Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

Sikia ndg yangu Unajua unapoandika story nusu Kuna shida wale watakaokujibu wataeleza kulingana na mtu alivoelewa au anahisi kwa maelezo yako huenda ukawa na shida hi na hii..

Sasa hapo Ni ngumu kupata suluhu muafaka la tatizo lako... Mfano mmoja amesema huenda mme wako umemfuma analiwa haja Sasa mtu Kama huyo unategemea atakushauli nn zaidi ya kukwambia Muachane😒

Na Ni kweli Yupo sahihi kwasababu hujanyoosha maelezo na tatizo lako halijafahamika na amejibu kwa kudhani kwamba huenda ikawa ndo tatizo lako...

Degree holder your Matured enough We funguka watu tuna matatizo adi shetani anatuonea huruma na Bado tunapeta.🤝
huyu Mama mleta hoja kama atarudi tena mnishtue /tag
huenda ni hasira tu saa hizi anapokea shuluba ya furaha yake sisi tunaendelea kumpa ushauri
Ndoa bwana haiingilia wakipatana tutabaki na aibu e .............
 
Ahsante sana...nakufa ndani taratibu...ni degree holder sina kazi basi i am dying. Nimekata tamaa sana.....mume wangu sio type ya wanaume wa kukaaa na kuafiki muafaka..ni mtu wa excuses so hatufikii conclusion...sijaeleza ndugu yangu hata moja...hii ni kumstiri
Ulisoma ili nia mojawapo ni uweze kuendesha maisha yako. Mwanamke amka na uchakarike, umesoma kwa nini ikiwa huwezi kujisimamia mwenyewe? Unakufa kwa ndani, kisa mwanaume? Hii ni aibu!
 
huyu Mama m;eta hoja kama atarudi tena nishtue /tag
huenda ni hasira tu saa hizi anapokea furaha yake sisi tunampa ushauri
Ndoa bwana haiingilia wakipatana tutabaki na aibu e .............
😆😆😆Kwamba huenda anatuchora tuu tunavo bwabwajuka
 
Yaani we acha tu inauma basi tu saa zingine twayaacha yatokee kwani wengine hujifunza kutoka kwetu.
 
Thanks nmekuelewa mnoo Cariha
Nadhani position yako kwenye relationship ni ile ya wenzetu nje "open relationship " ambayo kila mtu ana "Mind his own business " hakuna ya Mke au Mume ni wangu na intimacy full control, hii ni nzuri kwa wa sio penda stress za mahusiano japo kwa wa bongo tupo na pigo za kung'ang'aniana sana na zile za "you are my everthing& I love you to death! my foot"...
Hyo ni njia nzuri na hamchokani bwana, hizi mambo za I love till death do us apart zimefanya watu waishi vibaya kila siku ugomvi cheating Hadi mda mwingine kuuana au kukatana viungo vya mwili
 
Ndugu wana jf...naendelea kusoma maoni yenu..nashukuru sana wengi mmenitia moyo...na nimefarijika sana na ushauri wenu..
Naomba niseme kua simchukii kabisa muhusika, mapenzi yetu yalijengeka kwwnye msingi imara wa upendo...
Ila baada ya miaka 11 ya ndoa nimekuja fahamu siwezi kumpa furaha wala yeye hajali furaha yangu..nimekuja kufaham kua yaliyotokea ni kwa sababu kuna vitu fulani havimo tena ndani yangu...na ni nje ya uwezo wangu..hapa wanawake wenzangu mmenielewa..
Mpaka sasa nimeamua kubaki kwa ajili ya watoto tuu...ila kusema ukweli ninapata maumivu mazito
 
Ndugu wana jf...naendelea kusoma maoni yenu..nashukuru sana wengi mmenitia moyo...na nimefarijika sana na ushauri wenu..
Naomba niseme kua simchukii kabisa muhusika, mapenzi yetu yalijengeka kwwnye msingi imara wa upendo...
Ila baada ya miaka 11 ya ndoa nimekuja fahamu siwezi kumpa furaha wala yeye hajali furaha yangu..nimekuja kufaham kua yaliyotokea ni kwa sababu kuna vitu fulani havimo tena ndani yangu...na ni nje ya uwezo wangu..hapa wanawake wenzangu mmenielewa..
Mpaka sasa nimeamua kubaki kwa ajili ya watoto tuu...ila kusema ukweli ninapata maumivu mazito
Pole sana...
Hatuwezi ipanga furaha ya kesho yetu, ila twajitia ujasiri kila kukichapo kuwa kesho iwe ya Amani na furaha (Amen)
 
Ulivyoona kaleta magunia mawili ya mkaa nyumbani ndo umeogola? Usiogope bana
 
Ndugu wana jf...naendelea kusoma maoni yenu..nashukuru sana wengi mmenitia moyo...na nimefarijika sana na ushauri wenu...
Ila baada ya miaka 11 ya ndoa nimekuja fahamu siwezi kumpa furaha wala yeye hajali furaha yangu..nimekuja kufaham kua yaliyotokea ni kwa sababu kuna vitu fulani havimo tena ndani yangu...na ni nje ya uwezo wangu..hapa wanawake wenzangu mmenielewa..
Mpaka sasa nimeamua kubaki kwa ajili ya watoto tuu...ila kusema ukweli ninapata maumivu mazito
Ok mm nimeshakuelewa, na hii inantutokea sana hasa wake wetu wanapofikia hatua fulani za toweza kuendelea tena kuongeza familia kutokana na ajali, maradhi au ukomo
hamu na hisia hupungua, lkn inatupasa kuwa karibu sana na wake wetu.
Kwa ushauri wangu vumilia kaa na watoto na wala usithubutu kulipa kisasi, ni kwamba mwanamume yeyote mwenye wivu sana hatakubali chochote cha revange
 
Ok mm nimeshakuelewa, na hii inantutokea sana hasa wake wetu wanapofikia hatua fulani za toweza kuendelea tena kuongeza familia kutokana na ajali, maradhi au ukomo
hamu na hisia hupungua, lkn inatupasa kuwa karibu sana na wake wetu.
Kwa ushauri wangu vumilia kaa na watoto na wala usithubutu kulipa kisasi, ni kwamba mwanamume yeyote mwenye wivu sana hatakubali chochote cha revange
Baada ya jukwaa letu pendwa kufutwa naona sasa hivi umehamishia majeshi ya technique advise huku mkuu!
 
Ndugu wana jf...naendelea kusoma maoni yenu..nashukuru sana wengi mmenitia moyo...na nimefarijika sana na ushauri wenu..
Naomba niseme kua simchukii kabisa muhusika, mapenzi yetu yalijengeka kwwnye msingi imara wa upendo...
Ila baada ya miaka 11 ya ndoa nimekuja fahamu siwezi kumpa furaha wala yeye hajali furaha yangu..nimekuja kufaham kua yaliyotokea ni kwa sababu kuna vitu fulani havimo tena ndani yangu...na ni nje ya uwezo wangu..hapa wanawake wenzangu mmenielewa..
Mpaka sasa nimeamua kubaki kwa ajili ya watoto tuu...ila kusema ukweli ninapata maumivu mazito
Wewe Acha ku complicate maisha na kujinyima Raha. Life is alot more than relying on someone to make you happy.

Wanawake tuna tatizo moja when we get married. We eat, live and breathe our men. We live for our kids. We rely on our husbands to make us happy. We cannot go the extra mile to make us happy. We do not make our special meals or take ourselves out for us. Everything we do, we do it for our men.

Betrayal hurts, na Ni rahisi kujilaumu labda aiko hivi ndo maana amecheat. Labda Sina tako... Ama Nina tako but why amecheat.

Nothing remains the same except time itself. Hata mapenzi ya we deep vipi with time it gets eroded. So usijilaumu. Lia unavyoweza but make sure once those years dry up you will never cry again. Then the journey to recovery and ultimate self love begins.
 
Kuliko kupigana vitu vizito kichwani mkaishia kugawana majengo ya serikali mwingine mochwari,mwingine jela au wote mochwari,si ni bora mkaachana tu.Hata mimi nilikuwa na mentality ya kusimama na ndoa no matter what. Ila siku ikafika nikasema enough is enough. Sasa hivi nina furaha na wanangu,hata X mr sina kinyongo nae. Akipiga simu napokea. Yaani ni full amani ya nafsi.
Tabia hurithiwa, inawezekana ulilelewa na upande mmoja/mzazi mmoja hasa wa kike. Amini hata mwanaume aweje unconditionally utatafuta njia ya kubreak up! Na ndivyo itavyokuwa kwa mtoto/watoto wako wa kike nao watarithi 'furaha' na uhuru' uliokuwa nao kama mwanamke asiye na ndoa.

Samahani kama nimekujaji isivyo. Just a precaution
 

Behaviourist

wanalirekebisha kumbe hajaona mahali? , naona ni hizi siasa, nikiliona nitakuTAG
nimefurahi huyu mama hajatoka kwa jamaa, tukimshauri zaidi atakamata usukani wake aendeshe mwenyewe
 
Wewe Acha ku complicate maisha na kujinyima Raha. Life is alot more than relying on someone to make you happy.

Wanawake tuna tatizo moja when we get married. We eat, live and breathe our men. We live for our kids. We rely on our husbands to make us happy. We cannot go the extra mile to make us happy. We do not make our special meals or take ourselves out for us. Everything we do, we do it for our men.

Betrayal hurts, na Ni rahisi kujilaumu labda aiko hivi ndo maana amecheat. Labda Sina tako... Ama Nina tako but why amecheat.

Nothing remains the same except time itself. Hata mapenzi ya we deep vipi with time it gets eroded. So usijilaumu. Lia unavyoweza but make sure once those years dry up you will never cry again. Then the journey to recovery and ultimate self love begins.
Nimelia sana nilivyosoma comment yako...mume wangu was my best everyything...my hero...kwakweli nilikosea sana...kuna familia moja jirani nilikua namlaumu yule dada anavyoishi na mume wake kimoyomoyo nilikua naona hampendi au kumpa heshima anayostahili mume wake....baadae ndio nimekuja kujua kwanini
 
Cry as much as you want but never cry again. Sisi wanawake machozi yalikaukia labor. Jifute vumbi, you are down but not out. From now on your happiness depends on you.

Do you love coffee, take yourself out for coffee. Movies? Go out for movies. Go for a walk. I remember you are not working so jiwekee muda from jioni leo 4:30 p.m go for a walk. Wear comfortable shoes and just walk. Nowhere in particular just keep walking. Look around at how beautiful nature is, take a deep breath, let it out... Smile.

Whatever makes you happy go for it.


Put yourself first from now on. As long as the kids are okay and as long your role as a Mother and a wife are in place then you have no reason not be spoil yourself. Take better care of yourself.
Nimelia sana nilivyosoma comment yako...mume wangu was my best everyything...my hero...kwakweli nilikosea sana...kuna familia moja jirani nilikua namlaumu yule dada anavyoishi na mume wake kimoyomoyo nilikua naona hampendi au kumpa heshima anayostahili mume wake....baadae ndio nimekuja kujua kwanini
 
Kwanini usiomgee jambo ukakaa kimya I do believe umalaya ni tabia ya mtu tu na Wala haisabanishwi na mapungufu ya mtu coz it's ur body and not mine eti simply mtu kasema Jambo flani hutaki unaanza kuzoa kila mwanamke bila kujali health status Mimi naona unayefanya hvo ndio unatatizo, fanya ngono vile una hamu na sio vile hujapenda Jambo flani huo ni utopolo wa kiwango Cha standard gauge aisee let's learn to be accountable for our actions, that why I always say ukifika sehemu umemchoka mtu Bora useme kuliko ku fake in front of society ur okay kumbe Kuna vitu vina ku kill inside kimya kimya, better solve ur problem
Hahahahahaa nadhani umeelewaa sasa kwanini wanaume hawatakagi muyaongelee mahusiano pale yanapokuwa yamevurugika

Ni kwasababu hiyo hiyo atakachoongea utaona upuuzi na sio sababu ya msingi kufanya anayofanya wakati kichwani kwake yeye anaona ni sababu za msingi...

Umereply vzr sana ume prove nilichoandika ugomvi mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke siku zote ukiwaweka chini utaona mwanamke anaonewa tu ndo mana wnaume kamwe hawaongeagi kwenye kusuluhisha.Utaona mwanamke anaonekana kaonewa wakati mwanaume anaendeleza tabia za ajabu...

Kama wewe ni mwanamke ni kazi kuwajua wanaume km unawa judge.its easy to judge and difficult to understand.Nimekupa hints to jinsi wanaume wanavyowaza cheki ulivyopanic..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Jifunze hisia za wanaume acha kubisha Msubhat...tuna vitu tunavyoweka moyoni kutokana na matendo na kauli zenu ambavyo ukieleza kwa watu (mmojawapo wewe) vinaweza onekana 'upuuzi'

Hapo ndipo tunatafuta alternative....Mara nyingi sio nzuri. Aidha tukae kimya au tutafute mbadala.
 
Jifunze hisia za wanaume acha kubisha Msubhat...tuna vitu tunavyoweka moyoni kutokana na matendo na kauli zenu ambavyo ukieleza kwa watu (mmojawapo wewe) vinaweza onekana 'upuuzi'

Hapo ndipo tunatafuta alternative....Mara nyingi sio nzuri. Aidha tukae kimya au tutafute mbadala.
Huo mda wa kujifunza hisia za binadamu mwingine Sina badala nijipe Raha na furaha niwe namsoma hisia yeye ni kitabu, Bora tu akafanye umalaya wake huko na sio Mimi kujihangaisha kumfuraisha mtu
 
Poor justification ya madudu eti kavunjwa ego sijui nini, Yani mtu unatembea na baamedi kisa umeambiwa na kitambi, tena ukute kitandani alikuwa hamridjishi mkewe Sasa anahangaika na baamedi ku prove watu failures, ningekuwa mkewe tena namtaftia ma baamedi wengi ka hyo ni solution
Angeongea nae kwa ustaarabu kuhusu kitambi tena wakiwa chumbani jamaa angemuelewa vyema Sana, siyo kumdhalilisha mbele za watu, kuropoka kulimfanya ale spana
 
Hyo position ya uanaume kwanini huwa ni Africa tu hata Jambo likitokea Mimi kichwa, to me kosa ni kosa awe wa kike au wa kiume, pia Mimi siwezi kuwa na wivu na mtoto wa mwanamke mwenzangu tuliyekutana utu uzimani nitake kumu miliki sijui wivu honestly sina huo mda kabisa na vitu anavofamya mtu mzima kwa utashi wake au starehe zake siwezi question au ni feel jealous ni yeye, Kama vile Mimi nisivopenda kuingiliwa Uhuru wangu, maamuzi yangu nami sipendi ku control mtu. So hata mpenzi afanye I'm okay as long as he is happy na anafanya kitu roho unapenda why should I feel jealous kinachotesa watu wengi ni kufikiria mtu flani atanipa furaha bila yeye my life will be meaningless, so hapo lazima uumie, and expectations from people always hurt
How old are you? It's either you are inexperienced or bitter
 
Back
Top Bottom