Ushoga wa Ulaya na Marekani unataka kuharibu mustakabali wa Kombe la Dunia

Ushoga wa Ulaya na Marekani unataka kuharibu mustakabali wa Kombe la Dunia

Nadhani kama ni mkristo unatambua kabisa mwisho wa yote haya..so acha magugu na ngano viote pamoja vitapepetwa na kutupwa wakati wa mavuno.

Chamsingi ni kuendelea kuwakumbusha ubaya wa kile wanachokifanya.

#MaendeleoHayanaChama
Hilo nalitambua vyema sana. Na hayo maneno ya "kuacha ngano na magugu yamee pamoja", ni maneno ya Bwana YESU KRISTO.
 
Hilo nalitambua vyema sana. Na hayo maneno ya "kuacha ngano na magugu yamee pamoja", ni maneno ya Bwana YESU KRISTO.
Pia unafahamu kristo alikula na kunywa na makahaba probably hata mashoga walikula na kunywa naye..tukiwajibu waovu kwa uovu tutakua tunatofauti gani nao??

Kumbukeni vita vyetu si juu ya mwili huu wa nyama na damu bali ni dhidi ya roho wabaya wadanganyao ulimwengu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Pia unafahamu kristo alikula na kunywa na makahaba probably hata mashoga walikula na kunywa naye..tukiwajibu waovu kwa uovu tutakua tunatofauti gani nao??

Kumbukeni vita vyetu si juu ya mwili huu wa nyama na damu bali ni dhidi ya roho wabaya wadanganyao ulimwengu.

#MaendeleoHayanaChama
Hilo nalitambua vyema pia.
BWANA YESU KRISTO alikuja kwa ajili ya "waovu" na siyo wenye haki.

Lakini, fahamu kwamba waovu, hao mashoga, makahaba, wezi, wauaji nk watahesabiwa haki ikiwa tu watatubu maovu yao na kuyaacha kabisa. Pasipo kutubu, kuacha uovu na KUBATIZWA, hakuna ondoleo la dhambi.

Sisi hatuwahukumu mashoga wala waovu wowote wale, bali tunachokifanya ni kuwahubiria njia ya KWELI, na kukemea uovu wao.

Na wasipohubiriwa wataijuaje njia ya KWELI na UZIMA?
 
Lionekane la kawaida kwa wanaofanya.sasa wewe hufanyi inakuuma nini.Hayo mambo yako toka karne na karne na kamwe huwezi kuyazuia kwasababu wahusika nao wanapambana kutafuta uhuru wao.Tunachotakiwa ni sisi turudi kwenye jamii yetu tuifundishe iwe smart.Tofauti na hapo tutaendelea kushikiwa akili hadi mwisho wa dunia.
Basi hata watu wakiuana tuwaache hakuna kuwaingilia kwani inatuuma nini.hata kwa shetani kuna taratibu.
 
,
Lumii_20221124_122238689.jpg
 
Awataki pawepo na wanaume duniani. Lengo la ushoga ni kupunguza idadi ya watu duniani
 
Unaposema wana nia yakueneza kwani tunashikiwa fimbo kalazimishwa kufanya huo ujinga?.Au akili zetu ni ndogo kiasi gani hadi tushindwe kujisimamia.

Au wewe unaweza kufanya au kuiga jambo la kipuuzi kwasababu umewaona wazungu au mtu mwingine mjinga akifanya?

Tufundishe jamii yetu kujielewa ili hayo yakijinga ya wazungu wabaki nayo wenyewe.Vinginevyo tuna shida kubwa kama jamii na hatuko tayari kuishughulikia ndo maana tunataka kuelekeza lawama kwa wazungu wakati sisi wenyewe hatujitambui.
Aaah vijana wa sasa hawataki kazi.
Akitokea Mzungu na kibunda chake mbona vijana wetu wanavishwa pete na kina Rashford
 
Wazungu hawana akili hata hizi gunduzi asilimia karibia 80 zimefanywa na ngozi nyeusi.

Wao ni kuboresha tu, pia tulikuwa tukigundua wanatuuua halafu wanakuja wao kusema wamegundua.
Leo hizi gunduzi zimeishia wapi?
 
Ushoga si asili ni tabia.
 

Attachments

  • VID-20221126-WA0001.mp4
    10.3 MB
Shida watu wanakaza sana vichwa..hao mashoga walikuwepo wapo na watakuwepo milele...hadi huo mwisho unaosemwa kwenye maandiko utokee..tofauti na hapo ni kujilisha upepo tu.

#MaendeleoHayanaChama
Shida ni kupigiwa chapuo nini nyuma ya ajenda hii
 
Tuna vichaa wengi walio vaa nguo kuliko walio uchi mabarabarani.

Yangewekwa wazi maovu ya kila mmoja wetu sidhani kama tungeweza kutazamana usoni.

Shida tunajihesabia haki sana.

Hivi ukiwatenga mashoga..kuwachukia..kuwa nyanyapaa ama hata kuwauwa ndio tutakua tumetibu tatizo??

#MaendeleoHayanaChama
Wanatengwa Ili wasiharibu generation hata bar watoto hawaruhusiwi Ili wasiige
 
Lionekane la kawaida kwa wanaofanya.sasa wewe hufanyi inakuuma nini.Hayo mambo yako toka karne na karne na kamwe huwezi kuyazuia kwasababu wahusika nao wanapambana kutafuta uhuru wao.Tunachotakiwa ni sisi turudi kwenye jamii yetu tuifundishe iwe smart.Tofauti na hapo tutaendelea kushikiwa akili hadi mwisho wa dunia.
UHURU wako usiingilie UHURU wa wengine pia.Kuvunja maadili ya UHURU wa wengine ni kuingilia UHURU wa wengine pia. Hata magaidi kwa imani yao wapo sahihi kuua nao waachwe huru kuua kisa kuwazuia kuua ni kuingilia UHURU wao.
 
Back
Top Bottom