Ushoga katika taifa la Israeli

Ushoga katika taifa la Israeli

Joined
Nov 23, 2018
Posts
94
Reaction score
202
Ushoga au liwati ni dhambi mabaya na yenye kuangamiza jamii kimaadili. Katika Torati dhambi hii imeitwa "machukizo" kwa kuwa inachukiza mbele ya uso wa Mungu.

Katika Biblia katazo la kushiriki mahusiano ya jinsia moja linapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 18:22
"๐‘ผ๐’”๐’Š๐’๐’‚๐’๐’† ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’๐’‚๐’š๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’‰๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’."

Kutokana na uzito wa kosa la liwati (ushoga) amri ya kuuawa washiriki imetolewa:
"๐‘ด๐’•๐’– ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’Ž๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’˜๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’Š๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’†๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’, ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’‘๐’‚๐’”๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’‚๐’˜๐’‚, ๐’…๐’‚๐’Ž๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’Š๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’‹๐’–๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†."
( Mambo ya Walawi 20:13)

Leo tutazame hali ya Ushoga katika taifa hili bandia lilioanzishwa 1948 linalojiita teule.

Haki za wasagaji na mashoga katika taifa la Israeli ni bora zaidi kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Mashariki ya Kati.

Israel imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kutambua haki ya kuishi pamoja kati ya wapenzi wa jinsia moja bila kusajiliwa.

Wanandoa wa jinsia moja wanaruhusiwa kuasili mtoto kwa pamoja, kufuatia uamuzi wa kihistoria wa mahakama uliofanywa mwaka 2008.

Mashoga na Watu wengine wa LGBTQ pia wanaruhusiwa kuhudumu katika jeshi la Israeli.

Tel Aviv makao makuu ya Israeli yalirejelewa na jarida maarufu la "Calgary Herald" kama mojawapo ya miji inayowapa heshima kubwa mashoga duniani, ndio maana jarida la Out likaliita jiji hilo kwa jina la utani "mji mkuu wa mashoga wa Mashariki ya Kati."

Tovuti ya GayCities, 2011 iliitaja TelAviv kama jiji bora zaidi la wapenzi wa jinsia moja.

Jijini Tel Aviv kuna mnara wa kumbukumbu uliojengwa 2014 kuenzi mashoga walio wahanga wa Holocaust.

Sio serikali tu inayounga mkono mashoga, kura za maoni zimegundua kuwa Waisraeli wengi wanaunga mkono kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja.

Kwa mujibu wa ripoti ya Channel 13 kama ilivyonukuliwa na jarida la Jerusalem Post, Waisraeli 61% wanaunga mkono kuwapa haki sawa watu wa LGBTQ.

Uungaji mkono wa haki za mashoga ni mkubwa miongoni mwa Waisraeli Wayahudi kwa 68% na 17% tu ya wasiounga mkono.

Kwa wale Waisraeli wasio Wayahudi upingaji wa haki za mashoga ni mkubwa kwa 73% na uungaji mkono wa 22%.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

Mashoga Waisraeli huhudumu waziwazi katika jeshi la Israeli tangu 1993. Israeli inatambua kikamilifu washirika wa wanajeshi na maafisa walio mashoga.

Sheria ya Fursa Sawa katika Ajira ya 1992 inakataza ubaguzi mahali pa kazi kwa sababu ya mwelekeo wa kijinsia.

Raia mashoga hutumikia nafasi nyeti serikalini kama vile Ubunge, ujaji, na uafisa wa umma. Idadi kubwa ya wanadiplomasia wanaoiwakilisha Israeli kote ulimwenguni ni mashoga.

Mashoga na wasagaji wanaopitia mateso kote Mashariki ya Kati mara nyingi hukimbilia Israeli.

๐—จ๐—น๐—ถ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ

Wanandoa mashoga wanafurahia kutambuliwa na mahakama za Israel na wana haki ya:

๐—ž๐˜‚๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ: Mahakama za Familia za Israeli zinatambua kikamilifu uasili unaofanywa na wapenzi wa jinsia moja.

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ: Kwa kukosekana kwa ndoa ya kiraia nchini Israeli, Mahakama Kuu inatambua ndoa za jinsia moja zinazofanywa nje ya nchi.

๐—›๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ: Sheria ya Israeli inatoa usawa kati ya wapenzi wa jinsia moja na watu wa jinsia tofauti katika masuala ya pensheni za kustaafu na wajane na huduma za matibabu.

๐—จ๐—ฟ๐—ถ๐˜๐—ต๐—ถ: Mahakama za Israeli, kwa idhini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, zinatambua haki ya watu wa jinsia moja kurithi mali ya mwenzi mwingine.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1. Gay Tel Aviv Guide
2.Chama cha Kitaifa cha LGBT nchini Israeli
3.Jerusalem Open House
4. Havruta
Bat-kol (Shirika la Wasagaji wa Kidini.
5. GayIsrael

๐—ฅ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1975: Jumuiya ya kwanza ya LGBT ya Israeli (The Aguda) ilianzishwa

1988: Mapinduzi ya Mashoga ya Israeli yanaanza.

1992: Knesset (Bunge la Iraeli) linatangaza kubatilishwa ubaguzi kulingana na mwelekeo wa kijinsia au mahali pa kazi.

1993: Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) linatekeleza sera ya kupinga ubaguzi katika jeshi la Israeli.

1994: Mahakama Kuu yatoa hukumu ya kuwanufaisha mume na wenye jinsia moja.

1998: Nyota wa Kiisraeli aliyebadili jinsia, Dana International, alishinda Shindano la Nyimbo za Eurovision.

2000: Mahakama ya Juu inawatambua wapenzi wa jinsia moja kuwa wazazi wa kulea watoto.

2002: Mbunge wa kwanza shoga wa waziwazi wa Bunge la Israeli alichaguliwa.

2004: Mahakama ya Tel Aviv ilitoa uamuzi kwamba serikali haiwezi kumfukuza mpenzi wa jinsia moja mwenye asili ya kigeni wa raia wa Israeli.

2006: Ndoa za mashoga zilizofanywa nje ya nchi zinatambuliwa rasmi nchini Israeli.

2008: Haki kamili za kuasili zilizotolewa kwa wanandoa mashoga.

2010: Jarida la Out linatambua Tel Aviv kama jiji salama zaidi kwa mashoga Mashariki ya Kati.

2011: Jaji wa kwanza shoga aliteuliwa.

2011: Israeli inaandaa gwaride kubwa zaidi la Fahari ya Mashoga katika Bara la Asia na zaidi ya washiriki 100,000 kutoka kote ulimwenguni walihudhuria.

Madai kuwa Israeli ni taifa teule na takatifu yanavunjwa na hii kashfa nzito ya kuwa chaka la mashoga Mashariki ya Kati.

Ikumbukwe kuwa uteule wa Israeli ulitegemea sharti la kushika agano la Mungu kama inavyonukuliwa kutoka kwenye Torati:

"๐‘บ๐’‚๐’”๐’‚ ๐’ƒ๐’‚๐’”๐’Š, ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’Œ๐’Š๐’•๐’Š๐’Š ๐’”๐’‚๐’–๐’•๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’Š๐’”๐’‰๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐’‚๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’Ž๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’•๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’˜๐’‚๐’•๐’†๐’–๐’๐’† ๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’†, ๐’Ž๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’…๐’–๐’๐’Š๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–. ๐‘ด๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‡๐’‚๐’๐’Ž๐’† ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Œ๐’–๐’‰๐’‚๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š๐’‡๐’–.' ๐‘ฏ๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’…๐’Š๐’š๐’ ๐’Ž๐’‚๐’๐’†๐’๐’ ๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’š๐’๐’˜๐’‚๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐‘พ๐’‚๐’Š๐’”๐’“๐’‚๐’†๐’๐’Š.โ€
(Kutoka 19:5-6)

Neno "kama" katika andiko hilo linaashiria sharti kuwa hamui taifa teule wala taifa takatifu ila kwa kusikia sauti ya Mungu na kushika agano lake.

Rejea:
โ€ขWikipedia
โ€ขGay Israel
โ€ขJerusalem Post
โ€ขOUT
 
Ushoga au liwati ni dhambi mabaya na yenye kuangamiza jamii kimaadili. Katika Torati dhambi hii imeitwa "machukizo" kwa kuwa inachukiza mbele ya uso wa Mungu.

Katika Biblia katazo la kushiriki mahusiano ya jinsia moja linapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 18:22
"๐‘ผ๐’”๐’Š๐’๐’‚๐’๐’† ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’๐’‚๐’š๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’‰๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’."

Kutokana na uzito wa kosa la liwati (ushoga) amri ya kuuawa washiriki imetolewa:
"๐‘ด๐’•๐’– ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’Ž๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’˜๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’Š๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’†๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’, ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’‘๐’‚๐’”๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’‚๐’˜๐’‚, ๐’…๐’‚๐’Ž๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’Š๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’‹๐’–๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†."
( Mambo ya Walawi 20:13)

Leo tutazame hali ya Ushoga katika taifa hili bandia lilioanzishwa 1948 linalojiita teule.

Haki za wasagaji na mashoga katika taifa la Israeli ni bora zaidi kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Mashariki ya Kati.

Israel imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kutambua haki ya kuishi pamoja kati ya wapenzi wa jinsia moja bila kusajiliwa.

Wanandoa wa jinsia moja wanaruhusiwa kuasili mtoto kwa pamoja, kufuatia uamuzi wa kihistoria wa mahakama uliofanywa mwaka 2008.

Mashoga na Watu wengine wa LGBTQ pia wanaruhusiwa kuhudumu katika jeshi la Israeli.

Tel Aviv makao makuu ya Israeli yalirejelewa na jarida maarufu la "Calgary Herald" kama mojawapo ya miji inayowapa heshima kubwa mashoga duniani, ndio maana jarida la Out likaliita jiji hilo kwa jina la utani "mji mkuu wa mashoga wa Mashariki ya Kati."

Tovuti ya GayCities, 2011 iliitaja TelAviv kama jiji bora zaidi la wapenzi wa jinsia moja.

Jijini Tel Aviv kuna mnara wa kumbukumbu uliojengwa 2014 kuenzi mashoga walio wahanga wa Holocaust.

Sio serikali tu inayounga mkono mashoga, kura za maoni zimegundua kuwa Waisraeli wengi wanaunga mkono kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja.

Kwa mujibu wa ripoti ya Channel 13 kama ilivyonukuliwa na jarida la Jerusalem Post, Waisraeli 61% wanaunga mkono kuwapa haki sawa watu wa LGBTQ.

Uungaji mkono wa haki za mashoga ni mkubwa miongoni mwa Waisraeli Wayahudi kwa 68% na 17% tu ya wasiounga mkono.

Kwa wale Waisraeli wasio Wayahudi upingaji wa haki za mashoga ni mkubwa kwa 73% na uungaji mkono wa 22%.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

Mashoga Waisraeli huhudumu waziwazi katika jeshi la Israeli tangu 1993. Israeli inatambua kikamilifu washirika wa wanajeshi na maafisa walio mashoga.

Sheria ya Fursa Sawa katika Ajira ya 1992 inakataza ubaguzi mahali pa kazi kwa sababu ya mwelekeo wa kijinsia.

Raia mashoga hutumikia nafasi nyeti serikalini kama vile Ubunge, ujaji, na uafisa wa umma. Idadi kubwa ya wanadiplomasia wanaoiwakilisha Israeli kote ulimwenguni ni mashoga.

Mashoga na wasagaji wanaopitia mateso kote Mashariki ya Kati mara nyingi hukimbilia Israeli.

๐—จ๐—น๐—ถ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ

Wanandoa mashoga wanafurahia kutambuliwa na mahakama za Israel na wana haki ya:

๐—ž๐˜‚๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ: Mahakama za Familia za Israeli zinatambua kikamilifu uasili unaofanywa na wapenzi wa jinsia moja.

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ: Kwa kukosekana kwa ndoa ya kiraia nchini Israeli, Mahakama Kuu inatambua ndoa za jinsia moja zinazofanywa nje ya nchi.

๐—›๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ: Sheria ya Israeli inatoa usawa kati ya wapenzi wa jinsia moja na watu wa jinsia tofauti katika masuala ya pensheni za kustaafu na wajane na huduma za matibabu.

๐—จ๐—ฟ๐—ถ๐˜๐—ต๐—ถ: Mahakama za Israeli, kwa idhini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, zinatambua haki ya watu wa jinsia moja kurithi mali ya mwenzi mwingine.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1. Gay Tel Aviv Guide
2.Chama cha Kitaifa cha LGBT nchini Israeli
3.Jerusalem Open House
4. Havruta
Bat-kol (Shirika la Wasagaji wa Kidini.
5. GayIsrael

๐—ฅ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1975: Jumuiya ya kwanza ya LGBT ya Israeli (The Aguda) ilianzishwa

1988: Mapinduzi ya Mashoga ya Israeli yanaanza.

1992: Knesset (Bunge la Iraeli) linatangaza kubatilishwa ubaguzi kulingana na mwelekeo wa kijinsia au mahali pa kazi.

1993: Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) linatekeleza sera ya kupinga ubaguzi katika jeshi la Israeli.

1994: Mahakama Kuu yatoa hukumu ya kuwanufaisha mume na wenye jinsia moja.

1998: Nyota wa Kiisraeli aliyebadili jinsia, Dana International, alishinda Shindano la Nyimbo za Eurovision.

2000: Mahakama ya Juu inawatambua wapenzi wa jinsia moja kuwa wazazi wa kulea watoto.

2002: Mbunge wa kwanza shoga wa waziwazi wa Bunge la Israeli alichaguliwa.

2004: Mahakama ya Tel Aviv ilitoa uamuzi kwamba serikali haiwezi kumfukuza mpenzi wa jinsia moja mwenye asili ya kigeni wa raia wa Israeli.

2006: Ndoa za mashoga zilizofanywa nje ya nchi zinatambuliwa rasmi nchini Israeli.

2008: Haki kamili za kuasili zilizotolewa kwa wanandoa mashoga.

2010: Jarida la Out linatambua Tel Aviv kama jiji salama zaidi kwa mashoga Mashariki ya Kati.

2011: Jaji wa kwanza shoga aliteuliwa.

2011: Israeli inaandaa gwaride kubwa zaidi la Fahari ya Mashoga katika Bara la Asia na zaidi ya washiriki 100,000 kutoka kote ulimwenguni walihudhuria.

Madai kuwa Israeli ni taifa teule na takatifu yanavunjwa na hii kashfa nzito ya kuwa chaka la mashoga Mashariki ya Kati.

Ikumbukwe kuwa uteule wa Israeli ulitegemea sharti la kushika agano la Mungu kama inavyonukuliwa kutoka kwenye Torati:

"๐‘บ๐’‚๐’”๐’‚ ๐’ƒ๐’‚๐’”๐’Š, ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’Œ๐’Š๐’•๐’Š๐’Š ๐’”๐’‚๐’–๐’•๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’Š๐’”๐’‰๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐’‚๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’Ž๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’•๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’˜๐’‚๐’•๐’†๐’–๐’๐’† ๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’†, ๐’Ž๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’…๐’–๐’๐’Š๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–. ๐‘ด๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‡๐’‚๐’๐’Ž๐’† ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Œ๐’–๐’‰๐’‚๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š๐’‡๐’–.' ๐‘ฏ๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’…๐’Š๐’š๐’ ๐’Ž๐’‚๐’๐’†๐’๐’ ๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’š๐’๐’˜๐’‚๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐‘พ๐’‚๐’Š๐’”๐’“๐’‚๐’†๐’๐’Š.โ€
(Kutoka 19:5-6)

Neno "kama" katika andiko hilo linaashiria sharti kuwa hamui taifa teule wala taifa takatifu ila kwa kusikia sauti ya Mungu na kushika agano lake.

Rejea:
โ€ขWikipedia
โ€ขGay Israel
โ€ขJerusalem Post
โ€ขOUT
Andiko lako tungeliwekia akili na kulijadili kama ungelileta kipindi tofauti na sasa.
Sasa hivi tuna hangaika na jinsi ya kuangamiza kundi la kigaidi la Hamas lililoshambulia kongamano la nyimbo lililokuwa likifanywa na raia wa Israel.
 
Nioneshe nchi moja ambayo dhambi hii haifanyiki, wa Israeli ni wanadamu kama wanadamu wengine wa huko uarabuni na ulaya wanaofanya dhambi mbaya ya ushoga, usitufanye wengine hatujui kinachoendelea nchi zingine.
 
Ushoga au liwati ni dhambi mabaya na yenye kuangamiza jamii kimaadili. Katika Torati dhambi hii imeitwa "machukizo" kwa kuwa inachukiza mbele ya uso wa Mungu.

Katika Biblia katazo la kushiriki mahusiano ya jinsia moja linapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 18:22
"๐‘ผ๐’”๐’Š๐’๐’‚๐’๐’† ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’๐’‚๐’š๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’‰๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’."

Kutokana na uzito wa kosa la liwati (ushoga) amri ya kuuawa washiriki imetolewa:
"๐‘ด๐’•๐’– ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’Ž๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’˜๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’Š๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’†๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’, ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’‘๐’‚๐’”๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’‚๐’˜๐’‚, ๐’…๐’‚๐’Ž๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’Š๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’‹๐’–๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†."
( Mambo ya Walawi 20:13)

Leo tutazame hali ya Ushoga katika taifa hili bandia lilioanzishwa 1948 linalojiita teule.

Haki za wasagaji na mashoga katika taifa la Israeli ni bora zaidi kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Mashariki ya Kati.

Israel imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kutambua haki ya kuishi pamoja kati ya wapenzi wa jinsia moja bila kusajiliwa.

Wanandoa wa jinsia moja wanaruhusiwa kuasili mtoto kwa pamoja, kufuatia uamuzi wa kihistoria wa mahakama uliofanywa mwaka 2008.

Mashoga na Watu wengine wa LGBTQ pia wanaruhusiwa kuhudumu katika jeshi la Israeli.

Tel Aviv makao makuu ya Israeli yalirejelewa na jarida maarufu la "Calgary Herald" kama mojawapo ya miji inayowapa heshima kubwa mashoga duniani, ndio maana jarida la Out likaliita jiji hilo kwa jina la utani "mji mkuu wa mashoga wa Mashariki ya Kati."

Tovuti ya GayCities, 2011 iliitaja TelAviv kama jiji bora zaidi la wapenzi wa jinsia moja.

Jijini Tel Aviv kuna mnara wa kumbukumbu uliojengwa 2014 kuenzi mashoga walio wahanga wa Holocaust.

Sio serikali tu inayounga mkono mashoga, kura za maoni zimegundua kuwa Waisraeli wengi wanaunga mkono kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja.

Kwa mujibu wa ripoti ya Channel 13 kama ilivyonukuliwa na jarida la Jerusalem Post, Waisraeli 61% wanaunga mkono kuwapa haki sawa watu wa LGBTQ.

Uungaji mkono wa haki za mashoga ni mkubwa miongoni mwa Waisraeli Wayahudi kwa 68% na 17% tu ya wasiounga mkono.

Kwa wale Waisraeli wasio Wayahudi upingaji wa haki za mashoga ni mkubwa kwa 73% na uungaji mkono wa 22%.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

Mashoga Waisraeli huhudumu waziwazi katika jeshi la Israeli tangu 1993. Israeli inatambua kikamilifu washirika wa wanajeshi na maafisa walio mashoga.

Sheria ya Fursa Sawa katika Ajira ya 1992 inakataza ubaguzi mahali pa kazi kwa sababu ya mwelekeo wa kijinsia.

Raia mashoga hutumikia nafasi nyeti serikalini kama vile Ubunge, ujaji, na uafisa wa umma. Idadi kubwa ya wanadiplomasia wanaoiwakilisha Israeli kote ulimwenguni ni mashoga.

Mashoga na wasagaji wanaopitia mateso kote Mashariki ya Kati mara nyingi hukimbilia Israeli.

๐—จ๐—น๐—ถ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ

Wanandoa mashoga wanafurahia kutambuliwa na mahakama za Israel na wana haki ya:

๐—ž๐˜‚๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ: Mahakama za Familia za Israeli zinatambua kikamilifu uasili unaofanywa na wapenzi wa jinsia moja.

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ: Kwa kukosekana kwa ndoa ya kiraia nchini Israeli, Mahakama Kuu inatambua ndoa za jinsia moja zinazofanywa nje ya nchi.

๐—›๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ: Sheria ya Israeli inatoa usawa kati ya wapenzi wa jinsia moja na watu wa jinsia tofauti katika masuala ya pensheni za kustaafu na wajane na huduma za matibabu.

๐—จ๐—ฟ๐—ถ๐˜๐—ต๐—ถ: Mahakama za Israeli, kwa idhini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, zinatambua haki ya watu wa jinsia moja kurithi mali ya mwenzi mwingine.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1. Gay Tel Aviv Guide
2.Chama cha Kitaifa cha LGBT nchini Israeli
3.Jerusalem Open House
4. Havruta
Bat-kol (Shirika la Wasagaji wa Kidini.
5. GayIsrael

๐—ฅ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1975: Jumuiya ya kwanza ya LGBT ya Israeli (The Aguda) ilianzishwa

1988: Mapinduzi ya Mashoga ya Israeli yanaanza.

1992: Knesset (Bunge la Iraeli) linatangaza kubatilishwa ubaguzi kulingana na mwelekeo wa kijinsia au mahali pa kazi.

1993: Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) linatekeleza sera ya kupinga ubaguzi katika jeshi la Israeli.

1994: Mahakama Kuu yatoa hukumu ya kuwanufaisha mume na wenye jinsia moja.

1998: Nyota wa Kiisraeli aliyebadili jinsia, Dana International, alishinda Shindano la Nyimbo za Eurovision.

2000: Mahakama ya Juu inawatambua wapenzi wa jinsia moja kuwa wazazi wa kulea watoto.

2002: Mbunge wa kwanza shoga wa waziwazi wa Bunge la Israeli alichaguliwa.

2004: Mahakama ya Tel Aviv ilitoa uamuzi kwamba serikali haiwezi kumfukuza mpenzi wa jinsia moja mwenye asili ya kigeni wa raia wa Israeli.

2006: Ndoa za mashoga zilizofanywa nje ya nchi zinatambuliwa rasmi nchini Israeli.

2008: Haki kamili za kuasili zilizotolewa kwa wanandoa mashoga.

2010: Jarida la Out linatambua Tel Aviv kama jiji salama zaidi kwa mashoga Mashariki ya Kati.

2011: Jaji wa kwanza shoga aliteuliwa.

2011: Israeli inaandaa gwaride kubwa zaidi la Fahari ya Mashoga katika Bara la Asia na zaidi ya washiriki 100,000 kutoka kote ulimwenguni walihudhuria.

Madai kuwa Israeli ni taifa teule na takatifu yanavunjwa na hii kashfa nzito ya kuwa chaka la mashoga Mashariki ya Kati.

Ikumbukwe kuwa uteule wa Israeli ulitegemea sharti la kushika agano la Mungu kama inavyonukuliwa kutoka kwenye Torati:

"๐‘บ๐’‚๐’”๐’‚ ๐’ƒ๐’‚๐’”๐’Š, ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’Œ๐’Š๐’•๐’Š๐’Š ๐’”๐’‚๐’–๐’•๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’Š๐’”๐’‰๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐’‚๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’Ž๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’•๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’˜๐’‚๐’•๐’†๐’–๐’๐’† ๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’†, ๐’Ž๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’…๐’–๐’๐’Š๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–. ๐‘ด๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‡๐’‚๐’๐’Ž๐’† ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Œ๐’–๐’‰๐’‚๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š๐’‡๐’–.' ๐‘ฏ๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’…๐’Š๐’š๐’ ๐’Ž๐’‚๐’๐’†๐’๐’ ๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’š๐’๐’˜๐’‚๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐‘พ๐’‚๐’Š๐’”๐’“๐’‚๐’†๐’๐’Š.โ€
(Kutoka 19:5-6)

Neno "kama" katika andiko hilo linaashiria sharti kuwa hamui taifa teule wala taifa takatifu ila kwa kusikia sauti ya Mungu na kushika agano lake.

Rejea:
โ€ขWikipedia
โ€ขGay Israel
โ€ขJerusalem Post
โ€ขOUT
Mkuu ukimaliza hapo naomba pia tutazame hali ya ushoga na ubasha na ulawiti katika mataifa haya ya Misri na Syria na Uturuki na Marekani na Zanzbar na Oman na Uingereza Mkuu.
 
Ushoga au liwati ni dhambi mabaya na yenye kuangamiza jamii kimaadili. Katika Torati dhambi hii imeitwa "machukizo" kwa kuwa inachukiza mbele ya uso wa Mungu.

Katika Biblia katazo la kushiriki mahusiano ya jinsia moja linapatikana katika kitabu cha Mambo ya Walawi 18:22
"๐‘ผ๐’”๐’Š๐’๐’‚๐’๐’† ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’๐’‚๐’š๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’‰๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’."

Kutokana na uzito wa kosa la liwati (ushoga) amri ya kuuawa washiriki imetolewa:
"๐‘ด๐’•๐’– ๐’‚๐’Œ๐’Š๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’•๐’– ๐’‚๐’Ž๐’†๐’๐’‚๐’๐’‚ ๐’๐’‚ ๐’Ž๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’Ž๐’Œ๐’†, ๐’˜๐’๐’•๐’† ๐’˜๐’‚๐’˜๐’Š๐’๐’Š ๐’˜๐’‚๐’Ž๐’†๐’‡๐’‚๐’๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’„๐’‰๐’–๐’Œ๐’Š๐’›๐’, ๐’˜๐’‚๐’๐’‚๐’‘๐’‚๐’”๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’–๐’‚๐’˜๐’‚, ๐’…๐’‚๐’Ž๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’Š๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’‹๐’–๐’– ๐’š๐’‚๐’ ๐’˜๐’†๐’๐’š๐’†๐’˜๐’†."
( Mambo ya Walawi 20:13)

Leo tutazame hali ya Ushoga katika taifa hili bandia lilioanzishwa 1948 linalojiita teule.

Haki za wasagaji na mashoga katika taifa la Israeli ni bora zaidi kuliko nchi yoyote ya ukanda wa Mashariki ya Kati.

Israel imekuwa nchi ya kwanza barani Asia kutambua haki ya kuishi pamoja kati ya wapenzi wa jinsia moja bila kusajiliwa.

Wanandoa wa jinsia moja wanaruhusiwa kuasili mtoto kwa pamoja, kufuatia uamuzi wa kihistoria wa mahakama uliofanywa mwaka 2008.

Mashoga na Watu wengine wa LGBTQ pia wanaruhusiwa kuhudumu katika jeshi la Israeli.

Tel Aviv makao makuu ya Israeli yalirejelewa na jarida maarufu la "Calgary Herald" kama mojawapo ya miji inayowapa heshima kubwa mashoga duniani, ndio maana jarida la Out likaliita jiji hilo kwa jina la utani "mji mkuu wa mashoga wa Mashariki ya Kati."

Tovuti ya GayCities, 2011 iliitaja TelAviv kama jiji bora zaidi la wapenzi wa jinsia moja.

Jijini Tel Aviv kuna mnara wa kumbukumbu uliojengwa 2014 kuenzi mashoga walio wahanga wa Holocaust.

Sio serikali tu inayounga mkono mashoga, kura za maoni zimegundua kuwa Waisraeli wengi wanaunga mkono kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja.

Kwa mujibu wa ripoti ya Channel 13 kama ilivyonukuliwa na jarida la Jerusalem Post, Waisraeli 61% wanaunga mkono kuwapa haki sawa watu wa LGBTQ.

Uungaji mkono wa haki za mashoga ni mkubwa miongoni mwa Waisraeli Wayahudi kwa 68% na 17% tu ya wasiounga mkono.

Kwa wale Waisraeli wasio Wayahudi upingaji wa haki za mashoga ni mkubwa kwa 73% na uungaji mkono wa 22%.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐—ด๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—ท๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

Mashoga Waisraeli huhudumu waziwazi katika jeshi la Israeli tangu 1993. Israeli inatambua kikamilifu washirika wa wanajeshi na maafisa walio mashoga.

Sheria ya Fursa Sawa katika Ajira ya 1992 inakataza ubaguzi mahali pa kazi kwa sababu ya mwelekeo wa kijinsia.

Raia mashoga hutumikia nafasi nyeti serikalini kama vile Ubunge, ujaji, na uafisa wa umma. Idadi kubwa ya wanadiplomasia wanaoiwakilisha Israeli kote ulimwenguni ni mashoga.

Mashoga na wasagaji wanaopitia mateso kote Mashariki ya Kati mara nyingi hukimbilia Israeli.

๐—จ๐—น๐—ถ๐—ป๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ณ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ

Wanandoa mashoga wanafurahia kutambuliwa na mahakama za Israel na wana haki ya:

๐—ž๐˜‚๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ: Mahakama za Familia za Israeli zinatambua kikamilifu uasili unaofanywa na wapenzi wa jinsia moja.

๐—จ๐˜๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐˜‚๐˜‡๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ผ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ท๐—ถ๐—ป๐˜€๐—ถ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ: Kwa kukosekana kwa ndoa ya kiraia nchini Israeli, Mahakama Kuu inatambua ndoa za jinsia moja zinazofanywa nje ya nchi.

๐—›๐—ถ๐—ณ๐—ฎ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ถ: Sheria ya Israeli inatoa usawa kati ya wapenzi wa jinsia moja na watu wa jinsia tofauti katika masuala ya pensheni za kustaafu na wajane na huduma za matibabu.

๐—จ๐—ฟ๐—ถ๐˜๐—ต๐—ถ: Mahakama za Israeli, kwa idhini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, zinatambua haki ya watu wa jinsia moja kurithi mali ya mwenzi mwingine.

๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฟ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐— ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1. Gay Tel Aviv Guide
2.Chama cha Kitaifa cha LGBT nchini Israeli
3.Jerusalem Open House
4. Havruta
Bat-kol (Shirika la Wasagaji wa Kidini.
5. GayIsrael

๐—ฅ๐—ฒ๐—ธ๐—ผ๐—ฑ๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—ธ๐—ถ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜€๐—ต๐—ผ๐—ด๐—ฎ ๐—œ๐˜€๐—ฟ๐—ฎ๐—ฒ๐—น๐—ถ

1975: Jumuiya ya kwanza ya LGBT ya Israeli (The Aguda) ilianzishwa

1988: Mapinduzi ya Mashoga ya Israeli yanaanza.

1992: Knesset (Bunge la Iraeli) linatangaza kubatilishwa ubaguzi kulingana na mwelekeo wa kijinsia au mahali pa kazi.

1993: Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) linatekeleza sera ya kupinga ubaguzi katika jeshi la Israeli.

1994: Mahakama Kuu yatoa hukumu ya kuwanufaisha mume na wenye jinsia moja.

1998: Nyota wa Kiisraeli aliyebadili jinsia, Dana International, alishinda Shindano la Nyimbo za Eurovision.

2000: Mahakama ya Juu inawatambua wapenzi wa jinsia moja kuwa wazazi wa kulea watoto.

2002: Mbunge wa kwanza shoga wa waziwazi wa Bunge la Israeli alichaguliwa.

2004: Mahakama ya Tel Aviv ilitoa uamuzi kwamba serikali haiwezi kumfukuza mpenzi wa jinsia moja mwenye asili ya kigeni wa raia wa Israeli.

2006: Ndoa za mashoga zilizofanywa nje ya nchi zinatambuliwa rasmi nchini Israeli.

2008: Haki kamili za kuasili zilizotolewa kwa wanandoa mashoga.

2010: Jarida la Out linatambua Tel Aviv kama jiji salama zaidi kwa mashoga Mashariki ya Kati.

2011: Jaji wa kwanza shoga aliteuliwa.

2011: Israeli inaandaa gwaride kubwa zaidi la Fahari ya Mashoga katika Bara la Asia na zaidi ya washiriki 100,000 kutoka kote ulimwenguni walihudhuria.

Madai kuwa Israeli ni taifa teule na takatifu yanavunjwa na hii kashfa nzito ya kuwa chaka la mashoga Mashariki ya Kati.

Ikumbukwe kuwa uteule wa Israeli ulitegemea sharti la kushika agano la Mungu kama inavyonukuliwa kutoka kwenye Torati:

"๐‘บ๐’‚๐’”๐’‚ ๐’ƒ๐’‚๐’”๐’Š, ๐’Œ๐’‚๐’Ž๐’‚ ๐’Ž๐’Œ๐’Š๐’•๐’Š๐’Š ๐’”๐’‚๐’–๐’•๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’๐’‚ ๐’Œ๐’–๐’๐’Š๐’”๐’‰๐’Š๐’Œ๐’‚ ๐’‚๐’ˆ๐’‚๐’๐’ ๐’๐’‚๐’๐’ˆ๐’–, ๐’Ž๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’˜๐’‚๐’•๐’– ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’˜๐’‚๐’•๐’†๐’–๐’๐’† ๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š ๐’š๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’†, ๐’Ž๐’‚๐’‚๐’๐’‚ ๐’…๐’–๐’๐’Š๐’‚ ๐’š๐’๐’•๐’† ๐’๐’Š ๐’Ž๐’‚๐’๐’Š ๐’š๐’‚๐’๐’ˆ๐’–. ๐‘ด๐’•๐’‚๐’Œ๐’–๐’˜๐’‚ ๐’Œ๐’˜๐’‚๐’๐’ˆ๐’– ๐’–๐’‡๐’‚๐’๐’Ž๐’† ๐’˜๐’‚ ๐’Ž๐’‚๐’Œ๐’–๐’‰๐’‚๐’๐’Š ๐’๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Š๐’‡๐’‚ ๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’•๐’Š๐’‡๐’–.' ๐‘ฏ๐’‚๐’š๐’ ๐’๐’…๐’Š๐’š๐’ ๐’Ž๐’‚๐’๐’†๐’๐’ ๐’–๐’•๐’‚๐’Œ๐’‚๐’š๐’๐’˜๐’‚๐’‚๐’Ž๐’ƒ๐’Š๐’‚ ๐‘พ๐’‚๐’Š๐’”๐’“๐’‚๐’†๐’๐’Š.โ€
(Kutoka 19:5-6)

Neno "kama" katika andiko hilo linaashiria sharti kuwa hamui taifa teule wala taifa takatifu ila kwa kusikia sauti ya Mungu na kushika agano lake.

Rejea:
โ€ขWikipedia
โ€ขGay Israel
โ€ขJerusalem Post
โ€ขOUT
Na maalimu usisahau tutazame pia watu wa kwanza kuuleta ushoga na ubasha pwani ya afrika mashariki walitokea mataifa yapi

NB: Nitashukuru ukitizama na hilo pia
 
Nioneshe nchi moja ambayo dhambi hii haifanyiki,wa Israeli ni wanadamu kama wanadamu wengine wa huko uarabuni na ulaya wanaofanya dhambi mbaya ya ushoga, usitufanye wengine hatujui kinachoendelea nchi zingine.
Dhambi kubwa Zanzbar ni ubasha na ulawiti na hii tabia ililetwa na wakoloni wa kutokea Oman.Sijui maalim na hili anaweza kulitizama
 
hao watu weupe wote sio waarabu, wayahudi wala wazungu ndio wametuletea ubaradhuli wa kula na kuliwa rinda huku Afrika yetu. watwangane tu vizuri mpaka apatikane mshindi. Nawatakia vita njema.

Babu njunju a.k.a mzee wa kunjunjumila
Pwani ya afrika mashariki ubasha na ushoga alileta nani mara ya kwanza.
Nazungumzia unguja na pemba na tanga na kismayu na mogadishu na kilwa na mombasa na kilwa na sofala pia.
 
Back
Top Bottom