Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Sasa mbona hujaniambia mapema yaan,,najipa moyo kuwa ntakuwa na wewe daahMimi nimepata tunaoana mwakani majira kama haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona hujaniambia mapema yaan,,najipa moyo kuwa ntakuwa na wewe daahMimi nimepata tunaoana mwakani majira kama haya
sikutegemea kama utaona wajameni,,Sasa mbona hujaniambia mapema yaan,,najipa moyo kuwa ntakuwa na wewe daah
Mtaje bwana weweeeeeeeeeKuna mtu mmoja naye aliwahi kusema alipata mke humu,sitaki kumtaja,lkn niukwel kabisa alisema mwenyewe
Yaan umeuharibu usiku wangu hivi hivi,,sijui kwanini nimefungua huu uzisikutegemea kama utaona wajameni,,
sasa hutaki watu tutoe shuhuda,,kama uyo mtu niwewe je!?Yaan umeuharibu usiku wangu hivi hivi,,sijui kwanini nimefungua huu uzi
Kwa ajili yako namtaja,,makaveli10Mtaje bwana weweeeeeeeee
Ngoja aje nayey atwambie vizurKwa ajili yako namtaja,,makaveli10
Kwakuwa nimeushtukia mchezo unajifanya kunigeuzia kibaosasa hutaki watu tutoe shuhuda,,kama uyo mtu niwewe je!?
Hahahaha 😂😂😂😂 usiku mwema,,tutaongea hasira zako zikipunguaKwakuwa nimeushtukia mchezo unajifanya kunigeuzia kibao
Mimi simo ndio maana sijamkoti,,,Ngoja aje nayey atwambie vizur
Ataona tuMimi simo ndio maana sijamkoti,,,
SI nakataa tu kwan sh ngapiAtaona tu
Huwa sikasiriki ila moyo unaumaHahahaha 😂😂😂😂 usiku mwema,,tutaongea hasira zako zikipungua
Na kuna mmoja nakumbuka baada ya kumpata mchuchu akaambiwa afunge pm,,,akawa anataka kujua namna ya kufunga pmWapo waliopatana humu. Na wapo wanaendelea kupatana ila wamejifunza kuyaweka private sana humu Kuna wachawi wamdomoni sana😥😥
Mimi nimeshuhudia zaid ya familia mbili zinatengenezwa kupitia humu. Nitawaita waje 🤣🤣🤣 najua kunipiga hawaweziNa kuna mmoja nakumbuka baada ya kumpata mchuchu akaambiwa afunge pm,,,akawa anataka kujua namna ya kufunga pm
Watu wanqpatana sana tu mbona
Wataanzia wapi kwanza mpendwaMimi nimeshuhudia zaid ya familia mbili zinatengenezwa kupitia humu. Nitawaita waje 🤣🤣🤣 najua kunipiga hawawezi
Walau umejitokeza chief,,,hongeraNi kawaida ushamba tu wa watanzania kudhani labda watu wa jf ni tofauti na wa mtaani.
Mimi nilipata mke humu humu. bahati nzuri nilipomcheki akanitumia picha nikavutiwa nae na tulipokutana nikagundua tunatoka mkoa mmja basi tulikaa miezi 9 nikatuma mshenga and rest is history.
Anajua kama nipo Jf na Id yangu anaoijua japo yeye sio mtu wa Jf sana. kwahyo unapata mke vizuri tu.