BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Na akili hii tuitimie tarehe 23 ili tukate ngebe kabisaHapana ndugu,hii mechi simba wametumia akili kubwa sana!wanaoelewa wameelewa sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akili hii tuitimie tarehe 23 ili tukate ngebe kabisaHapana ndugu,hii mechi simba wametumia akili kubwa sana!wanaoelewa wameelewa sanaa
hicho ndo kigezo kikuu nadhani jamaa anajizima data,,haya yanga washatoka tumebaki wenye inshu zetu[emoji41][emoji41]Kumbe ni kweli sifa ya kuwa mwanayanga ni kuwa hamnazo
yaani hata kama ulikuwa na akili ukihamia yanga tu automatic akili zinakimbilia unyayoni.Kumbe ni kweli sifa ya kuwa mwanayanga ni kuwa hamnazo
Hapo kwanza ncheke[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huu ndio ukweli mchungu kwani walijiaminisha kushinda kwa mabao mengi kuanzia matatu na kuendelea.
Kwa ushindi huo msitegemee wataongea sana na badala yake watakuwa wanawaza itakuwaje tunapokwenda kukutana na timu bora kuliko De Agosto. Hawawezi kukiri wala kusema hadharani haya niyasemayo ila huu ndio ukweli wenyewe.
Wamenyong'onyea na kidomodomo kimepungua wanasubiri matokeo ya Yanga wakiomba Yanga itolewe wapate cha kusema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yanga kama yangaMambo ya Simba ( Nguvu Moja) yaache, yeye keshakwenda makundi! Subiri vioja vya Utopolo kuanzia dakika 40 zijazo tangu muda huu!
[emoji16][emoji23]Ama kweli mtu akikuchukia .... Hata ukiwa unaogelea atalalamika unamtimulia vumbi.......