The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kuna mshangazi namsikilizia humu,mpaka sasa mambo yanaenda kama tulivyopanga,
Baada ya harusi nitakuja kuchangia uzi.
Baada ya harusi nitakuja kuchangia uzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia umbea ndio huu sasa!makaveli10 mke wetu ulimpata humu?🤔
Hofu kwako kpnz,niko full mood yan,,mambo mengine niajeNiko safi sjui wew
Kwanini sijamtaja mtu mwingine nimemtaja yeye? Hapo ndio ujue mimi na makaveli10 tunajuana😂Ukisikia umbea ndio huu sasa!
Kama hivyo sawa mumy...Kwanini sijamtaja mtu mwingine nimemtaja yeye? Hapo ndio ujue mimi na makaveli10 tunajuana😂
Nakupenda pia!
Inawezekana lakini 😉
Asante mumyNakupenda pia!
Inawezekana mkuu
Nazingua bhana! Mimi mwenyewe kuna kijana namzimikia nikiona jina lake humu viungo vyangu vya mwili vinalegea☺️Inawezekana mkuu
hukumbuki niliongea na wewe kuhusu jambo linaitwa 'limerence'?
Uko wapi.....Habari Wana Jf
Natumai mko salama
Nimekaa nikawaza mengi, kwenye jukwaa hili ni wengi waliotoa post za kutafuta mke au mme nikiwemo na mie😊
Lakini Cha kushangaza sijawahi Kuona mirejesho ya members wakifunga ndoa au hata kuja kutoa taarifa za kupata
Sasa swali ni je hili jukwaa halisaidii ama ni nini tatizo?
Au utaratibu Gani utumike kusikia lengo?
Daaah!!! Uko wapiHiyo kudata mbona uhakika mi enyewe Kuna ID nkiona lazima nishushe pumzi kidogo😁lakini ndo hvo kibingwa unakufa na tai shingoni
Npo Mikumi😁hii namba inayoishia na 46 ni ww?Daaah!!! Uko wapi
Pokea simu pokeaaaa ni mimi huyoooo 😹😹😹Npo Mikumi😁hii namba inayoishia na 46 ni ww?
Eee Jehovah nisiPokea simu pokeaaaa ni mimi huyoooo 😹😹😹
Wakati wa bwana ndio huu.....😹😹😹Eee Jehovah nisi
Jehovah Sharma🙏
Elishadai
Nilijua tu huu mwaka wangu 😜
Mmmh!😉Inawezekana lakini 😉