Ushuhuda kwa yeyote aliyefanikiwa kupata mme au mke hapa

Ushuhuda kwa yeyote aliyefanikiwa kupata mme au mke hapa

🤣 Am not that picky mkuu, nahitaji yeyote tu ili mradi anapumua🤣 hivi ni kweli lkn shuhuda yako ama unatupanga, Kweli ulimpata babe wako humu?
Nidanganye ili iweje mkuu? Miaka hiyo jf haikuwa imeoza sana, nilipata babe na baada ya mwaka na nusu nikahalalisha.
Wewe ndio unatupanga hapa, una babe wako na huenda upo ndoani tayari🤣 kama huna utakuwa unachagua sana.
 
Nidanganye ili iweje mkuu? Miaka hiyo jf haikuwa imeoza sana, nilipata babe na baada ya mwaka na nusu nikahalalisha.
Wewe ndio unatupanga hapa, una babe wako na huenda upo ndoani tayari🤣 kama huna utakuwa unachagua sana.
😁Kwani kaka mkubwa jf sasa iv imeoza vip?
 
Back
Top Bottom