Ushindi walioupata Simba dhidi ya De Agosto umewanyongoza Simba na kuwakata ngebe

We Slip acha kuniaibisha bhas, mbona unaongea kama uko kwenye kijiwe cha kahawa mitaa ya kariakoo?
Simba imelinda heshima ya nyumbani bhasi no matter kigoli kimoja.
 
Lugha imebadilika kutoka kushinda goli nyingi kwenda tumechaza kulinda ushindio tulioupata ugenini.
We jamaa bana unatia aibu na hili bandiko lako, simba mechi ya leo alihitaji asifungwe tu full stop sasa ulitaka atumie nguvu nyingi ili iweje?
 
Siamini hii ni bandiko la Salary Slip..
 
Unateseka ukiwa wapi bwashee 😂
 
Ama kweli mtu akikuchukia .... Hata ukiwa unaogelea atalalamika unamtimulia vumbi.......
 
Kubwa jinga. Bao moja linatia mimba!.
 
Huna akili kabisa Yaani 4- 1 ni magoli machache?
 
Nilikuwa najua huna ‘Akili’ na nilivyofungua uzi wako ndio nimethibitisha ‘Huna akili’ kabisa.
 
Yanga ndio maana mnafeli,champins league sio ligi ya ndani ina staili yake ya kuzicheza hizi game
Una mtaji wa goli tatu unatakiwa kulinda goli zako na sio kurisk
Huku hawaangalii point wala magoli bali aggregate
Vyura hamna akili
Vyura wajinga Sana yaani mtu Una magoli 3 kibindoni afu urisk unataka ufunguke eti umpige migoli mingi ili iweje?
 
Naona umeandika haya kuatafuta sympathy kwenye mechi yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…