Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Mhh! Hujawa chawa hujateuliwa. Maprof. Zingatieni hilo.Wanasubiri teuzi hawana lolote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh! Hujawa chawa hujateuliwa. Maprof. Zingatieni hilo.Wanasubiri teuzi hawana lolote
We jamaa; unabahati sana. Ma-prof. Wangelijua kwamba baadaye utakuja kuwasema kihivyo wangeliondoka nawewe ulipokuwa nao. Hahahaawhat is Green house and global warming? ma-professor wetu huwa akilizao zinaishiaga tu hapo
Na mchezo ukaisha.Pale Lagos, Nigeria
Bongo watu wanasoma level hizo ili wapande vyeo kazini na kupata mishahara minono na wala si kuwa na maarifa yenye kuleta mabadiliko.1. Maprofesa wetu wapo wapi waelezee tafiti zao za Nishati kupitia energy summit? UDSM, MUST, Mzumbe, UDOM?
2. PhD holder level zenu si kujadili uchaguzi Serikali za mitaa, Hizi ndio level zenu. Sisi Ngumbaru tunawategemea sana.
3. Tafiti za Factors affecting.. zimepitwa na wakati
Wapo - kumbuka vyuo shirikisho e.g Norway (NORAD), Israel, USA n.k.Sidhani. Labda wakafundishe Lumumba
Mbona husemi kutoa "makazachupi" ?? au umesahau.Bongo watu wanasoma level hizo ili wapande vyeo kazini na kupata mishahara minono na wala si kuwa na maarifa yenye kuleta mabadiliko.
Unauliza?Hivi Samia si PHD holder pia? [emoji848]
Knowledge alone is not enough,without capital you can't produce anything. You need investors to finance your project and turn your ideas into tangible products. Wekeza hela uone kitachotokea.Naona unachokonoa wasomi.
Kuna siku nilikuwa nasoma prospectus ya Chuo cha Mipango. Daadeki PhD zimenyooka sijui Nuclear physics, Genetics blah blah, Sustainable Energy niliishia kujiuliza maswali meengi bila majibu.
Mbona mtaani hatuoni bidhaa made in Tanzania zinazotokana na PhDs hizi?
ukisikia prof unadhani maeneo yote kaspecialize? Sa Kabud si Prof wa sheriaProf Kabudi katulia kimyaaa
Kwani research si zinaeleweka zinapopatikana? Kama hawajaslikwa watakwenda ku present Nini?1. Maprofesa wetu wapo wapi waelezee tafiti zao za Nishati kupitia energy summit? UDSM, MUST, Mzumbe, UDOM?
2. PhD holder level zenu si kujadili uchaguzi Serikali za mitaa, Hizi ndio level zenu. Sisi Ngumbaru tunawategemea sana.
3. Tafiti za Factors affecting.. zimepitwa na wakati
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Mbona husemi kutoa "makazachupi" ?? au umesahau.
Ndio, majibu tafadhali.Unauliza?
Mkuu mipango hawafundishi nuclear physics, vyuo pekee vinavyofudisha hiyo course ni udsm na udom na muhas TU hapa TZNaona unachokonoa wasomi.
Kuna siku nilikuwa nasoma prospectus ya Chuo cha Mipango. Daadeki PhD zimenyooka sijui Nuclear physics, Genetics blah blah, Sustainable Energy niliishia kujiuliza maswali meengi bila majibu.
Mbona mtaani hatuoni bidhaa made in Tanzania zinazotokana na PhDs hizi?
Unauliza?
Ok. Kuna kitu unatafuta. Ngoja kikao kiishe na wageni waheshimiwa waondoke utajibiwa. (just a Joke).Ndio, majibu tafadhali.
Aaah Aisee! Yani ww huoni hata hivi viberiti vya chapa kasuku au chiriku huoni vimeandikwa made in hapa-hapa Tz? Sasa wakitengeneza huko mitaani si ndo yale yale bidhaa Fake?Naona unachokonoa wasomi.
Kuna siku nilikuwa nasoma prospectus ya Chuo cha Mipango. Daadeki PhD zimenyooka sijui Nuclear physics, Genetics blah blah, Sustainable Energy niliishia kujiuliza maswali meengi bila majibu.
Mbona mtaani hatuoni bidhaa made in Tanzania zinazotokana na PhDs hizi?
Ni wajinga snMhh! Hujawa chawa hujateuliwa. Maprof. Zingatieni hilo.
Boss; Wanajua watendalo - we waache kwanza.Ni wajinga sn
Wana kwazaBoss; Wanajua watendalo - we waache kwanza.
Pamoja na hayo; Potelea mbali - achana nao hao Permanent head Disease.Wana kwaza