Ushirikina hautakaa uishe..huyu mtoto alienda kufanya nn goli la waarabu??

Ushirikina hautakaa uishe..huyu mtoto alienda kufanya nn goli la waarabu??

Wale waarabu
waarabu mkija siku nyinginr mje na adabu ukisikia kwa mkapa hatoki mtu changamoto moja wapo n hizo picha mtateseka sana
Wale waarabu nilishangaa sana kuona wanacheza utafikiri wamefungiwa mawe miguuni, walikuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi kumbe jamaa walikuwa washawafunga miguu na ushirikina wao,
 
Wale waarabu

Wale waarabu nilishangaa sana kuona wanacheza utafikiri wamefungiwa mawe miguuni, walikuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi kumbe jamaa walikuwa washawafunga miguu na ushirikina wao,
Sioo waooo kabisa wakiocheza mpira wa Libya aisee
 
Kwahio na wewe unaamini kwamba uchawi unafanya kazi ?

Na kama unafanya kazi basi logically itakuwa upuuzi kwa timu kutokuutumia..., Wakikwambia ni part ya amsha amsha utawabishia ?
 
Wale waarabu

Wale waarabu nilishangaa sana kuona wanacheza utafikiri wamefungiwa mawe miguuni, walikuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi kumbe jamaa walikuwa washawafunga miguu na ushirikina wao,
Ungeingia ucheze wewe ambaye hujafungwa miguu.
 
H
Kwahio na wewe unaamini kwamba uchawi unafanya kazi ?

Na kama unafanya kazi basi logically itakuwa upuuzi kwa timu kutokuutumia..., Wakikwambia ni part ya amsha amsha utawabishia ?
ahahaaaaaaa ah hahahaaa

Hamshaa hamshaaa eeh aisee

Mkovizuri na hamsha
 
Mmewazima warabu kama sio waoo

Kamati zenu ziko vzuri
 
Si Wasomi wa hapa Jf mlishakubaliana kuwa Uchawi haupo na wala hauna impact yoyote?

Sasa mnahangaika nini na kitu ambacho hakipo? Huko siyo kukosa akili kweli?

Lakini pia hao Waarabu ilikuwaje hawakushinda kule kwao ambako Simba haikuapply kitu chochote kinachohusiana na ushirikina kwenye pitch?
 
NASISITIZA.

"UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA KICHWANI AKILI LAKIMA ZILEGEE".

"Hakuna umasikini mbaya kama Umasikini wa Fikra"
Jk Nyerere.
 
Yanga washirikina mno kila kitu kikifanyika na mtu wanahisi ni ushirikina tu.
 
Back
Top Bottom