kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Mkuu wake wa kuoa hata hapa wapo na mataperi pia yapo kazi kwakoWalau umejitokeza chief,,,hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wake wa kuoa hata hapa wapo na mataperi pia yapo kazi kwakoWalau umejitokeza chief,,,hongera
Kweli chiefMkuu wake wa kuoa hata hapa wapo na mataperi pia yapo kazi kwako
Mabibi na mabwana makofiiiiiiiiiiiiiiMimi nimepata tunaoana mwakani majira kama haya
Naenda kupasua Mimi sipasuliwi bwanaUnaenda kupasuliwa?
Makofi yanauma bwan mnataka mharibu sura yangu nyeusi hiiMabibi na mabwana makofiiiiiiiiiiiiii
Pamekucha sasa tuongeeHuwa sikasiriki ila moyo unauma
na mimba ya mtoto wawatu utakataa ivo ivoSI nakataa tu kwan sh ngapi
Kuchart [emoji777]Naigiza nini nanani ananishtukia ,sikie wewe pimbi jf hakuna wanaume wakuoa, napia jf sijaja kutafuta wanaume nimekuja kuchart wew mwenyewe una ID HII NA mshamba hachekwi nimekaa kimya maana haniusu
Weusi wa kung'aaaaMakofi yanauma bwan mnataka mharibu sura yangu nyeusi hii
Bujibuji na Miss Natafuta walipokutana.
Tutaongea jion kpnz,,,nipe uzima wako kwanzaPamekucha sasa tuongee
Huwa sina tabia ya kutia mimba hovyo hovyona mimba ya mtoto wawatu utakataa ivo ivo
Kuja usimulieNaingia theatre Ila naahidi asubuhi kuja kueleza yaliyonikuta zaidi nikisahau naomba kukumbusha tu
Kabisa...ID mpya,mtu anachangia anavyowakung'uta kimasihara, duh mchezo hatari mnoKuna wasichana/wanawake wa kufaa kuwa wake.
Ni wewe tu na tabia zako humu jukwaani.
Huwezi kuchangia madudu au utoto mwingi ukamvutia mrembo anaye faa kuwa mke. Kwa mrembo huwezi kuchangia maujinga utegemee kumvutia mwanaume anayejitambua.
Huwezi kujiunga JF na kuanza kutafuta mwenza wa ndoa. Lazima uchangie mada nyingi watu wautambue uwezo wako, haiba yako, n.k.
Hakuna mapenzi humu!Sio kweli.
Hata muandiko una upekee wake, unaweza vutiwa na muandiko wa mtu kwa kujenga taswira kwamba huyo flani atakuwaje kiuhalisia
Kuna PM watu wanatumiana picha...
Mimi nahisi wapo ila wanakausha hawataki kusemwa semwa
We uliskia wapWeusi wa kung'aaaa
Hahahaha nmecheka jamani 😂😂😂Huwa sina tabia ya kutia mimba hovyo hovyo
Niko safi sjui wewTutaongea jion kpnz,,,nipe uzima wako kwanza