Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣jamaa bado anaota tuWalio jirani na huyo mtoto wam-record kama uthibitisho, isije kuwa tunalishwa matango pori kwa maslahi ya wafuasi wa jiwe!
Kama wewe ulivyo mshirikina.Sio kwenye siasa tu! Nchi hii sehemu kubwa watu wanaamini sana ushirikina ndo mana hata maendeleo ya watu binafsi na taifa kwa ujumla yanakuwa mtihani mgumu!
Ujinga mtupu
Kwani bado unajiona una akili? timamu?Ila hili jambo bwana ni gumu sana.
Bunafsi nimeshapata ndoto zikiniambia hivyo.
Yaliyofanyika awamu iliyopita yasiachwe.
Serious kabisa.
Namuamini Yesu, Mungu Baba ambaye ndo mwokozi wanguKama wewe ulivyo mshirikina.
Mkuu mimi nakufahamu sana.Namuamini Yesu, Mungu Baba ambaye ndo mwokozi wangu
Haya mambo sio ya kupuuza.Kwani bado unajiona una akili? timamu?
Ila hili jambo bwana ni gumu sana.
Bunafsi nimeshapata ndoto zikiniambia hivyo.
Yaliyofanyika awamu iliyopita yasiachwe.
Serious kabisa.
View attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.
Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?
Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
Upo nje ya mada mkuu.View attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.
Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?
Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
Thread 'Rais Dkt. Magufuli nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jambo' Rais Dkt. Magufuli nakuomba usipende chomekea neno 'kifo' katika kusisitiza jamboHaya mambo sio ya kupuuza.
Tabiri zipo za kila namna.
Watakaoshupaza shingo wafanye hivyo at their own risk.
Pole sana najua unaumia ila hafufuki ng'o!!!Upo nje ya mada mkuu.
View attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.
Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?
Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
Upo nje ya madaView attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.
Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?
Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
Vijana mna maruhani vichwani mwenu.Pole sana najua unaumia ila hafufuki ng'o!!!
Pole sana mlituletea kichaa atuongoze na akawarudi na nyie mliemleta!Upo nje ya mada
Vijana mna maruhani vichwani mwenu.