Ushuhuda kilichonitokea Kona Bar Sinza, Dar es Salaam

Kwa dar
A
Acha usheembee Wee,biashara ya ngono iko miilini mwa watu..matangazo ya nn?!!!

Corner Bar,Ambiance Ziko Toka Tuko Wadogo Hadi Leo tubaba!!
Km cyo basi ulikuwa na lengo la kuwachafua hao askari wakituo cha mabatini hususani huyo mwenyejina km la waziri mkuu wa sasa.
 
Hahahahaha pole sana, hio ni ajari kazini..! Karibu dsm umepata cha kusimulia ukirudi huko Chitoholi
 
Kuchepuka ni asili ya me
 
Sikupi pole kwani ndio mshahara wa uzinzi, walitakiwa wakuminye kama laki 4 hivi. pambaff!
 
Mabatini ndio kituo cha pesa

Dili zote hufanyika kule kwa wanaokamatwa kwa kuonewa au kwa uhalali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…