Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

Hii inashuhudia vita ya shetani dhidi ya watu WA Mungu, ndugu zangu waislamu na wakristu tuungane pamoja katika sala na dua dhidi ya muovu shetani..


Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Hii dhambi ya kulawiti inatisha maana hadi the devil himself anaogopa tusije tukamshawishi dhambi hii, katushawishi sana kufanya maovu, mwisho wa siku naye anaogopa kwa kasi tuliyonayo ya kufanya dhambi.
 
Illuminati Monetary Fund "IMF"

Ikiwa ndio tafsiri rasmi na tukichukulia kibongo bongo na hayo masharti yao ya mikopo! Basi wakiamua wanaweza kutuma popobawa mmoja kwa kila kichwa watu wachezee kif.ro hadi wasalimu amri.
 
Nyie mnafikiri nchi za Africa tukiwa na msimamo mmoja hao manyang'au watatutisha nini? tuna resources za kushiba, na wao wana shida na resources zetu, nani atapoteza?...hivi kwanza ni kampuni gani zilizopewa deal za mafuta ug, wafukuzwe wote wapewe wachina!
 
Masuala ya fedha(pesa) yana link gani na ushoga??
Nasema hivi kwa sababu watu wengi wenye fedha nyingi wako karibu sana na hii mambo ya ushoga na mara nyingi huwa wanapakuliwa.
 
Jamani tuonyeshe umoja wetu tukianzia EAC kwa kuonyesha solidarity na kushutumu wanaotaka kubadilisha mila zetu kwa misaada. Tukemee, tukatae na kutoa tamko la pamoja kuonyesha hasira zetu. Hivi hiyo misaada ilitolewa kwa kigezo cha kukubali kufanyiwa ushenzi au walitoa kwa ajili ya maendeleo?. Ushoga ni aina nyingine ya ukatili dhidi ya ubinadamu kama ilivyo ubakaji na udhalilishaji wa kijinsia nk.
 
Kila nikifikiria kauli za bado tunakopesheka napata wasi wasi kama Mkulu kwenye hili ataweza kuchomoa, Nchi tusiyopenda kusema tunaweza wenyewe mpaka mikopo au ufadhili, tangu uhuru mpaka leo bado tunajiita Nchi maskini utadhani hatuna rasilimali za kuliingizia Taifa mapato, siwalaumu sana hao wazungu, hela ni zao wacha wapange masharti watakavyo, kama kweli hatutaki kudhalilishwa ndio wakati wa viongozi wa Africa kuinuka na kuamua kwa kauli moja kuwa AFRICA TUNAWEZA BILA NCHI ZA MAGHARIBI............vinginevyo mutaona tu, watu washachoka.
 
sidhani kama USA/UK au nchi yeyote imelazimisha watu kuwa MASHOGA. Lakini kama mtu ni SHOGA au ameamua kuwa SHOGA aachwe aishi atakavyo na sio mumpangie au mumuue au kumfunga kwa sababu AMEAMUA kuwa shoga.

Huo ndio msimamo wao na haki za binadamu. Mimi binafsi sipendi USHOGA/MASHOGA lakini mtu akiamua kuwa shoga hainihusu afanye ushoga wake hayo ni maisha yake.wanachopinga USA na wenzao ni PERSECUTION dhidi ya mashoga,waacheni waishi watakavyo.

MKUU mbona unanitia mashaka sana juu ya kauli yako ? au. na wewe ni muumini wa ushoga??
hivi kweli mwanao akiwa SHOGA anafirwa utamwacha afirwe kisa kaamua mwenyewe kufirwa.
duu mkuu umetisha ushoga sikia kwa jirani lakini usiwe nyumbani kwako ni laana na aibu tupu.

natukija kwenye suala la dini hakika hakuna atakayepona uwe SHOGA au laa mwenyezi mungu akiamua kuangamiza anateketeza
mashoga na wasio mashoga
 
MKUU mbona unanitia mashaka sana juu ya kauli yako ? au. na wewe ni muumini wa ushoga??
hivi kweli mwanao akiwa SHOGA anafirwa utamwacha afirwe kisa kaamua mwenyewe kufirwa.
duu mkuu umetisha ushoga sikia kwa jirani lakini usiwe nyumbani kwako ni laana na aibu tupu.

natukija kwenye suala la dini hakika hakuna atakayepona uwe SHOGA au laa mwenyezi mungu akiamua kuangamiza anateketeza
mashoga na wasio mashoga

msimamo wangu ni huu....SIPENDI USHOGA LAKINI MTU AKIAMUA KUWA SHOGA NI YEYE SIWEZI KUMPANGIA AISHI VIPI......kuhusu mwanangu kuwa shoga nitajitahidi kumlea asiwe shoga lakini akitokea kuwa shoga siwezi kumuua au kumkataa kwani hao wenye watoto mashoga walipenda kuwa na watoto wa aina hio?
 
Hivi kwani sheria ikikataza watu wanaopenda si bado wataendelea kufanya wanachotaka?Mbona kuiba,uzinzi nk ni dhambi na hakuna sehemu zinaruhusiwa na bado watu wanafanya.Sioni sababu ya mataifa magharibi kushukia bango tukubali ushoga uwe kama haki kitu ambacho ni wazi kabisa si haki wala nini bali ni u Sodoma na Gomora.Nadhani sasa wale waliosambaza Ukristo wamepaliwa pepo la kusambaza ushetani! Ni wakati sasa Afrika kukataa vitu vidivyompendeza Mungu.
 
Nyie mnafikiri nchi za Africa tukiwa na msimamo mmoja hao manyang'au watatutisha nini? tuna resources za kushiba, na wao wana shida na resources zetu, nani atapoteza?...hivi kwanza ni kampuni gani zilizopewa deal za mafuta ug, wafukuzwe wote wapewe wachina!

MKUU hakika mm nashangaa why tunaweweseka ??
ningependa sana hili linalotokea sasa lingetokea kipindi miamba na nguri wa afrika wangekuwepo hakika naamini kauli zao zingenikosha sana wapi NYerere hakika asinge kuwa kimya mpaka Leo.
Gaddafi nawengineo hakika wangeikomboa na kuijengea afrika heshima na kuishushia neema ya mwenyezi mungu.

wapi Bob Marley Africa unite
 
Nyie mnafikiri nchi za Africa tukiwa na msimamo mmoja hao manyang'au watatutisha nini? tuna resources za kushiba, na wao wana shida na resources zetu, nani atapoteza?...hivi kwanza ni kampuni gani zilizopewa deal za mafuta ug, wafukuzwe wote wapewe wachina!

Msimamo gani unao zungumzia? Kila kitu mnategemea misaada, magovi yenu wenyewe serikali imeshindwa kuwakata mnategemea wazungu waje wayakate hayo magovi alafu mnajidai muungane, mnao ubavu huo?
 
nchi za afrika wawe na msimamo wa kutoyumbishwa hata china na urusi wanaweza kua washirika wazuri tu. tuachane na western na waondoe makampuni yao afrika.tatizo naloona ni unafiki uliopo miongoni mwetu.
 
msimamo wangu ni huu....SIPENDI USHOGA LAKINI MTU AKIAMUA KUWA SHOGA NI YEYE SIWEZI KUMPANGIA AISHI VIPI......kuhusu mwanangu kuwa shoga nitajitahidi kumlea asiwe shoga lakini akitokea kuwa shoga siwezi kumuua au kumkataa kwani hao wenye watoto mashoga walipenda kuwa na watoto wa aina hio?

Tatizo waafrika tumetawaliwa na ujinga na unafiki mkubwa. Serikali zetu zimeruhusu utandawazi kwa mbwembwe sasa macho yanawatoka. Watoto wameachwa bila maadili mema halafu anakuja kuwa shoga unaanza kulalama. Mashoga mbona tunaishi nao mitaani ingawa ni chukizo lakini serikali zetu zimefanya nini kuwafanya watu wasiwe mashoga.
 
ng'wandu Tumuunge mkono mu7 kwa hili. Wanajidai wao ndio wanaoamua haki za binadamu ni nini. Ikiwa hawawezi kuhifadhi tofauti ya mke na mme basi wanaelekea kuwa washenzi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom