Ushoga katika taifa la Israeli

Ushoga katika taifa la Israeli

Watanzania tuna ushabiki sana na pia hatupendi mtu mwingine azungumze mabaya wa kile wanachoamini wao hakina dhambi (kitakatifu) hata kama anaona kwa macho yake.Maeneo ambayo mitume na manabii walipelekwa ujue watu wake walikuwa ni wagumu sana kuelewa masuala ya Mungu muumba kwa kipindi hicho hasa ni bara Asia na maeneo ya karibu.Sisi kwenye uovu tuseme ukweli katika maeneo yote na siyo kushindana.Swala la ushoga siyo utamaduni mzuri kwetu,tukatae tu kwa nguvu ndugu zangu.Ameleta nani,ameanzisha nani,wakina nani wanaongoza sidhani kama itaondoa tatizo.Lakini dhambi Ina pande mbili:Upande wa kwanza ni wale wanaofanya dhambi hiyo binafsi, Upande wa pili ni wale wanaofanya na kushawishi wengine kufanya eidha kwa lazima au kushawishi kwa njia nyingne.TUPENDANE WATANZANIA NA TUUNGANE.
 
Andiko lako tungeliwekia akili na kulijadili kama ungelileta kipindi tofauti na sasa.
Sasa hivi tuna hangaika na jinsi ya kuangamiza kundi la kigaidi la Hamas lililoshambulia kongamano la nyimbo lililokuwa likifanywa na raia wa Israel.

 
Pwani ya afrika mashariki ubasha na ushoga alileta nani mara ya kwanza.
Nazungumzia unguja na pemba na tanga na kismayu na mogadishu na kilwa na mombasa na kilwa na sofala pia.



Lile kanisa la mashoga la Kipentekoste kule Mbeya kumbe ni pwani ya Afrika Mashariki ??

Kumbe na huyo Nabii wako Tito ametokea pwani ya Afrika Mashariki ??
 
Mkuu safiri uone,,,unajua ushabiki bila kuisafiri dunia ni UMAMUHUMA.
Nenda nchi za kiarabu hata hapo kwa watani zangu Oman ujionee mwenyewe!!
Katika nchi zote nilizotembelea duniani ni nchi za kiarabu zinaongoza kwa ushoga na ulawiti na wanawake kuingiliwa kinyume.


Kuliko hawa mnaowapakazia kuwa WATEULE WA MUNGU wanaojitangaza wenyewe kuwa wanaongoza ulimwenguni kwa USHOGA ??



View: https://www.youtube.com/watch?v=7Bl1Vjoat6U&pp=ygUeaXNyYWVsIGdheWVzdCBjb3VudHJ5IG9uIGVhcnRo
 
Back
Top Bottom