Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

Ushoga ni utamaduni wa Magharibi, kwanini iwe shinikizo kwa nchi nyingine?

[emoji44][emoji44][emoji44]Akutukanaye hakuchagulii tusi,huku kwetu Mbeya idadi ya wanafunzi wa kiume(sekondari)kujihusisha na mapenzi na waalimu wa kiume Ni za kawaida Sana mkuu,hiyo Zamani unayoisema wewe hizi kesi hazikuwako kwa kiwango hiki.
Zamani ulikuwapo? Hakuna jipya chini ya jua!
 
We have to try it Mr, if will you get pregnant, I'll realize,. Bas Obama aka mindisha jamaa pesa zao zikashuka thamani
Zimbabwe pesa haikuwa na thamani hata kabla ya Obama.
 
Ina maana ni wengi kiasi gani mpaka wazuie mvuw kunyesha?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Kwa Tz kuna rushwa, mauaji, wizi, udanganyifu, uchawi, ukatili, ubadhirifu, uzinzi, dhuluma, husda na nyinginezo, mvua haitanyesha tu, tusisingizie ushoga.
 
JF kila dakika NI mada za ushoga, tuwe makini hizi NI mbinu za kutangaza ushoga.

MTU mwenye akili timamu huwezi hata kuwaza kuanzisha mada za ushoga kama sio mhusika.
Ni sahihi kabisa kuna vitu vingi vya kudiscus kwann tukae kuongea ushoga itakuwa muanzisha maada atakuwa anapumuliwa sibure
 
Ushoga sio utamaduni wa nchi za Magharibi,ushoga ulikuwepo tangu enzi za Nuhu huko.

All over the World kuna Homosexuality hao magharibi wameamua tu kuheshimu haki za watu tu kufanya wanachotaka.
Wengi hili hawataki kulielewa...cha kusikitisha nya za wanawake wanazifatua balaa..ila za wanaume wanaona kinyaa..enyi washenzi nya ni nya tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Africa kumekuwepo na mambo mengi sana hadi ya kuua watoto wachanga viwete na albino. Sheria za kupinga ushoga Africa ndio hazikuwepo, zilileletwa na wakoloni.
Sio kweli Africa hatukuwa na izo mambo kabisa
 
Africa kumekuwepo na mambo mengi sana hadi ya kuua watoto wachanga viwete na albino. Sheria za kupinga ushoga Africa ndio hazikuwepo, zilileletwa na wakoloni.
Hapana ushoga ni ngumu sana ni laana na enzi izo watu barobaro walikuwa wengi mno tofauti na sasa...izo Mila mbona za kuua zipo sana mpaka sasa kwa jamii wengine wakizaa mtoto sijui akianza kutoka meno ya ya juu wanajua ni kigego wanammaliza
 
Madikteta huwa na tambo kubwa sana bali ni watu wa hovyo sana
Ni wakatili mno na misimamo yao mingine
Sheria wanaamka nazo aidha uzifuate au shaba
Kweli ni wa hovyo in a way
 
Kwanza dadisi maana na malengo ya kitu kinachoitwa NEW WORLD ORDER,
UTAPATA JIBU.
Ili waitawale Dunia ama
Wanafanya mambo ya ajabu kwa kutaka kupunguza watu ila haliwezekani kabisa maana kutwa wao ndio wanataka Manpower

Takwimu za watu duniani tumefika Bilioni 8 ila kuna nchi watu wameongezeka kama sisi na kuna nchi kama 61 zimepungua sana watu wake kwa sababu hawazaani na wengine wanakulana jinsia moja

Hapo hawawezi kushindana na Dunia kwa matakwa yao
Huku wanataka huku wanashindwa wenyewe
Hilo hawakulifikiria kuwa wasipozaa watahitaji wafanyakazi wengi maana kila mwaka mamilion wanastaafu
 
Wababe hao
Screenshot_20221125-072431_Instagram.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787],Kipindi Cha akina OKONKWO ushoga pia ulikuepo mkuu?!

Tunaizungumzia Tanzania,wewe unarukia Mambo ya sodoma na Gomola sijui [emoji849]
Kwani Sodoma na Gomora ilikua miji ya waafrika mkuu.hapa naona tuzungumzie uasilia wa ushoga.
 
Africa kumekuwepo na mambo mengi sana hadi ya kuua watoto wachanga viwete na albino. Sheria za kupinga ushoga Africa ndio hazikuwepo, zilileletwa na wakoloni.
Ni kweli kabisa mkuu,ushoga umeletwa na wazungu na kwasababu ya tabia yetu ya kuiga kila jambo nalo pia tukalichukua.Tuwe wakweli jamani
 
Back
Top Bottom