Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

Shoga ni Malfunctioning creature ... No sympathy kill them
 
Napingana na wewe,kuhusu suala la ushoga na ukanda wa pwani.Kwa pwani ushoga upo kwa kiasi kikubwa mno ,nimeishi PEMBA,UNGUJA,MOMBASA,ni aibu!!!kama UNGUJA hapo malindi huwezi ukaamini kama uyaonayo yapo kwenye nchi yenye waislam 99.9%!!!huko nako wageni wa kwanza kufika huko,zilikuwa nchi za magharibi??!Ukweli upo wazi.
Yani dini inamfanya mtu akatae ukweli ulio wazi kabisa
 
Kwa aliyejifunza kidogo mafundisho ya dini, Sodoma na Gomora ndipo kulikuwa ni kitovu cha ushoga. Maeneo haya yanapatikana Middle East huko na wala siyo huko Western.
Haina tatizo maana wao middle east dhambi za kila aina wanafanya ..Ishu ni kupromote ndo tatizo kulazimisha jamii kukubali ni vizuri watu wakapiga kimya ila wanapromote ni hatar zaidi
 
Kuamini na kusema ni swala moja na wananchi wake kuingiliana kinyume ni swala jingine. Hivo kusema ni kutudanganya wapumbavu wenzie lakini ukweli ni kwamba watu wanageuzana na hawata acha ni dhambi za kuridhi. Kama una fira Demu uwe na hakika mwanao au mjukuu atafirwa tu.

Bila maombi ya kweli na kuacha dhambi hakuna jipya ni Makelele tu
Mungu atunusuru na haya
Wao wazungu wanataka liwe jambo la kawaida ila haliwezekani kwani kuna wazungu wengi pia kama tulivyo sisi hawataki kabisa kusikia haya ila hawana jinsi

Serikali na taasisi zote zimekubaliana kuwapa ajira mashoga bila kuwabagua na kwa sasa wamejaa kila sehemu mpaka watangazaji wa Habari, Radio nyingi utawasikia na hata taasisi kubwa na pia Wabunge wamo

Sio jambo jema ila ndio wameibadili mpaka Israel kutoka kwenye so called Taifa Teule mpaka kuongoza kwa mashoga duniani na kila mwaka wana sherehe kubwa sana kwao
 
Dunia yote imekubali kuwa ni wachumba tu kwa nchi za Magharibi, Marekani ikikohoa kuhusu utamaduni wake uheshimiwe na viongozi wote duniani, wote wanapiga saluti!

Hakuna asiyefahamu, Mungu amewaumba wanadamu wenye jinsia tofauti, na kwa sababu hiyo, ili wanapokutana na kufanya tendo la ndoa, basi kuwepo na uzao! Nje na hapo hakuna kuzaa.

Hakuna asiyefahamu kuwa, mashoga hawawezi kupata watoto bali wanachokifanya ni kumfanya Mungu kuwa mpumbavu na asiyejua chochote kuhusu uumbaji na matumizi sahihi ya viungo vya mwanadamu!

Utamaduni huu wa kijinga, waasisi wake ni nchi za huko juu! Na kwa kuwa kwao ni kawaida, basi wakatunga na sheria za kuulinda huu ujinga, na ole wa nchi itakayokwenda kinyume na sheria zao hizo zinazohusu Haki za Binadamu! Asante JPM kuwavimbia hawa mashetani Kwa ujinga wao huu,

Naiangalia Dunia yote ukimwondoa aliyekuwa Raisi wa nchi yetu ndogo JPM, ndiye pekee ambaye hakukibaliana na hizo sheria za kijinga. Na sasa namuona shujaa mwingine ambaye amesimama kidete kupinga huu utamaduni wa kijinga kwamba, isiwe ni jambo la kuyalazimisha na mataifa mengine kuunga mkono hili jambo Kwa mgongo wa haki za binadamu, jambo hili, libaki kwao kama utamaduni wao!

Sipendi operation za huyu mwamba anazozifanya kule Ukraine, ila kwenye kulikemea jambo hili, nampa asilimia zote kwamba, chini ya kitu inaitwa Demokrasia, kuna mambo ya kipumbavu hupitishiwa kule licha kwamba ni haramu!

Naisihi sasa dunia kuanza kuachana na hawa Wamagharibi katika sera zao za kishetani ili dunia ianze kuona nuru ya Muumbaji!

Naungana na Putin Rais wa Urusi, kupinga Kwa nguvu suala la ushoga na mashoga, hawa ndiyo wanaifanya dunia kuwa kama sehemu ya Jehanam, hakuna mvua, chakula, na haki ya hewa ni mbaya Kwa sababu ya mambo ya kishetani kama haya!

Mungu Ibariki Urusi.
Ushoga sio utamaduni wa nchi za Magharibi,ushoga ulikuwepo tangu enzi za Nuhu huko.

All over the World kuna Homosexuality hao magharibi wameamua tu kuheshimu haki za watu tu kufanya wanachotaka.
 
Wale wengine wanafungisha ndo kwenye madhabahu za jinsia moja .
 
Mugabe banah ndio alitoboa! Alimwambia Obama kama vipi aje kwanza yeye amuoe then ndio ataruhusu
Mwamba alikuwa Mtu Bingwa sana. Alitaka amlapue kwanza yeye Obama halafu ndiyo aone kama ushetwaini wao unafaa
 
Kwanza dadisi maana na malengo ya kitu kinachoitwa NEW WORLD ORDER,
UTAPATA JIBU.
 
Dikteta Mugabe alishindwa kutoboa kwa Grace, alitaka kumuonga nchi akapinduliwa na wenzake na akafa kifo cha aibu kama mkiwa[emoji16]
Mugabe banah ndio alitoboa! Alimwambia Obama kama vipi aje kwanza yeye amuoe then ndio ataruhusu
 
Wazungu walipofika Uganda katikati ya karne ya 19 walimkuta Kabaka Mwanga II akiwa shoga na huko Uganda kulikuwa na mambo ya mudoko dako ambayo ni aina ya ushoga.
Ushoga haujaletwa na wazungu Africa, ulikuwepo.
Western countries ni wajanja mno na wako kipopraganda enzi wanavamia pwani za Africa haswa Tanzania maeneo ya pwani walipata tabu kusambaza tamaduni zao kwani tayar walishakuwa wanajtambua wakaja na propaganda kwamba watu wa Pwani ni wavivu na Kuna ushoga sana ..ila kiuhalisia sio kweli hata leo mtanzania anaongelea sehemu fulani Kuna tabia fulani unakuta hajwai kuishi wala kufika ila anaongelea kwa chuki tu juu ya jamii fulani..

Msidanyanywe ushoga kwa Africa umeletwa na wazungu na wako katika agenda kubwa kuhakikisha unapamba moto nimesikia Kuna nyimbo ya jux na Mario wamepusha ile logo kupitia mwamvuli fulani alikuwa kshika mdada kweny video ..yote ni kushabikia hayo mambo.
 
Wazungu walipofika Uganda katikati ya karne ya 19 walimkuta Kabaka Mwanga II akiwa shoga na huko Uganda kulikuwa na mambo ya mudoko dako ambayo ni aina ya ushoga.
Ushoga haujaletwa na wazungu Africa, ulikuwepo.
Sio kweli Africa hatukuwa na izo mambo kabisa
 
Vladimir Putin
Xi-jiping
Ayatolah Sayyid Ruhollah Musavi Khomeini,
Hawajarasimisha tu, ila kama ambavyo hapa tz upo na wala si utamaduni wetu, hata huko kote upo. Kumpangia mwanadamu nini afanye au asifanye ni ngumu sana.
 
Back
Top Bottom