min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Wa mtaani na wahuku Wanatofauti gani?Mmmh!😉
Ni matumizi mabaya ya mapenzi kupenda usiyemjua huko mtaani kwani watu wameisha?
Uje...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa mtaani na wahuku Wanatofauti gani?Mmmh!😉
Ni matumizi mabaya ya mapenzi kupenda usiyemjua huko mtaani kwani watu wameisha?
Uje...
Mchungaji kuna muujiza huku!!!Eee Jehovah nisi
Jehovah Sharma🙏
Elishadai
Nilijua tu huu mwaka wangu 😜
Jifunze dancing kidogo siku Hyo ni mauaji tupu😁GaraB atakua in one &mbiliWakati wa bwana ndio huu.....😹😹😹
Mtaani unamuona mtu unajua kama unaweza kua nae kwa xctics zakoWa mtaani na wahuku Wanatofauti gani?
Uko wapi......Wakati wa bwana ndio huu.....😹😹😹
Mkuu nimuupdate status 😁nimewachoka mama ntilie sasa ni mwendo wa mishangazi iliyo mid 30'sMchungaji kuna muujiza huku!!!
Tena wa huku ni mzuri anakujua vizuri , kwamba ulishakula tunda kimasihara 🤗Mtaani unamuona mtu unajua kama unaweza kua nae kwa xctics zako
Huku unafanya ana ana dooo
Mishangazi ina faida nyingi ikikupenda,,pambana chief unaweza toka mrithi🤣🤣Mkuu nimuupdate status 😁nimewachoka mama ntilie sasa ni mwendo wa mishangazi iliyo mid 30's
Humu hamna mapenzi tulia!!Tena wa huku ni mzuri anakujua vizuri , kwamba ulishakula tunda kimasihara 🤗
Mapenzi yapo , sema ukiwa na mawenge hauwezi yaona tulia...Humu hamna mapenzi tulia!!
Mpaka unatetea hivii basi kuna binti huwa anawazwa sana na wewe😉Mapenzi yapo , sema ukiwa na mawenge hauwezi yaona tulia...
Nimeipenda hiiMapenzi yapo , sema ukiwa na mawenge hauwezi yaona tulia...
Sio kwel 😁😁Mpaka unatetea hivii basi kuna binti huwa anawazwa sana na wewe😉
😂 😂 😂Mabibi na mabwana makofiiiiiiiiiiiiii
Kula chuma iko ❤️
😜😜😜😜Mishangazi ina faida nyingi ikikupenda,,pambana chief unaweza toka mrithi🤣🤣
Poa kabsaHofu kwako kpnz,niko full mood yan,,mambo mengine niaje
Mambo 😢Poa kabsa
Nlikua nakunywa maji, nipigieeeee 😹😹😹Uko wapi......