Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Mpe mwongozo banaa usiniangushe ujuee ♥️💋💋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpe mwongozo banaa usiniangushe ujuee ♥️💋💋
🤣🤣🤣Chezea mama ochu wew🤣🤣Yes, tulimpatia humu humu, na mwaka huu unakuwa wa 3 kwenye ndoa.
Utakuja kula pilau la anniversary ya 3, kaninogea nina mpango wa kumuoa upya 😂🤣🤣
Usikose kwenye ubweche.. Sahani yako tutaweka na zabibu. 🤣🤣🤣🤣Chezea mama ochu wew🤣🤣
Bila kusahau kipapatio Cha kuku kikubwa 😃Usikose kwenye ubweche.. Sahani yako tutaweka na zabibu. 🤣
Katika watu wachache watakaoruhusiwa kuingia jikoni kujipakulia nyama na wewe umo.Bila kusahau kipapatio Cha kuku kikubwa 😃
😍Hayo ndo mambo napenda sana nyama Hadi bosswang juz kanambia naweza kuolewa mahari ikawa nyama 🤣🤣🤣Katika watu wachache watakaoruhusiwa kuingia jikoni kujipakulia nyama na wewe umo.
Kabisa yani mahusiano mengi yanaishia hewani kudhalilishana na utapeli. YAMENIKUTAYou are anonymous and you fall in love with your fellow anonymous member? That's kinda weird.
Mnatongozana, wote mnatumia majina "fake" na "avatar" fake. Mkikutana live hata hayo mapenzi yatakuwa fake.
Pole, ilikuwaje?Kabisa yani mahusiano mengi yanaishia hewani kudhalilishana na utapeli. YAMENIKUTA
Kama una begi la pesa tufanyajeHumu Kuna waomba vochA na vizinga tu
Tafutenu za kwenu kwanini muwe omba omba !? Sii mnasemagaa wanawake mnaweza au mnaweza kukata mauno tu.Kama una begi la pesa tufanyaje
🤣🤣🤣slowly basi nitoe ten basiTafutenu za kwenu kwanini muwe omba omba !? Sii mnasemagaa wanawake mnaweza au mnaweza kukata mauno tu.
Ipo siku nitaleta hiki kisa hapa jukwaaniPole, ilikuwaje?
😀😀😀 Utamu kunoga🤣🤣🤣slowly basi nitoe ten basi
😋😋fanya kweli hutaki na mm niwe na pochi la pesa😀😀😀 Utamu kunoga
Sio kweli.
Hata muandiko una upekee wake, unaweza vutiwa na muandiko wa mtu kwa kujenga taswira kwamba huyo flani atakuwaje kiuhalisia
Kuna PM watu wanatumiana picha...
Mimi nahisi wapo ila wanakausha hawataki kusemwa semwa
😅😅😅😅😅😅😅Wewe ndo kizibo wa JF, afu kwanza unaigiza tu umeshashtukiwa kitambo.