Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

Dunia yote imekubali kuwa ni wachumba tu Kwa nchi za Magharibi,

Marekani ikikohoa kuhusu utamaduni wake uheshimiwe na viongozi wote duniani, wote wanapiga saluti!

Hakuna asiyefahamu, Mungu amewaumba wanadamu wenye jinsia tofauti, na Kwa sababu hiyo, ili wanapokutana na kufanya tendo la ndoa, basi kuwepo na uzao! Nje na hapo hakuna kuzaa

Hakuna asiyefahamu kuwa, mashoga hawawezi kupata watoto Bali wanachokifanya ni kumfanya Mungu kuwa mpumbavu na asiyejua chochote kuhusu uumbaji na matumizi sahihi ya viungo vya mwanadamu!

Utamaduni huu wa kijinga, waasisi wake ni nchi za huko juu! Na Kwa kuwa kwao ni kawaida, basi wakatunga na sheria za kuulinda huu ujinga, na ole wa nchi itakayokwenda kinyume na sheria zao hizo zinazohusu haki za Binadamu!

Asante JPM kuwavimbia hawa mashetani Kwa ujinga wao huu,

Naiangalia dunia yote ukimwondoa aliyekuwa raisi wa nchi yetu ndogo JPM, ndiye pekee ambaye hakukibaliana na hizo sheria za kijinga

Na sasa namuona shujaa mwingine ambaye amesimama kidete kupinga huu utamaduni wa kijinga kwamba, isiwe ni jambo la kuyalazimisha na mataifa mengine kuunga mkono hili jambo Kwa mgongo wa haki za binadamu,

Jambo hili, libaki kwao kama utamaduni wao!

Sipendi operation za huyu mwamba anazozifanya kule Ukraine, ila kwenye kulikemea jambo hili, nampa asilimia zote kwamba, chini ya kitu inaitwa Demokrasia, kuna mambo ya kipumbavu hupitishiwa kule licha kwamba ni haramu!

Naisihi sasa dunia kuanza kuachana na hawa Wamagharibi ktk Sera zao za kishetani ili dunia ianze kuona nuru ya Muumbaji!

Naungana na Putin Rais wa Urusi, kupinga Kwa nguvu suala la ushoga na mashoga, hawa ndio wanaifanya dunia kuwa kama sehemu ya Jehanam, hakuna mvua, chakula, na haki ya hewa ni mbaya Kwa sababu ya mambo ya kishetani kama haya!

Mungu Ibariki Urusi
Fuatilia Nchi za Kiarabu Kisha utajua ushoga umeanzia wapi, [emoji1787][emoji1787]
 
Mi nadhani tofauti yao na sisi ni wao kuhalalisha, kusema western ndio wametuletea sina uhakika na hilo, mimi nimekulia Kariakoo, miaka ya 90 nilishasikia sana habari za WASENGE, mtaa niliokuwa nakaa nyuma yake kulikuwa na kundi la Taarabu, MUCHACHO kama sikosei, hawa watu walikuwa na sifa za hizo tabia.
Kuhusu JPM kwamba alikataa sidhani kama nikweli, labda kama umesahau ile kauli ya yule aliyekuwa Waziri wake wa ulinzi kuhusu mashoga, mi nadhani kama Nchi ili kuachana na huo ujinga suala ni kujitegemea, kukaa na watoto wetu kuwaeleza madhara ya huo ushetani na umuhimu wa kushika dini, vinginevyo hali itakuwa mbaya sana siku zijazo.
 
Ni lini jpm amewahi kataa suala hili
 
Kusema ni utamaduni sidhani kama ni kauli sahihi. Mashoga hata huku kwetu walikuwepo na bado wapo. Sema wale ni kwasababu ya maendeleo waliyonayo ambapo hizo ni baadhi ya negativities za maendeleo yao. Hususan haki za binadhamu wa aina zote.

Lakini huku kwetu mashoga toka kitambo wako na walikuwa wakifahamika. Labda ni kwasababu kwa kiasi kikubwa hatutaki kuwaendekeza.

You can't be serious!mashoga huku kwetu walikuepo toka Zamani zipi?!
Ushoga na kusagana kwa Sasa Tanzania ni tatizo kubwa kuliko hata la uvutaji wa sigara(watu wameacha kuvuta sigara now wameingia kwenye usagaji na ushoga)

Tatizo ni kubwa Sana chief,usifananishe na miaka ya 90s
 
Dunia yote imekubali kuwa ni wachumba tu Kwa nchi za Magharibi,

Marekani ikikohoa kuhusu utamaduni wake uheshimiwe na viongozi wote duniani, wote wanapiga saluti!

Hakuna asiyefahamu, Mungu amewaumba wanadamu wenye jinsia tofauti, na Kwa sababu hiyo, ili wanapokutana na kufanya tendo la ndoa, basi kuwepo na uzao! Nje na hapo hakuna kuzaa

Hakuna asiyefahamu kuwa, mashoga hawawezi kupata watoto Bali wanachokifanya ni kumfanya Mungu kuwa mpumbavu na asiyejua chochote kuhusu uumbaji na matumizi sahihi ya viungo vya mwanadamu!

Utamaduni huu wa kijinga, waasisi wake ni nchi za huko juu! Na Kwa kuwa kwao ni kawaida, basi wakatunga na sheria za kuulinda huu ujinga, na ole wa nchi itakayokwenda kinyume na sheria zao hizo zinazohusu haki za Binadamu!

Asante JPM kuwavimbia hawa mashetani Kwa ujinga wao huu,

Naiangalia dunia yote ukimwondoa aliyekuwa raisi wa nchi yetu ndogo JPM, ndiye pekee ambaye hakukibaliana na hizo sheria za kijinga

Na sasa namuona shujaa mwingine ambaye amesimama kidete kupinga huu utamaduni wa kijinga kwamba, isiwe ni jambo la kuyalazimisha na mataifa mengine kuunga mkono hili jambo Kwa mgongo wa haki za binadamu,

Jambo hili, libaki kwao kama utamaduni wao!

Sipendi operation za huyu mwamba anazozifanya kule Ukraine, ila kwenye kulikemea jambo hili, nampa asilimia zote kwamba, chini ya kitu inaitwa Demokrasia, kuna mambo ya kipumbavu hupitishiwa kule licha kwamba ni haramu!

Naisihi sasa dunia kuanza kuachana na hawa Wamagharibi ktk Sera zao za kishetani ili dunia ianze kuona nuru ya Muumbaji!

Naungana na Putin Rais wa Urusi, kupinga Kwa nguvu suala la ushoga na mashoga, hawa ndio wanaifanya dunia kuwa kama sehemu ya Jehanam, hakuna mvua, chakula, na haki ya hewa ni mbaya Kwa sababu ya mambo ya kishetani kama haya!

Mungu Ibariki Urusi
Ujinga ndo unaokusumbua mfano republican chama Cha marekani kinapinga ushoga, kusema wazungu wote wanasupport ushoga ni Uzindaki
 
You can't be serious!mashoga huku kwetu walikuepo toka Zamani zipi?!
Ushoga na kusagana kwa Sasa Tanzania ni tatizo kubwa kuliko hata la uvutaji wa sigara(watu wameacha kuvuta sigara now wameingia kwenye usagaji na ushoga)

Tatizo ni kubwa Sana chief,usifananishe na miaka ya 90s
Hio takwimu umeifanya lini mpaka ukajua mashoga na wasagaji ni wengi kama na wewe sio mmoja wapo
 
You can't be serious!mashoga huku kwetu walikuepo toka Zamani zipi?!
Ushoga na kusagana kwa Sasa Tanzania ni tatizo kubwa kuliko hata la uvutaji wa sigara(watu wameacha kuvuta sigara now wameingia kwenye usagaji na ushoga)

Tatizo ni kubwa Sana chief,usifananishe na miaka ya 90s
Duh! I wonder how old you are. Mashoga walikuwepo toka wewe, baba yako na mama yako, na wazazi wao hawajazaliwa. Eti 90’s.

Hata Sodoma na ghomora ni kwasababu hiyo.
 
Hio takwimu umeifanya lini mpaka ukajua mashoga na wasagaji ni wengi kama na wewe sio mmoja wapo

😲😲😲Akutukanaye hakuchagulii tusi,huku kwetu Mbeya idadi ya wanafunzi wa kiume(sekondari)kujihusisha na mapenzi na waalimu wa kiume Ni za kawaida Sana mkuu,hiyo Zamani unayoisema wewe hizi kesi hazikuwako kwa kiwango hiki.
 
Duh! I wonder how old you are. Mashoga walikuwepo toka wewe, baba yako na mama yako, na wazazi wao hawajazaliwa. Eti 90’s.

Hata Sodoma na ghomora ni kwasababu hiyo.

🤣🤣🤣,Kipindi Cha akina OKONKWO ushoga pia ulikuepo mkuu?!

Tunaizungumzia Tanzania,wewe unarukia Mambo ya sodoma na Gomola sijui 🙄
 
USHOGA NI DHAMBI KUBWA MBELE ZA MUNGU. Ila sikubaliani na wewe kuwa ni utamaduni wa magharibi na umeletwa na wazungu. Ushoga upo kwenye jamii zote duniani tangu mwanadamu alipoanza kusambaa kwenye uso wa dunia, enzi za Nuhu na kabla yake, upo sana, na utaendelea kuwepo mpaka Yesu mwenyewe atakaporejea. Habari njema ni kwamba kwa imani ya Kristo sote sisi ni wakosaji na tunaokolewa kwa imani na wala siyo matendo. Siku ya mwisho usije kushangaa unayemuona shoga sasa hivi ndiyo akawa wa kwanza kunyakuliwa na Yesu.
 
USHOGA NI DHAMBI KUBWA MBELE ZA MUNGU. Ila sikubaliani na wewe kuwa ni utamaduni wa magharibi na umeletwa na wazungu. Ushoga upo kwenye jamii zote duniani tangu mwanadamu alipoanza kusambaa kwenye uso wa dunia, enzi za Nuhu na kabla yake, upo sana, na utaendelea kuwepo mpaka Yesu mwenyewe atakaporejea. Habari njema ni kwamba kwa imani ya Kristo sote sisi ni wakosaji na tunaokolewa kwa imani na wala siyo matendo. Siku ya mwisho usije kushangaa unayemuona shoga sasa hivi ndiyo akawa wa kwanza kunyakuliwa na Yesu.
Is it serious!!!
 
Mwamba ni M7 alijibu vizuri sana kwenye interview na CNN kama sikosei na aliwafunga mdomo kabisa na kusimamia anachoamini
Nafikiri unasifia pasipofaa, huyo si ndio alifyata mkia na kubadilisha sheria iliyopitishwa na bunge lake dhidi ya ushoga, hakuna kitu mtasimama against hawa wazungu ambao ndio wanalipa mishahara yenu
 
Hakuna nchi au mtu amelazimisha muwe mashoga, kwanza kwa waliokulia mjini hapo wanajua mashoga wapo kibao tangu enzi na enzi, zaidi ya vimaneno vya hapa na pale hakuna mtu anasumbuana nao na wanaishi kama kawaida tuu, hakuna cha mzungu wala cha utamaduni watu hao wapo tuu na wataendelea kuwepo mtaka msitake
 
Ila wazee kama Mugabe na M7 na hata Kikwete alijibu kistaarabu sana na kukipinga kiaina
Huwezi kukubali kisa njaa kwani ni maamuzi ya nchi nzima hayo na kama ni misaada wakate tu
kwa viongozi hawa waliojaa urafii si watatuua kabisa?sasa hivi kila leo ni kusaini mikopo tu na misaada lakini hali bado ni ngumu kiasi hiki,sembuse usipate hata shilingi toka kwao,maisha yatakuwaje?!!kama vitu vidogo vidogo kama maji tu,bado vinatusumbua!!Bila misaada maisha yatakuwa magumu mnoooo
 
Western countries ni wajanja mno na wako kipopraganda enzi wanavamia pwani za Africa haswa Tanzania maeneo ya pwani walipata tabu kusambaza tamaduni zao kwani tayar walishakuwa wanajtambua wakaja na propaganda kwamba watu wa Pwani ni wavivu na Kuna ushoga sana ..ila kiuhalisia sio kweli hata leo mtanzania anaongelea sehemu fulani Kuna tabia fulani unakuta hajwai kuishi wala kufika ila anaongelea kwa chuki tu juu ya jamii fulani..

Msidanyanywe ushoga kwa Africa umeletwa na wazungu na wako katika agenda kubwa kuhakikisha unapamba moto nimesikia Kuna nyimbo ya jux na Mario wamepusha ile logo kupitia mwamvuli fulani alikuwa kshika mdada kweny video ..yote ni kushabikia hayo mambo.
Napingana na wewe,kuhusu suala la ushoga na ukanda wa pwani.Kwa pwani ushoga upo kwa kiasi kikubwa mno ,nimeishi PEMBA,UNGUJA,MOMBASA,ni aibu!!!kama UNGUJA hapo malindi huwezi ukaamini kama uyaonayo yapo kwenye nchi yenye waislam 99.9%!!!huko nako wageni wa kwanza kufika huko,zilikuwa nchi za magharibi??!Ukweli upo wazi.
 
Back
Top Bottom