Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Dunia yote imekubali kuwa ni wachumba tu kwa nchi za Magharibi, Marekani ikikohoa kuhusu utamaduni wake uheshimiwe na viongozi wote duniani, wote wanapiga saluti!
Hakuna asiyefahamu, Mungu amewaumba wanadamu wenye jinsia tofauti, na kwa sababu hiyo, ili wanapokutana na kufanya tendo la ndoa, basi kuwepo na uzao! Nje na hapo hakuna kuzaa.
Hakuna asiyefahamu kuwa, mashoga hawawezi kupata watoto bali wanachokifanya ni kumfanya Mungu kuwa mpumbavu na asiyejua chochote kuhusu uumbaji na matumizi sahihi ya viungo vya mwanadamu!
Utamaduni huu wa kijinga, waasisi wake ni nchi za huko juu! Na kwa kuwa kwao ni kawaida, basi wakatunga na sheria za kuulinda huu ujinga, na ole wa nchi itakayokwenda kinyume na sheria zao hizo zinazohusu Haki za Binadamu! Asante JPM kuwavimbia hawa mashetani Kwa ujinga wao huu,
Naiangalia Dunia yote ukimwondoa aliyekuwa Raisi wa nchi yetu ndogo JPM, ndiye pekee ambaye hakukibaliana na hizo sheria za kijinga. Na sasa namuona shujaa mwingine ambaye amesimama kidete kupinga huu utamaduni wa kijinga kwamba, isiwe ni jambo la kuyalazimisha na mataifa mengine kuunga mkono hili jambo Kwa mgongo wa haki za binadamu, jambo hili, libaki kwao kama utamaduni wao!
Sipendi operation za huyu mwamba anazozifanya kule Ukraine, ila kwenye kulikemea jambo hili, nampa asilimia zote kwamba, chini ya kitu inaitwa Demokrasia, kuna mambo ya kipumbavu hupitishiwa kule licha kwamba ni haramu!
Naisihi sasa dunia kuanza kuachana na hawa Wamagharibi katika sera zao za kishetani ili dunia ianze kuona nuru ya Muumbaji!
Naungana na Putin Rais wa Urusi, kupinga Kwa nguvu suala la ushoga na mashoga, hawa ndiyo wanaifanya dunia kuwa kama sehemu ya Jehanam, hakuna mvua, chakula, na hali ya hewa imekuwa ni mbaya sana kuwahi kutokea Kwa sababu ya mambo ya kishetani kama haya!
Mungu Ibariki Urusi.
Hakuna asiyefahamu, Mungu amewaumba wanadamu wenye jinsia tofauti, na kwa sababu hiyo, ili wanapokutana na kufanya tendo la ndoa, basi kuwepo na uzao! Nje na hapo hakuna kuzaa.
Hakuna asiyefahamu kuwa, mashoga hawawezi kupata watoto bali wanachokifanya ni kumfanya Mungu kuwa mpumbavu na asiyejua chochote kuhusu uumbaji na matumizi sahihi ya viungo vya mwanadamu!
Utamaduni huu wa kijinga, waasisi wake ni nchi za huko juu! Na kwa kuwa kwao ni kawaida, basi wakatunga na sheria za kuulinda huu ujinga, na ole wa nchi itakayokwenda kinyume na sheria zao hizo zinazohusu Haki za Binadamu! Asante JPM kuwavimbia hawa mashetani Kwa ujinga wao huu,
Naiangalia Dunia yote ukimwondoa aliyekuwa Raisi wa nchi yetu ndogo JPM, ndiye pekee ambaye hakukibaliana na hizo sheria za kijinga. Na sasa namuona shujaa mwingine ambaye amesimama kidete kupinga huu utamaduni wa kijinga kwamba, isiwe ni jambo la kuyalazimisha na mataifa mengine kuunga mkono hili jambo Kwa mgongo wa haki za binadamu, jambo hili, libaki kwao kama utamaduni wao!
Sipendi operation za huyu mwamba anazozifanya kule Ukraine, ila kwenye kulikemea jambo hili, nampa asilimia zote kwamba, chini ya kitu inaitwa Demokrasia, kuna mambo ya kipumbavu hupitishiwa kule licha kwamba ni haramu!
Naisihi sasa dunia kuanza kuachana na hawa Wamagharibi katika sera zao za kishetani ili dunia ianze kuona nuru ya Muumbaji!
Naungana na Putin Rais wa Urusi, kupinga Kwa nguvu suala la ushoga na mashoga, hawa ndiyo wanaifanya dunia kuwa kama sehemu ya Jehanam, hakuna mvua, chakula, na hali ya hewa imekuwa ni mbaya sana kuwahi kutokea Kwa sababu ya mambo ya kishetani kama haya!
Mungu Ibariki Urusi.