Wale waarabu nilishangaa sana kuona wanacheza utafikiri wamefungiwa mawe miguuni, walikuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi kumbe jamaa walikuwa washawafunga miguu na ushirikina wao,waarabu mkija siku nyinginr mje na adabu ukisikia kwa mkapa hatoki mtu changamoto moja wapo n hizo picha mtateseka sana
Machawi sana haya, yaliishawahi kurudisha basi kinyume nyume kutoka Bunju hadi kwa Mkapa.Hapoo anapewa maelekezoo na kamati ya ufundi
Sioo waooo kabisa wakiocheza mpira wa Libya aiseeWale waarabu
Wale waarabu nilishangaa sana kuona wanacheza utafikiri wamefungiwa mawe miguuni, walikuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi kumbe jamaa walikuwa washawafunga miguu na ushirikina wao,
Excuse excuse excuse, it sad watu type yako bado mnawaza ushirikina zama za modern footballHapoo anapewa maelekezoo na kamati ya ufundi
Ungeingia ucheze wewe ambaye hujafungwa miguu.Wale waarabu
Wale waarabu nilishangaa sana kuona wanacheza utafikiri wamefungiwa mawe miguuni, walikuwa kama wamemwagiwa maji ya baridi kumbe jamaa walikuwa washawafunga miguu na ushirikina wao,
ahahaaaaaaa ah hahahaaaKwahio na wewe unaamini kwamba uchawi unafanya kazi ?
Na kama unafanya kazi basi logically itakuwa upuuzi kwa timu kutokuutumia..., Wakikwambia ni part ya amsha amsha utawabishia ?
Hapoo anapewa maelekezoo na kamati ya ufundi
Alienda kuweka bima ya afya ya timu yake.Hapoo anapewa maelekezoo na kamati ya ufundi
Kikubwa ushindiAnatoka golini baada ya kufanya yakee anarudi alipopokea maelekezo
Ulozi aujawahi kuiacha tz salama
Hio ni teknolojia.Simba ndivyo walivyo,rejea tukio la paka uwanjani, kuchoma moto,kurudi kinyume nyume