Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Hilo nalitambua vyema sana. Na hayo maneno ya "kuacha ngano na magugu yamee pamoja", ni maneno ya Bwana YESU KRISTO.Nadhani kama ni mkristo unatambua kabisa mwisho wa yote haya..so acha magugu na ngano viote pamoja vitapepetwa na kutupwa wakati wa mavuno.
Chamsingi ni kuendelea kuwakumbusha ubaya wa kile wanachokifanya.
#MaendeleoHayanaChama
Pia unafahamu kristo alikula na kunywa na makahaba probably hata mashoga walikula na kunywa naye..tukiwajibu waovu kwa uovu tutakua tunatofauti gani nao??Hilo nalitambua vyema sana. Na hayo maneno ya "kuacha ngano na magugu yamee pamoja", ni maneno ya Bwana YESU KRISTO.
Hilo nalitambua vyema pia.Pia unafahamu kristo alikula na kunywa na makahaba probably hata mashoga walikula na kunywa naye..tukiwajibu waovu kwa uovu tutakua tunatofauti gani nao??
Kumbukeni vita vyetu si juu ya mwili huu wa nyama na damu bali ni dhidi ya roho wabaya wadanganyao ulimwengu.
#MaendeleoHayanaChama
Jinga hilo achana naloSoma mada na uielewe.
Vijana wetu wanapolazimishwa kuona hawa wazungu washenzi mashoga wakijinadi mchana kweupe, ulitaka watu wakae kimya?
Na ukipitia michango kwenye hii mada utagundua kuwa kuna mashoga wengi tu nchini.Mashoga wanalazimisha watambuliwe.
Huyo ni shoga kwa michango yake.Kaka umefurahia sana kwa comment hyo vp rinda liko salama kweli[emoji41]
Basi hata watu wakiuana tuwaache hakuna kuwaingilia kwani inatuuma nini.hata kwa shetani kuna taratibu.Lionekane la kawaida kwa wanaofanya.sasa wewe hufanyi inakuuma nini.Hayo mambo yako toka karne na karne na kamwe huwezi kuyazuia kwasababu wahusika nao wanapambana kutafuta uhuru wao.Tunachotakiwa ni sisi turudi kwenye jamii yetu tuifundishe iwe smart.Tofauti na hapo tutaendelea kushikiwa akili hadi mwisho wa dunia.
Tembea uone, Mombasa hapo sio mbaliWazungu wengi wamepasuliwa speaker
ahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!Because wanapindwa
Aaah vijana wa sasa hawataki kazi.Unaposema wana nia yakueneza kwani tunashikiwa fimbo kalazimishwa kufanya huo ujinga?.Au akili zetu ni ndogo kiasi gani hadi tushindwe kujisimamia.
Au wewe unaweza kufanya au kuiga jambo la kipuuzi kwasababu umewaona wazungu au mtu mwingine mjinga akifanya?
Tufundishe jamii yetu kujielewa ili hayo yakijinga ya wazungu wabaki nayo wenyewe.Vinginevyo tuna shida kubwa kama jamii na hatuko tayari kuishughulikia ndo maana tunataka kuelekeza lawama kwa wazungu wakati sisi wenyewe hatujitambui.
Leo hizi gunduzi zimeishia wapi?Wazungu hawana akili hata hizi gunduzi asilimia karibia 80 zimefanywa na ngozi nyeusi.
Wao ni kuboresha tu, pia tulikuwa tukigundua wanatuuua halafu wanakuja wao kusema wamegundua.
Shida ni kupigiwa chapuo nini nyuma ya ajenda hiiShida watu wanakaza sana vichwa..hao mashoga walikuwepo wapo na watakuwepo milele...hadi huo mwisho unaosemwa kwenye maandiko utokee..tofauti na hapo ni kujilisha upepo tu.
#MaendeleoHayanaChama
Wanatengwa Ili wasiharibu generation hata bar watoto hawaruhusiwi Ili wasiigeTuna vichaa wengi walio vaa nguo kuliko walio uchi mabarabarani.
Yangewekwa wazi maovu ya kila mmoja wetu sidhani kama tungeweza kutazamana usoni.
Shida tunajihesabia haki sana.
Hivi ukiwatenga mashoga..kuwachukia..kuwa nyanyapaa ama hata kuwauwa ndio tutakua tumetibu tatizo??
#MaendeleoHayanaChama
Acha kuangalia ujinga waoKwa hiyo kama ni uhuru wao na wa kwako kwa nini wajitangaze.
Ushiga wako hatuna haja kuufahamu.
UHURU wako usiingilie UHURU wa wengine pia.Kuvunja maadili ya UHURU wa wengine ni kuingilia UHURU wa wengine pia. Hata magaidi kwa imani yao wapo sahihi kuua nao waachwe huru kuua kisa kuwazuia kuua ni kuingilia UHURU wao.Lionekane la kawaida kwa wanaofanya.sasa wewe hufanyi inakuuma nini.Hayo mambo yako toka karne na karne na kamwe huwezi kuyazuia kwasababu wahusika nao wanapambana kutafuta uhuru wao.Tunachotakiwa ni sisi turudi kwenye jamii yetu tuifundishe iwe smart.Tofauti na hapo tutaendelea kushikiwa akili hadi mwisho wa dunia.