Ushoga wa Ulaya na Marekani unataka kuharibu mustakabali wa Kombe la Dunia

Unajua kwamba wenye akili hufanya leo kwaajili ya baadae
Miaka ijayo maisha yatakuwaje mtu atakuwa anaona kupakuliwa ni kitu ya kawaida kwa sababu amezaliwa na jamii ameikuta hivyo ndiyo lengo la hawa watu
 
Watu wengi ambao huwa obsessed (hushughulishwa sana) na ushoga huwa na ushoga uliojificha au wanajitokeza kama mashoga baada ya muda fulani.
 
Wazungu hawana akili hata hizi gunduzi asilimia karibia 80 zimefanywa na ngozi nyeusi.

Wao ni kuboresha tu, pia tulikuwa tukigundua wanatuuua halafu wanakuja wao kusema wamegundu
Wake up from your slumber
 
Qur an inasemaje kuhusu ushoga?
 
Akili !! Nguvu ya mzungu unaijua vizur?
 
Wasilazimishe huu utamaduni wao uwe sawa dunia nzima.

Kuna nchi haziwezi ruhusu kitu kama hiki na inabidi wakubaliane nazo.
 
Unajua kwamba wenye akili hufanya leo kwaajili ya baadae
Miaka ijayo maisha yatakuwaje mtu atakuwa anaona kupakuliwa ni kitu ya kawaida kwa sababu amezaliwa na jamii ameikuta hivyo ndiyo lengo la hawa watu
Kuna mashoga humu wanajihalalishia kuwa Qatar imekosea, na kwamba uchafu huu ungetokea vipi kama mashindano yangefanyika Ulaya au Marekani.
Haijalishi kombe, uchafu wakuunga mkono ushoga haukubaliki na dini zote.
 
Kwa hiyo kama ni uhuru wao na wa kwako kwa nini wajitangaze.
Ushiga wako hatuna haja kuufahamu.
Wanafanya hivyo kwasababu imefika wakati wa wao kupaza sauti mna wamechoka na manyanyaso na masimango na ubaguzi..huwa na shangaa sana watu wanao pambana na ushoga hivi ushoga ndio tatizo kuu pekee katika ulimwegu huu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanafanya hivyo kwasababu imefika wakati wa wao kupaza sauti mna wamechoka na manyanyaso na masimango na ubaguzi..huwa na shangaa sana watu wanao pambana na ushoga hivi ushoga ndio tatizo kuu pekee katika ulimwegu huu.

#MaendeleoHayanaChama
Ulisha jiunga nao, naona unatetea ushoga?
 
Wasilazimishe huu utamaduni wao uwe sawa dunia nzima.

Kuna nchi haziwezi ruhusu kitu kama hiki na inabidi wakubaliane nazo.
Ukweli ni kwamba..no one can stop them nw..ni suala la muda tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama mchezaji yuko Ulaya au Marekani analazimishwa kuvaa bendera ya ushoga na yeye hataki aache kucheza mpira Ulaya aje kucheza Africa, Uarabuni au Urusi.

Au wanalazimishwa pia kuchezea timu za Ulaya na Marekani tu??
Usichoelewa ni kuwa watu wanalazimishwa kuwatangaza mashoga, mtu analazimishwa kuvaa mabendera ya ushoga hii sio sawa
 
Ulisha jiunga nao, naona unatetea ushoga?
Sometimes tujifunze kufanya mambo yetu..hapo ulipo mishipa imekutoka juu ya keyboard ila huna hata uwezo wa kumchapa kofi shoga.

Kama huwapendi sana na unawachukia..jitokeze hadharani utamke hivyo na uanze oparesheni kuwaua hao mashoga ndio tutajua uko serious.

#MaendeleoHayanaChama
 
Njoo Mnazi Mmoja nikuchape bakora hadharani, shoga weye.
 
Hv huwa vichwa vyenu vibovu au hamuelew WAO WANADAI KUWAHESHIMU HIYO JAMII NA SIO KILA MTU AJIUNGE KUFANYA USHOGA , NI SWALA LA MUDA TU ILA HAO JAMAA HAKUNA TOFAUT NA ZERU ZERU , HIZ HIZ DINI HAPO AWALI ZILIWAI KUSEMA ZERU ZERU KUWA NI ZERU ZERU ILA MUDA ULIZIPINGA DINI LEO ZERU ZERU ANAISH KWENY JAMII
 
Mwafrika anaeza andika kitu akahis anamchafua mzungu kumbe wenye akili wanaona UNYUMBU WETU Kuwa hatufany kitu mpk mzungu aseme , Wazungu wanadai kuwaheshimu tu wala sio kulazimisha kila mtu awe shoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…