Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

Napingana na wewe,kuhusu suala la ushoga na ukanda wa pwani.Kwa pwani ushoga upo kwa kiasi kikubwa mno ,nimeishi PEMBA,UNGUJA,MOMBASA,ni aibu!!!kama UNGUJA hapo malindi huwezi ukaamini kama uyaonayo yapo kwenye nchi yenye waislam 99.9%!!!huko nako wageni wa kwanza kufika huko,zilikuwa nchi za magharibi??!Ukweli upo wazi.
Hata ukienda Mombasa mpaka lamu ushoga umekithiri sana na wenyeji wa kule ni waislamu 90+
 
Napingana na wewe,kuhusu suala la ushoga na ukanda wa pwani.Kwa pwani ushoga upo kwa kiasi kikubwa mno ,nimeishi PEMBA,UNGUJA,MOMBASA,ni aibu!!!kama UNGUJA hapo malindi huwezi ukaamini kama uyaonayo yapo kwenye nchi yenye waislam 99.9%!!!huko nako wageni wa kwanza kufika huko,zilikuwa nchi za magharibi??!Ukweli upo wazi.
Sehemu nyingi sijkataa ila sio kibongo bongo hata mimi ishu kama izo mombasa nilizisikia sana ila kwa Tanzania sio sana kama watu wanavyo overrated kule zanzibar utalii umeharibu sana izo mambo ..
 
JF kila dakika NI mada za ushoga, tuwe makini hizi NI mbinu za kutangaza ushoga.

MTU mwenye akili timamu huwezi hata kuwaza kuanzisha mada za ushoga kama sio mhusika.
Kabisa kabisa !! Hata hao wanaowasingizia ushoga watu wengine kwa nia ya kuwadhalilisha wajue wanaufanyia ushoga promoshen bila kujijua !! Maana watoto wanaposikia kisha na kumuona huyo anayetangazwa wengine wanapata mawazo kwamba kumbe kitendo cha ushoga ni cha kawaida tu hata fulani kumbe anafanya !!! Hiyo inakuwa ni promoshen ya kutosha kabisa !! Watu waache huo ujinga watafute tusi jingine la kudhalilisha wabaya wao!! Vinginevyo promoshen hiyo itawavutia mpaka watoto wao waingie kwenye hilo janga !! Babu zangu wanasemaga “kasekaseka kalilalila “ watu wanacheka lakini siku moja watakuja kulia !!!
 
Wapo hadi viongozi wa dini wanafanya ushoga.
Mi nadhani tofauti yao na sisi ni wao kuhalalisha, kusema western ndio wametuletea sina uhakika na hilo, mimi nimekulia Kariakoo, miaka ya 90 nilishasikia sana habari za WASENGE, mtaa niliokuwa nakaa nyuma yake kulikuwa na kundi la Taarabu, MUCHACHO kama sikosei, hawa watu walikuwa na sifa za hizo tabia.
Kuhusu JPM kwamba alikataa sidhani kama nikweli, labda kama umesahau ile kauli ya yule aliyekuwa Waziri wake wa ulinzi kuhusu mashoga, mi nadhani kama Nchi ili kuachana na huo ujinga suala ni kujitegemea, kukaa na watoto wetu kuwaeleza madhara ya huo ushetani na umuhimu wa kushika dini, vinginevyo hali itakuwa mbaya sana siku zijazo.
 
Kwa sababu zamani hakukuwepo na simu au mitandao ya kijamii ya kusambaziana umbea kwa kasi kama leo hii.
[emoji44][emoji44][emoji44]Akutukanaye hakuchagulii tusi,huku kwetu Mbeya idadi ya wanafunzi wa kiume(sekondari)kujihusisha na mapenzi na waalimu wa kiume Ni za kawaida Sana mkuu,hiyo Zamani unayoisema wewe hizi kesi hazikuwako kwa kiwango hiki.
 
Mbele za Mungu kuna dhambi kubwa na ndogo??
USHOGA NI DHAMBI KUBWA MBELE ZA MUNGU. Ila sikubaliani na wewe kuwa ni utamaduni wa magharibi na umeletwa na wazungu. Ushoga upo kwenye jamii zote duniani tangu mwanadamu alipoanza kusambaa kwenye uso wa dunia, enzi za Nuhu na kabla yake, upo sana, na utaendelea kuwepo mpaka Yesu mwenyewe atakaporejea. Habari njema ni kwamba kwa imani ya Kristo sote sisi ni wakosaji na tunaokolewa kwa imani na wala siyo matendo. Siku ya mwisho usije kushangaa unayemuona shoga sasa hivi ndiyo akawa wa kwanza kunyakuliwa na Yesu.
 
Waafrika kila kitu wasichokipenda, walichoshindwa kukidhibiti, pamoja na umaskini wao wanawasingizia wazungu tu.
Hakuna nchi au mtu amelazimisha muwe mashoga, kwanza kwa waliokulia mjini hapo wanajua mashoga wapo kibao tangu enzi na enzi, zaidi ya vimaneno vya hapa na pale hakuna mtu anasumbuana nao na wanaishi kama kawaida tuu, hakuna cha mzungu wala cha utamaduni watu hao wapo tuu na wataendelea kuwepo mtaka msitake
 
JF kila dakika NI mada za ushoga, tuwe makini hizi NI mbinu za kutangaza ushoga.

MTU mwenye akili timamu huwezi hata kuwaza kuanzisha mada za ushoga kama sio mhusika.
Nashangaa mnoo,as if ndo tatizo pekee kubwa duniani.wakati tuna matatizo kibao ya kujadili na kutatuliwa.
 
Kwa sababu mna akili mdogo hivyo mnapenda kujikita kwenye masuala madogo madogo na subjective yanayohusisha hisia zaidi kuliko masuala makubwa na yalio objective.
Nashangaa mnoo,as if ndo tatizo pekee kubwa duniani.wakati tuna matatizo kibao ya kujadili na kutatuliwa.
 
HIZI MADA ZIMEKUWA NYINGI SANA HAPA JF.

NA ZINAKUJA KWA KASI KUBWA SANA.
MUNGU ATUNUSURU.

MATUMIZI YA MISO P2 NA DAWA ZOTE ZA UZAZI WA MPANGO NI HATARI KWA WATOTO WENU.
 
JF kila dakika NI mada za ushoga, tuwe makini hizi NI mbinu za kutangaza ushoga.

MTU mwenye akili timamu huwezi hata kuwaza kuanzisha mada za ushoga kama sio mhusika.
Kukaa kimya na kufikiri kuwa tatizo halipo ni kuongeza tatizo. Suala hili lazima lijadiliwe waziwazi ili watu wajue namna ya kukabiliana nalo.
 
Kwani wewe ukiwa au ukiamua kuwa shoga una athari gani kwa Watanzania wengine wanaokuzunguka??
Hivi ni akili au matope kuacha kujadili mambo ya msingi ya maendeleo tukae tunajidili mambo binafsi ya ushoga wa watu??!
Kukaa kimya na kufikiri kuwa tatizo halipo ni kuongeza tatizo. Suala hili lazima lijadiliwe waziwazi ili watu wajue namna ya kukabiliana nalo.
 
Nashangaa mnoo,as if ndo tatizo pekee kubwa duniani.wakati tuna matatizo kibao ya kujadili na kutatuliwa.
waafrika ni wanafiki sana!!yaani wanaishi kwenye matatizo kibao,ambayo ni rahisi sana kuyaondoa ikiwa wataamua, kuwa wakali kwa viongozi wao,mfano hali ngumu ya maisha hospitali kukosa madawa,lakini wanashupalia vitu ambavyo havina impact sana kwenye maisha yao ya kila siku.
 
Ukifatilia vizur ulaya waliwapiga vita sana mashoga waliuliwa sana mbona afrika hawajapitia changamoto hii imetokana US NA ULAYA kuona kuwabania haki hawa watu n suala ambalo sio sahihi fuatilia mateso waliyo pitia had wakaanza kuandamana kudai haki zao
 
Mwamba ni M7 alijibu vizuri sana kwenye interview na CNN kama sikosei na aliwafunga mdomo kabisa na kusimamia anachoamini

Kuamini na kusema ni swala moja na wananchi wake kuingiliana kinyume ni swala jingine. Hivo kusema ni kutudanganya wapumbavu wenzie lakini ukweli ni kwamba watu wanageuzana na hawata acha ni dhambi za kuridhi. Kama una fira Demu uwe na hakika mwanao au mjukuu atafirwa tu.

Bila maombi ya kweli na kuacha dhambi hakuna jipya ni Makelele tu
 
Dunia yote imekubali kuwa ni wachumba tu kwa nchi za Magharibi, Marekani ikikohoa kuhusu utamaduni wake uheshimiwe na viongozi wote duniani, wote wanapiga saluti!

Hakuna asiyefahamu, Mungu amewaumba wanadamu wenye jinsia tofauti, na kwa sababu hiyo, ili wanapokutana na kufanya tendo la ndoa, basi kuwepo na uzao! Nje na hapo hakuna kuzaa.

Hakuna asiyefahamu kuwa, mashoga hawawezi kupata watoto bali wanachokifanya ni kumfanya Mungu kuwa mpumbavu na asiyejua chochote kuhusu uumbaji na matumizi sahihi ya viungo vya mwanadamu!

Utamaduni huu wa kijinga, waasisi wake ni nchi za huko juu! Na kwa kuwa kwao ni kawaida, basi wakatunga na sheria za kuulinda huu ujinga, na ole wa nchi itakayokwenda kinyume na sheria zao hizo zinazohusu Haki za Binadamu! Asante JPM kuwavimbia hawa mashetani Kwa ujinga wao huu,

Naiangalia Dunia yote ukimwondoa aliyekuwa Raisi wa nchi yetu ndogo JPM, ndiye pekee ambaye hakukibaliana na hizo sheria za kijinga. Na sasa namuona shujaa mwingine ambaye amesimama kidete kupinga huu utamaduni wa kijinga kwamba, isiwe ni jambo la kuyalazimisha na mataifa mengine kuunga mkono hili jambo Kwa mgongo wa haki za binadamu, jambo hili, libaki kwao kama utamaduni wao!

Sipendi operation za huyu mwamba anazozifanya kule Ukraine, ila kwenye kulikemea jambo hili, nampa asilimia zote kwamba, chini ya kitu inaitwa Demokrasia, kuna mambo ya kipumbavu hupitishiwa kule licha kwamba ni haramu!

Naisihi sasa dunia kuanza kuachana na hawa Wamagharibi katika sera zao za kishetani ili dunia ianze kuona nuru ya Muumbaji!

Naungana na Putin Rais wa Urusi, kupinga Kwa nguvu suala la ushoga na mashoga, hawa ndiyo wanaifanya dunia kuwa kama sehemu ya Jehanam, hakuna mvua, chakula, na haki ya hewa ni mbaya Kwa sababu ya mambo ya kishetani kama haya!

Mungu Ibariki Urusi.
Umesahau waarabu ndio walieneza hizo mambo kiasi maeneo ya pwani yakaona ni sehemu ya maisha ya kawaida ???

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Western countries ni wajanja mno na wako kipopraganda enzi wanavamia pwani za Africa haswa Tanzania maeneo ya pwani walipata tabu kusambaza tamaduni zao kwani tayar walishakuwa wanajtambua wakaja na propaganda kwamba watu wa Pwani ni wavivu na Kuna ushoga sana ..ila kiuhalisia sio kweli hata leo mtanzania anaongelea sehemu fulani Kuna tabia fulani unakuta hajwai kuishi wala kufika ila anaongelea kwa chuki tu juu ya jamii fulani..

Msidanyanywe ushoga kwa Africa umeletwa na wazungu na wako katika agenda kubwa kuhakikisha unapamba moto nimesikia Kuna nyimbo ya jux na Mario wamepusha ile logo kupitia mwamvuli fulani alikuwa kshika mdada kweny video ..yote ni kushabikia hayo mambo.
Kwa aliyejifunza kidogo mafundisho ya dini, Sodoma na Gomora ndipo kulikuwa ni kitovu cha ushoga. Maeneo haya yanapatikana Middle East huko na wala siyo huko Western.
 
JF kila dakika NI mada za ushoga, tuwe makini hizi NI mbinu za kutangaza ushoga.

MTU mwenye akili timamu huwezi hata kuwaza kuanzisha mada za ushoga kama sio mhusika.
Itakuwa wewe pia ni shoga na wanaokuunga mkono wapo kama wewe
 
Back
Top Bottom