USHUHUDA: Kuku wa kienyeji (Pure) - Biashara kichaa isiyo na tija

Kuku Chotara Wapo Tegeta Nyuki, Aina Ya Sasso, Croiler Na Malawi, Bei Ni 1500 Kwa Kifaranga Cha Siku 1, Tuwasiliane Kwa 0715488421 Nikupe Uzoefu, Mimi Nimechukua 200 Siku 3 Zilizopita
 
Elimu elimu elimu. Thanks kaka
 
Ah me vifaranga vyangu vinakufa kufa ovyo yaan unaweza kuta kwny vifaranga 15 ni wawili tu ndo wanakuwa wengine wote wanakufa vikiwa vidogo cjui kwann
 
Ah me vifaranga vyangu vinakufa kufa ovyo yaan unaweza kuta kwny vifaranga 15 ni wawili tu ndo wanakuwa wengine wote wanakufa vikiwa vidogo cjui kwann
Pole xana mkuu.mm vifaranga wangu hua wanakua ila tatizo ni mwewe na kipanga ndo wanasumbua na hasa nirudipo kazini au jmosi na jpil ninapokuwa naviacha.
Ww wavifugaje ???
 
Pole xana mkuu.mm vifaranga wangu hua wanakua ila tatizo ni mwewe na kipanga ndo wanasumbua na hasa nirudipo kazini au jmosi na jpil ninapokuwa naviacha.
Ww wavifugaje ???
Me nimewategenezea banda uwa siwatoi nje hadi wakishakukua kufika stage hata kunguru hawata weza kuwabeba ndo uwa naanza kuwachia nje so chakula maji kila kitu nawawekea ndan kwny banda lao
 
Ah me vifaranga vyangu vinakufa kufa ovyo yaan unaweza kuta kwny vifaranga 15 ni wawili tu ndo wanakuwa wengine wote wanakufa vikiwa vidogo cjui kwann
Usafi, chakula kizuri na eneo la kutosha ndio kila kitu kwa vifaranga.
Pole sana ila usikate tamaa
 
@ Ginner
Naweza nikakukosoa kwa asilimia 95 na naweza nikakupongeza kwa asilimia chache kwa ufugaji wa kuku wa kisasa

Kwa machache tu faida ya kuku wa kienyeji ukifuga kwa faida wana faida kubwa sana. But ukifuga kiholela hawana faida

Kuku wa kisasa kwangu sijawahi ona faida yake

Usiwavunje moyo wafugaji.
 


Mkuu kama umesoma mada, nimezungumzia ufugaji wa kuku (pure) wa kienyeji..hasa wale wanaopatikana mikoani hasa singida, dodoma, tabora etc... Sitabadili msimamo, ufugaji wa hawa hauna faida na ni wagumu sana kuwafuga kibiashara...

Pia kama umeifatilia mada vyema, nimependekeza aina ambazo ni bora ziaidi kufuga kibiashara, kuku hawa ni kwa kiasi kikubwa..hawa ni kuku chotara (cross breeds). Hawa unaweza kuwafuga kienyeji na bado wakapata uzito mkubwa na uwezo wa juu wa utagaji
 
Unakosoa kwa maneno mkuu toa hoja tupime
 
Ginner
Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji pure. Nimeanza miaka mi3 iliyo pita na nimepata faida sana hata kuku wa kizungu sitamani
1 wana soko hasa katika mahoteli makubwa
2 kuku wa kienyeji anafundishika tabia. Na ukitaka faida usisubiri kuku akulele vifaranga
3 kuku wa kienyeji ni wavumilivu na hawahitaji mlolongo saana wa chakula ( kila siku madini n.k)

Mimi naweza nikakukosoa saaaana na kukuomba uombe radhi kwa wana jamvi
Kiwango cha kuku nilicho nacho. Kila mwezi lazima nipate zaidi ya 90( trey 3 hizo). Soko langu liko kwenye mahoteli na mayai yanakaa wiki 2 hadi kuharibika na kuharibika kwakwe si kwamba ushindwe kula.
 


Umefuga kuku kwa miaka mitatu sasa, na kwa mwezi unapata mayai 90 (tray 3) na bado unasema biashara inakulipa!..nadharia ya ufugaji wa kibiashara bado iko chini chana miongoni mwa wafugaji. Kufuga kwa miaka mitatu, na production ya mayai iko chini ya tray 3 kwa mwezi basi uzalishaji wako ni wa matumizi ya nyumban tu na si wa kibiashara.

Hongera sana pia kwa kupata soko kwenye mahoteli, ila ungetufafanulia zaidi, matumizi ya kawaida ya mayai kwenyebmahotel ni pamoja na kutengeneza chips za mayai, cakes, chapati na kwa kiasi flani ni vitafunwa vya breakfast...costwise, ulimconvice vipi mteja wako, (hotel) kutumia mayai ya kienyeji yenye bei juu zaidi kwaajili ya matumizi yao na kuacha kutumia ya kisasa yenye bei nafuu zaidi.
Wana jamii mnaweza mkajipimia wenyewe.
 
Tanzania ya viwanda
Mi nadhani ktk hili hakuna kuwa watanzania tuliojijazia akili za kikejeli! Tufanye kazi kwa bidii kwa kila mmoja! Nakumbuka kauli ya baba wa taifa inayosema hivi; usiseme Tanzania itakufanyia nini sema nitaifanyia nini! Anzisha kiwanda chako cha kusindika nyama za kuku ajili watu hii ndio Tanzania ya viwanda tunayoitaka na usitegemee kuwa serikali itajenga kiwanda; kazi yake ni kuweka mazingira mazuri ili wewe mwekezaji wa ndani na nje muwekeze!! Acha hizo kijana;
 
Nimeipenda hii heshima kwako[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
apo tuna changanyanyana cjui nani mkweli nan ana potosha
 
Hapana sikuwa na maana ya kwamba idadi ya kuku wote. Nina kuku specially nimewatenga kupata hayo mayai. Kuku wangu mmoja ana uwezo wa kutaga mayai hadi 18. Na wako ambao wanataga mayai hawalalii

Hizo tray 3 ni kwa ajiri ya kupata kuku tu ( vifaranga) na
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…