Ushindi walioupata Simba dhidi ya De Agosto umewanyongoza Simba na kuwakata ngebe

Issue ya msingi katika hatua ya mtoano ni kusonga mbele( kufuzu), idadi ya mabao haina matumizi yoyote.
Kwanini, uhangaike ni vitu visivyokuwa na matumizi?, Hivi Simba angemfunga mabao mengi d'agosto angepata nini cha ziada?
JIBU: Hitaji la hatua za mtoano ni kupata ushindi wa jumla.( Let's not misuse the scarce resources).
 

Hapana ndugu,hii mechi simba wametumia akili kubwa sana!wanaoelewa wameelewa sanaa
 
Mungu akusamehe Bure sijui una pepo gani? Kwahiyo kwako ushindi ni kuazia gori ngapi? Sijui ulienda shule kufanya nini kwakweli?
 
Unaangaika na idadi ya magoli ya simba huko Sudan boro la kwanza linachomekw
 
Wewe unasadifu yale maneno aliyowahi kuyasema muhamasishaj wenu kuhusu idadi ya watu wenye akili hapo UTO.
 
kuna siku watakuja amini de agost lilikuwa bonanza,
 
Nyanyua mikono juu sema mimi mjinga
 
Yanga imeshatolewa ongea Sasa paka shume wewe๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ama kweli yule kocha Eymel hakukosea kuwaita manyani
 
Vp ushnd wa yanga Leo sudani???
 
Na Na nyie kile kipigo cha goli moja kimewafanyaje kule Sudan...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ