Ushuhuda kilichonitokea Kona Bar Sinza, Dar es Salaam

Ushuhuda kilichonitokea Kona Bar Sinza, Dar es Salaam

Kwa dar
A
Acha usheembee Wee,biashara ya ngono iko miilini mwa watu..matangazo ya nn?!!!

Corner Bar,Ambiance Ziko Toka Tuko Wadogo Hadi Leo tubaba!!
Km cyo basi ulikuwa na lengo la kuwachafua hao askari wakituo cha mabatini hususani huyo mwenyejina km la waziri mkuu wa sasa.
 
Hahahahaha pole sana, hio ni ajari kazini..! Karibu dsm umepata cha kusimulia ukirudi huko Chitoholi
 
Nakupa siri ya kazi hapa..

usilale guest au lodge uliyochaguliwa na mwanamke asiye mkeo..
ukilala na mwanamke usiyemjua hakikisha funguo unajua wewe ulipoziweka..
usiokoteokote mwanamke ukampeleka kwako.
Uwe makini na Camera ya uliyelala naye..
Ukimwaga maji yako hakikisha yako salama..(dunia ina mengi hii vijana mkue sasa).

KUCHEPUKA NI GHARAMA UKITAKA UNAFUU NI RISK SANA, OTHERWISE CHAGUA UMPENDAYE MFUNGE PINGU MTAFUNANE MTAKAVYO, CHUMBANI, SEBULENI, JIKONI, BAFUNI, MZINGATIE LISHE BORA TU..
Kuchepuka ni asili ya me
 
Sikupi pole kwani ndio mshahara wa uzinzi, walitakiwa wakuminye kama laki 4 hivi. pambaff!
 
Mabatini ndio kituo cha pesa

Dili zote hufanyika kule kwa wanaokamatwa kwa kuonewa au kwa uhalali
 
Back
Top Bottom