatu na kuendelea.
Kwa ushindi huo msitegemee wataongea sana na badala yake watakuwa wanawaza itakuwaje tunapokwenda kukutana na timu bora kuliko De Agosto. Hawawezi kukiri wala kusema hadharani haya niyasemayo ila huu ndio ukweli wenyewe.
Wamenyong'onyea na kidomodomo kimepungua wanasubiri matokeo ya Yanga wakiomba Yanga itolewe wapate cha kusema.
Vyura wajinga Sana yaani mtu Una magoli 3 kibindoni afu urisk unataka ufunguke eti umpige migoli mingi ili iweje?Yanga ndio maana mnafeli,champins league sio ligi ya ndani ina staili yake ya kuzicheza hizi game
Una mtaji wa goli tatu unatakiwa kulinda goli zako na sio kurisk
Huku hawaangalii point wala magoli bali aggregate
Vyura hamna akili
Naona umeandika haya kuatafuta sympathy kwenye mechi yenuHuu ndio ukweli mchungu kwani walijiaminisha kushinda kwa mabao mengi kuanzia matatu na kuendelea.
Kwa ushindi huo msitegemee wataongea sana na badala yake watakuwa wanawaza itakuwaje tunapokwenda kukutana na timu bora kuliko De Agosto. Hawawezi kukiri wala kusema hadharani haya niyasemayo ila huu ndio ukweli wenyewe.
Wamenyong'onyea na kidomodomo kimepungua wanasubiri matokeo ya Yanga wakiomba Yanga itolewe wapate cha kusema.
Subirini kif**o saa 3Agosto ni kama Zalan tu japo ina unafuu.