Ushirikina bado upo sana katika siasa za Tanzania!

Ushirikina bado upo sana katika siasa za Tanzania!

Sio kwenye siasa tu! Nchi hii sehemu kubwa watu wanaamini sana ushirikina ndo mana hata maendeleo ya watu binafsi na taifa kwa ujumla yanakuwa mtihani mgumu!

Ujinga mtupu
Kama wewe ulivyo mshirikina.
 
Ila hili jambo bwana ni gumu sana.

Bunafsi nimeshapata ndoto zikiniambia hivyo.

Yaliyofanyika awamu iliyopita yasiachwe.

Serious kabisa.
IMG_20201105_142029.jpg
IMG_20201027_191700.jpg
IMG_20201028_173703.jpg

Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.

Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?

Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
 
View attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.

Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?

Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
View attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.

Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?

Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
Upo nje ya mada mkuu.
 
View attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.

Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?

Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
View attachment 2272008View attachment 2272009View attachment 2272010
Ikiwemo kuiba kura eh , yaani wasiache kuiba kura 2025 na kuzima mitandao.

Tuone tena watu kwenye viroba coco beach na watu kupotea ?

Ok endelea kulala na uote majinamizi ya kishetani yalikuwepo miaka 6 iliyopita.
Upo nje ya mada
Pole sana najua unaumia ila hafufuki ng'o!!!
Vijana mna maruhani vichwani mwenu.
 
Back
Top Bottom