Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
😁😁😁Muda unaruhus step down rudi kwenye drawing board wakongwe hatushindwi jambo
Nimekuelewa na nimeshaanza kurudi kwenye mstari mambo ni mengi mnoo leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁Muda unaruhus step down rudi kwenye drawing board wakongwe hatushindwi jambo
Yes, tulimpatia humu humu, na mwaka huu unakuwa wa 3 kwenye ndoa.makaveli10 mke wetu ulimpata humu?🤔
Kama anakereka mie nawe kujuana, mwambie akajitundike, akiona tabu asage chupa anywe au la akajirushe kwenye kisima cha mamba 😂🤣🤣🤣Kwanini sijamtaja mtu mwingine nimemtaja yeye? Hapo ndio ujue mimi na makaveli10 tunajuana😂
Hadi raha!Yes, tulimpatia humu humu, na mwaka huu unakuwa wa 3 kwenye ndoa.
Utakuja kula pilau la anniversary ya 3, kaninogea nina mpango wa kumuoa upya 😂🤣🤣
Ohoo hongera sana, kumbe inawezekana 👍Huwa nipo huru kusema I met my babe here...ni wachache wanaoweza ku-admit..its 11+yrs since we met, 10yrs of marriage and I can't be thankful enough.
Watu hawatoi shuhuda kwa hofu ya kujulikana ila wapo wengi sana naamini
ephen_ kwel hapa rafiki unaye maana mipasho kama yoteKama anakereka mie nawe kujuana, mwambie akajitundike, akiona tabu asage chupa anywe au la akajirushe kwenye kisima cha mamba 😂🤣🤣🤣
Safi sana, haya shuhuda hizi hapa mleta uzi🤣Kama anakereka mie nawe kujuana, mwambie akajitundike, akiona tabu asage chupa anywe au la akajirushe kwenye kisima cha mamba 😂🤣🤣🤣
Sahani yako nitawaambia waweke nyama 😁 😁Hadi raha!
Lazima nije kula biriani☺️
Bado hujasema😁😁😁
Nimekuelewa na nimeshaanza kurudi kwenye mstari mambo ni mengi mnoo leo.
Huyo kijana wangu hana tabu, sahani zenu zitakuwa na ndizi mbivu. 😄☺️Nitakula kingine nitabeba kwenye pot
Nitakuja na rafiki yangu min -me
Basi nakucancel from now onwardsWhy always me😁😁

☺️Iwe kweli ndugu yangu!Huyo kijana wangu hana tabu, sahani zenu zitakuwa na ndizi mbivu. 😄
MhmmmmBasi nakucancel from now onwards![]()
We subiri mualiko rasmi, kule kwenye thread yangu ya ndoa, si tarehe ya ndoa inaonekana, basi na siku ya anniversary itakuwa tareh hiyo hiyo, andaa tumbo kula, andaa ngwasuma hizo kucheza muziki. 😄 🤣 😂☺️Iwe kweli ndugu yangu!
Mumy,,,kama usemavyo ni kweli,iweje hujui wifi yako kapatikana wapi?Huyo sio rafiki yangu! Ni kaka angu baba mmoja na mama mmoja☺️
Najua alipatikana humu, nimemuita atoe ushuhuda wengine wasikie😂Mumy,,,kama usemavyo ni kweli,iweje hujui wifi yako kapatikana wapi?