Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Wahuni mpo kila mahali mpaka JFPole sana mlituletea kichaa atuongoze na akawarudi na nyie mliemleta!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni mpo kila mahali mpaka JFPole sana mlituletea kichaa atuongoze na akawarudi na nyie mliemleta!
Wahuni ni wale waliovamia clouds kwa baraka za dikteta uchwara.Wahuni mpo kila mahali mpaka JF
Asiesikia la mkuu......Haya mambo sio ya kupuuza.
Tabiri zipo za kila namna.
Watakaoshupaza shingo wafanye hivyo at their own risk.
Duuh! Kwa hiyo huyo mtoto ametoa tahadhari kwa imani yako?Haya mambo sio ya kupuuza.
Tabiri zipo za kila namna.
Watakaoshupaza shingo wafanye hivyo at their own risk.
Jinsi watu wanavyoroga na kuamini ulozi unatoa matokeo chanya, ndio umaskini unavyotamalaki. Maendeleo gani ambayo hayana matumizi ya akili? Ujinga mtupuSio kwenye siasa tu! Nchi hii sehemu kubwa watu wanaamini sana ushirikina ndo mana hata maendeleo ya watu binafsi na taifa kwa ujumla yanakuwa mtihani mgumu!
Ujinga mtupu
Tupo sanaaaaaaaWahuni mpo kila mahali mpaka JF
Unataka kusema itakuwa kama lile onyo Lema alimpa Magufuli?Asiesikia la mkuu......
Muda ni judge mzur, tuombe uzma
Ni kitu gani kizuri cha awamu iliyopita kimeachwa?Ila hili jambo bwana ni gumu sana.
Bunafsi nimeshapata ndoto zikiniambia hivyo.
Yaliyofanyika awamu iliyopita yasiachwe.
Serious kabisa.
Sio kwenye siasa tu! Nchi hii sehemu kubwa watu wanaamini sana ushirikina ndo mana hata maendeleo ya watu binafsi na taifa kwa ujumla yanakuwa mtihani mgumu!
Ujinga mtupu
Afadhali mwenge lakini hii ya mtoto wa siku tatu kumzungumzia Jiwe ni uchizi!Mwenge wa uhuru ni sehemu ya ushirikina huo wa taifa.
Afadhali mwenge lakini hii ya mtoto wa siku tatu kumzungumzia Jiwe ni uchizi!
Porojo hizi za mtoto wa siku tatu ndiyo ushirikina wenyewe! Aidha kudhani mwenge ndiyo umewafanya Watanzania kuwa kondoo ni zaidi ya ushirikina!Mwenge ndio matokeo ya huu ukondoo wa wananchi. Hilo la mtoto wa siku tatu ni porojo za mtaani. Una uhakika ni mtoto wa siku tatu? Kuna popote umejiridhisha kuwa ni mtoto wa siku tatu anaongea?
Rasilimali za taifa zinagawanywa tu kama pipi kwa wageni.Ni kitu gani kizuri cha awamu iliyopita kimeachwa?