Ushoga na haki za mwanamke na watoto ni watoto pacha

Ushoga na haki za mwanamke na watoto ni watoto pacha

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na kuna haja kubwa zingine ni magogo ya hatariiii, kimba limeshehenii kweri kweriii....
Anakwenda chooni amefurahi kwelikweli kimba linamstarehesha, na wakati mwingine Lina pilipili kwa mbali
 
Anakwenda chooni amefurahi kwelikweli kimba linamstarehesha, na wakati mwingine Lina pilipili kwa mbali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahahah sasa kama unakula dona kwanini usichanike puru😀
Mtu anakula Mahindi 4 ya kuchoma, kilo moja ya nyama na chapati 2, kachumbali. Vyote hivyo lazima vitole na wakati mwingine watu wanapata constipation. Kila mtu ameonja ladha na kadhia ya kufirw*…

Ninachokisema Mimi kifupi ni kwamba kama dunia itaendelea kuwaona na kuwafanya wanawake ni viumbe dhaifu sana dhidi ya wanaume kiasi Cha kuwatungia Sheria Kali dhidi ya wanaume tutakosea sana sana sana. Wanaume watawakwepa (avoidance and escape) wanawake.

Yaani mwanamke kutoka huko atokako ghafla anakuwa mridhi wa Mali zako zote na kuwaacha wazazi wako na ndugu zako mikono mitupu kabisa. Yaani mama yangu Hana chake mbele ya mke wangu.

Hakuna Mwanaume mwenye akili timamu atakubaliana na hilio, tena mwanamke wangu hapendi kuwaona Wala kuwaaikia watoto wangu wa nje ya ndoa. Ndoa zitapungua na ndoa kuvunjika kutaongezeka na miaka ijayo. ijayo
 
Kama tutaiacha misingi yetu kuhusu maisha na mahusiano kati ya mume na mke yaliyomo kwenye vitabu vya dini zetu, waliyotuachia mababu na mabibi zetu na yale ya viumbe wengine walioumbwa na mungu kama sisi basi tutarajie vituko vingi kama ushoga na mengine. Umuhimu wa kuoa na kuzaa watoto unapungua siku hadi siku. Sheria za kulinda mama na mtoto zinazidi kuongezeka kila kukicha, wanaume wanaonekana kama kundi linalowaonea wanawake, kundi katili sana na kundi lisilokuwa na huruma hata kidogo kwa wanawake na watoto. Jamii inasahau kuwa wanaume wanafanya kila kitu kwaajili ya kuwalinda, kuwalisha na kuwafurahisha wanawake.

Kama kweli tunataka kupambana na ushoga turudi kwenye misingi ile kazi ya mama ni kuzaa na kulea watoto nyumbani baaasi! hata kama mama atafanyakazi nyingi namna gani lakini lazima azifanyie kwenye mazingira ya karibu familia yake. yaani mama ahakikishe kuwa mtoto wao amekula nini kiasi gani, anacheza na nani mtoto wa nani, amelala saa ngapi na nani, anakwenda shule na kurudi kwa wakati, nk. Ushoga sio tukio bali ni mchakato unaozalisha tabia ya ushoga.

Umasikini na ughali wa maisha ni sababu ya pili ya tabia ya ushoga, kila binadamu anahitaji hewa, chakula, mavazi, malazi, starehe na heshima. Hivyo, binadamu anaweza kufanya chochote kile (ushoga, ngono, kuuza viungo vyake, kuiba, kuua, kufanya kazi ngumu na hatari) ili kupata mahitaji haya. kama taifa halitainua hali za kipato kwa wananchi wake matukio kama ushoga na mengine mabaya yatajitokeza kati ya wenye nacho na wasiokuwa nacho.
 
wanaharakati wa jenda ni kakundi kadogo ka wanawake kanakowadanganya wenzao walio wengi. Mimi na dada zangu tumezaliwa, tumelelewa, tumesomeshwa wote na kupendana kabisa, sijamsikia baba akisema wewe mwajuma usioge ili kaka yako aoge kwanza, sijasikia akisema wewe halima usiende shule ili kaka yako ada itoshe. NilikuWA nachunga mifugo ya familia yote, walikuwa wanapika chakula cha familia yote kuna ubaya gani hapo mimi kuchunga na yeye kupika? Ghafla ninamsikia mjinga anasema wewe halima utapata hiki na kile kwakuwa ni mwanamke, utakopeshwa, utawezeshwa, nk lakini mimi sipati. Najiuliza hivi hawa wanafanya kitu gani? kwanini wanafanya mambo ya jumlajumla namna hii? Kama kuna jamii inawakataza wanawake wao wasiende shule ni bora wa kahangaika na hilo kabila tu badala ya kusema wanawake wote, wanaume woote, nk. Mbona akina mama Mongela na wengine wamesoma na wako vizuri? nani anaweza kumyanyasa, kumuonea, kumdhulumu mama mongela? Wanawake amkeni hamuhitaji kuwezeshwa na mtu yeyote yule, wanaosema hivyo ni waganga njaa na makuwadi wa ushoga.
 
we mtoto papai
Mav* yako si yanapita hapohapo au? kule nchi za magharibi ushoga ni starehe na ajira. Ni starehe kama vile mtu anavyoamuwa kuvuta sigara, bangi, kunywa pombe au kuangalia michezo. Ni uchumu kwakuwa Kuna wanaoliowa kwa kufira wengine au kufiriwa na wengine. Ni hiari yako kwelikweli kuchagua aina ya starehe na kazi ya kukuingizia kipato. Kama ilivyo hapa ketu Kuna wanywa pombe na wasiokunywa, Kuna wavuta sigara na bhagi na wasiovuta. Mchakato wa kunywa pombe, kuvuta bangi na sigara au uesherati unaanzia ndani ya familia, shuleni, vyuoni, na mitaani wanakoishi vijana na jamii. Hivyo basi malezi ya familia, shuleni na jamii ni muhimu sana katika kuzuia au kujenga tabia. Hata hivyo umaskini unaweza kukuingizia kwenye tabia ya aina yoyote Ile hata kama baba yako ni sheikh mkuu wa kitongoji.

Vunjeni ukimya semeni na wenenu kuhusu ubaya na uzuri wa kila tabia, wapeni watoto mahitaji ya lazima kama chakula, mavazi, makazi, atibabu, usafiri na ada ya shule, wajue rafiki zake wote, wazazi msitarikiane kiboya, inueni kipato chenu, na kuweni karibu na watoto wenu na wakali kupindukia kwa watoto wenu.
 
Mav* yako si yanapita hapohapo au? kule nchi za magharibi ushoga ni starehe na ajira. Ni starehe kama vile mtu anavyoamuwa kuvuta sigara, bangi, kunywa pombe au kuangalia michezo. Ni uchumu kwakuwa Kuna wanaoliowa kwa kufira wengine au kufiriwa na wengine. Ni hiari yako kwelikweli kuchagua aina ya starehe na kazi ya kukuingizia kipato. Kama ilivyo hapa ketu Kuna wanywa pombe na wasiokunywa, Kuna wavuta sigara na bhagi na wasiovuta. Mchakato wa kunywa pombe, kuvuta bangi na sigara au uesherati unaanzia ndani ya familia, shuleni, vyuoni, na mitaani wanakoishi vijana na jamii. Hivyo basi malezi ya familia, shuleni na jamii ni muhimu sana katika kuzuia au kujenga tabia. Hata hivyo umaskini unaweza kukuingizia kwenye tabia ya aina yoyote Ile hata kama baba yako ni sheikh mkuu wa kitongoji.

Vunjeni ukimya semeni na wenenu kuhusu ubaya na uzuri wa kila tabia, wapeni watoto mahitaji ya lazima kama chakula, mavazi, makazi, atibabu, usafiri na ada ya shule, wajue rafiki zake wote, wazazi msitarikiane kiboya, inueni kipato chenu, na kuweni karibu na watoto wenu na wakali kupindukia kwa watoto wenu.
wewe mtoto ni papai
 
Mjomba wangu Dr. Mwakyembe ameamua kujitoa sadaka kwa watanzania kwa kujaribu kulibwekea dubwana kupambana nalo, anasahau kuwa makonda na awamu ya tano nzima ilishindwa kabisa kupambana nalo. Sina shaka hata Ndugu yetu mwakyembe kama asipoangalia pale aliposimama linaweza kumlipukia.

Huu ni muda serikali itume haraka wataalamu wa afya na wanasihi kwenda shule zootte nchini kutoa elimu ya kujikinga na ushoga. Ifanye hivyo hata kwa kufunga vyuo vyoote vya afya na ustawi wa jamii ili walimu wake wasambae kwenye shule za msingi na sekondari kutoa elimu hiyo kwa watoto. Kila shule iwe na walimu maalumu wa kutoa elimu na taarifa ya vitendo vya ushoga.

Kama nchi tuwe tayari kukosa misaada na mikopo inayoambatana na sharti la kuruhusu ushoga. East Africa lazima tuwe na msimamo mmoja juu ya jambo hili badala ya kufanyiwa divide and rule na wakoloni wetu.
 


[emoji3516][emoji3516]
HUENDA UKAWA HAUMFAHAMU BONDIA HUYU [emoji91] THE KILLING MACHINE

Ipo YOUTUBE tayari @manaraTv

Gusa Link [emoji3516]Usisahau ku subscribe,Like na ku Comments
Safi sana huyu huwa analeta mambo yake kwenye mjadala
 
Back
Top Bottom