Ushiriki wa Maprofesa wetu katika Africa Energy Summit

Ushiriki wa Maprofesa wetu katika Africa Energy Summit

1. Maprofesa wetu wapo wapi waelezee tafiti zao za Nishati kupitia energy summit? UDSM, MUST, Mzumbe, UDOM?

2. PhD holder level zenu si kujadili uchaguzi Serikali za mitaa, Hizi ndio level zenu. Sisi Ngumbaru tunawategemea sana.

3. Tafiti za Factors affecting.. zimepitwa na wakati
Bongo watu wanasoma level hizo ili wapande vyeo kazini na kupata mishahara minono na wala si kuwa na maarifa yenye kuleta mabadiliko.
 
Bongo watu wanasoma level hizo ili wapande vyeo kazini na kupata mishahara minono na wala si kuwa na maarifa yenye kuleta mabadiliko.
Mbona husemi kutoa "makazachupi" ?? au umesahau.
 
Naona unachokonoa wasomi.
Kuna siku nilikuwa nasoma prospectus ya Chuo cha Mipango. Daadeki PhD zimenyooka sijui Nuclear physics, Genetics blah blah, Sustainable Energy niliishia kujiuliza maswali meengi bila majibu.
Mbona mtaani hatuoni bidhaa made in Tanzania zinazotokana na PhDs hizi?
Knowledge alone is not enough,without capital you can't produce anything. You need investors to finance your project and turn your ideas into tangible products. Wekeza hela uone kitachotokea.
 
1. Maprofesa wetu wapo wapi waelezee tafiti zao za Nishati kupitia energy summit? UDSM, MUST, Mzumbe, UDOM?

2. PhD holder level zenu si kujadili uchaguzi Serikali za mitaa, Hizi ndio level zenu. Sisi Ngumbaru tunawategemea sana.

3. Tafiti za Factors affecting.. zimepitwa na wakati
Kwani research si zinaeleweka zinapopatikana? Kama hawajaslikwa watakwenda ku present Nini?
Tusiwadharau wasomi wetu,Mimi ni muumini wa matumizi ya tafiti ili kusukuma gurudumu la maendeleo..
Kabla hujawalaumu nikuulize,ni Pesa ngapi huwa zinatengwa na Serikali kwenye vyuo ama taasisi mbalimbali kwaajili ya tafiti?Hivi pale UDSM unaweza niambie Department yenye PhD holders 10 inatengewa kiasi gani Cha Pesa? Tuwe wakweli jamani, wasomi wetu wanakatishwa tamaa sana ndiyo maana wameelekeza Akili zao kwenye siasa, something which is wrong..
Surprisingly hata hizo tafiti ambazo zimefanywa na wao Wala hazifanyiwi Kazi.
 
Kwanini wewe usiwe professor ufanye hayo mabadiliko? Be the change you want to see. They owe you nothing. Na wao hawakudai anything.

Maskini anaamini shida zake zote zinasababishwa na matajiri au wasomi.
 
Naona unachokonoa wasomi.
Kuna siku nilikuwa nasoma prospectus ya Chuo cha Mipango. Daadeki PhD zimenyooka sijui Nuclear physics, Genetics blah blah, Sustainable Energy niliishia kujiuliza maswali meengi bila majibu.
Mbona mtaani hatuoni bidhaa made in Tanzania zinazotokana na PhDs hizi?
Mkuu mipango hawafundishi nuclear physics, vyuo pekee vinavyofudisha hiyo course ni udsm na udom na muhas TU hapa TZ
 
Naona unachokonoa wasomi.
Kuna siku nilikuwa nasoma prospectus ya Chuo cha Mipango. Daadeki PhD zimenyooka sijui Nuclear physics, Genetics blah blah, Sustainable Energy niliishia kujiuliza maswali meengi bila majibu.
Mbona mtaani hatuoni bidhaa made in Tanzania zinazotokana na PhDs hizi?
Aaah Aisee! Yani ww huoni hata hivi viberiti vya chapa kasuku au chiriku huoni vimeandikwa made in hapa-hapa Tz? Sasa wakitengeneza huko mitaani si ndo yale yale bidhaa Fake?
Halafu jamani waacheni maprofesa wapumue - hoja za nuclear physics ni ili iweje? Why keep a cow while you can buy milk? Tutanunua au kukopa manyukilia yao au tutapotezea tu na maisha yaendelee. Eboh! (in Magu's voice)
 
Back
Top Bottom