Sio kweli.You are anonymous and you fall in love with your fellow anonymous member? That's kinda weird.
Mnatongozana, wote mnatumia majina "fake" na "avatar" fake. Mkikutana live hata hayo mapenzi yatakuwa fake.
Ni kweliUkiwa unatafuta chochote ambacho ni sensitive Kwenye maisha yako fanya jf iwe option ya Mwisho kuamini kwamba unaweza patia humo
'Waliopo jf ndo waliopo mtaani'Ukiwa unatafuta chochote ambacho ni sensitive Kwenye maisha yako fanya jf iwe option ya Mwisho kuamini kwamba unaweza patia humo
Nakubaliana na ww! Sasa si umfate huko huko mtaani kuliko kumfata mtu wa mtaani kupitia jf'Waliopo jf ndo waliopo mtaani'
Hapana wa jf wengi mmh ngoja niishie ĥapA'Waliopo jf ndo waliopo mtaani'
Wewe ndo kizibo wa JF, afu kwanza unaigiza tu umeshashtukiwa kitambo.Hapana wa jf wengi mmh ngoja niishie ĥapA
muandiko chief unaweza kufanya ujue taswira ya mtu.Sio kweli.
Hata muandiko una upekee wake, unaweza vutiwa na muandiko wa mtu kwa kujenga taswira kwamba huyo flani atakuwaje kiuhalisia
Kuna PM watu wanatumiana picha...
Mimi nahisi wapo ila wanakausha hawataki kusemwa semwa
Naigiza nini nanani ananishtukia ,sikie wewe pimbi jf hakuna wanaume wakuoa, napia jf sijaja kutafuta wanaume nimekuja kuchart wew mwenyewe una ID HII NA mshamba hachekwi nimekaa kimya maana haniusuWewe ndo kizibo wa JF, afu kwanza unaigiza tu umeshashtukiwa kitambo.